Soli ya Kiatu
Member
- Mar 22, 2015
- 92
- 26
Mkuu, mm naona n vyema utafakari tena na tena kisha utaona tu yupi anafaa. Maana hata km mmekaa miaka kumi, yawezekana hakufai...lkn ukakutana na mtu wa mwaka au miezi ukajikuta unaona thamani yake...hauna feelings naye lkn hebu tafakari maneno yake, mwenendo wake na mawazo yake kila unapokuwa naye kisha angalia is she worthy!!!?

