platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,548
- 11,517
Sio mtu mmoja kweli!! Nawaza tu.Uandishi wako umenikumbusha Kiranga. Member aliyeaga Jf for good!!

Sjhhh utapigwa ban. Name calling hiyoSio mtu mmoja kweli!! Nawaza tu.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Teh teh teeeeeh! Haujui jf ni uraibu? Unaaga kwa id moja unarudi kwa nyingine.Sjhhh utapigwa ban. Name calling hiyo

Kipi hapo haujakielewa mpendwa? Sentensi nzima au?Kiswahili kweli sijakijua bado...maana yake nini hii?
AddictionNeno uraibu maana yake nini?
Ooooh!! Addiction.Neno uraibu maana yake nini?
Well, kumbe wengi sana tuko hivyo. Wataalam wengine wanasema tutakuwa na matatizo sio bure. Im still learning.RRONDO your my pacha ktk hili aisee!! Sipendi kutoka na nikitoka napenda kutoka mwenyewe. Unaweza nipigia simu nikakwambia nipo nje ya mji kumbe nipo tu home nimejifungia.
Duh asante sana, sikuwahi kujua hilo neno. Aibu neno la kiswahili naambiwa kwa kiingereza ndio nielewe.
Haukusema ni mchepuko, ulisema ni mchumba. Alafu hakuwezi kuwa na mchepuko kama hakuna njia kuu.Hivi mchepuko ni gf?

Wataalamu huwa wanajustify kila kitu. Ngoja tuwasikilize.Well, kumbe wengi sana tuko hivyo. Wataalam wengine wanasema tutakuwa na matatizo sio bure. Im still learning.
Well, kumbe wengi sana tuko hivyo. Wataalam wengine wanasema tutakuwa na matatizo sio bure. Im still learning.