Am feeling guilty, nafsi inanisuta

Am feeling guilty, nafsi inanisuta

ningetunza mtoto hilo halina shida kabisa

We jamaa wewe! Sasa kama hili tu la kumdrop mmoja linakumaliza hilo la mmoja kuwa mjamzito na kutunza mtoto si tungekusindikiza kaburini?
Kama uliweza kumpa space huyo mwenye chemistry, mpe space, likizo, yellow card na red kadi huyo mwanafunzi ila mweleze kistaarabu.

Tatizo ni kwamba, hata utumie lugha gani, guilty hauta ikwepa na ujifunze wakati mwingine kwamba maamuzi yana gharama zake.
 
Ndugu kuwa makini. Kama ulikuwa na malengo na huyo mchumba wako wa zamani, kipi haswa kilichokufanya ukaingia tena kwenye mahusiano mengine?

Kwa tabia hii, huna mipaka, yani kila mwanamke anayejilengesha, wewe unazoa tu. Unataka kujiaminisha kuwa ukiingia kwenye ndoa ndio utatulia? Si rahisi hivyo.

Unajisikia unamkosea msichana wa chuo tu. Hujisikii kumkosea huyo msichana unayefikiri atakuwa mke wako. Au unafahamu huko alipo naye anachepuka kama wewe. Kama hivi ndivyo, basi ni kweli huna sababu ya kutokujisikia vibaya kumsaliti. Vinginevyo, wewe jamaa una hatia kubwa, pande zote.

Fikiria siku mke wako mtarajiwa akigundua ulikuwa na mahusiano mengine, hali itakuwaje. Usifikiri kirahisi kuwa kumwacha huyo wa chuo, mambo yanaweza kuishia hapo. Unaweza kuigharimu familia yako unayotarajia kuijenga.

Ukiweza, mwambie na huyo mke mtarajiwa kuwa ulianzisha mahusiano mengine. Muombe radhi. Usitake yeye ajirekebishe halafu wewe unafanya hayo unayotaka ajirekebishe na pengine hili lako likawa ndio baya zaidi.

Waambie wote, kila mmoja kwa linalomhusu. Then, weka msimamo wako kwa kila mmoja. Kaa pembeni, subiria reaction. Basi.

Mke mtarajiwa akisema hapo ndio mwisho. Ukubali. Na umwache mtoto wa chuo aendelee na maisha yake. Umeshaweka bayana kuwa humuhitaji. Usimrudie kwa kuwa umeachwa na mke mtarajiwa. Itakuwa rahisi sana kumtenda tena hapo mbeleni.

Kila la kheri
 
Ndugu kuwa makini. Kama ulikuwa na malengo na huyo mchumba wako wako wa zamani, kipi haswa kilichokufanya ukaingia tena kwenye mahusiano mengine?

Kwa tabia hii, huna mipaka, yani kila mwanamke snayejilengesha, wewe unazoa tu. Unataka kujiaminisha kuwa ukiingia kwenye ndoa, ndio utatulia? Si rahisi hivyo.

Unajisikia unamkosea msichana wa chuo tu. Hujisikii kumkosea huyo msichana unayefikiri atakuwa mke wako. Au unafahamu huko alipo naye anachepuka kama wewe. Kama hivi ndivyo, nasi ni kweli huna sababu ya kutokujisikia vibaya kumsaliti. Vinginevyo, we we jamaa una hatia kubwa, upande zote.

Fikiria siku mke wako mtarajiwa akigundua ulikuwa na mahusiano mengine, hali itakuwaje. Usifikiri kirahisi kuwa kumwacha Huyo wa chuo, mambo yanaweza kuishia hapo. Unaweza kuigharimu familia yako unayotarajia kuijenga.

Ukiweza, mwambie na huyo mke mtarajiwa kuwa ulianzisha mahusiano mengine. Muombe radhi. Usitake yeye ajirekebishe halafu wewe unafanya hayo unayotaka ajirekebishe yeyea na pengine hili lako likawa ndio bays zaidi.

Waambie wote, kila mmoja kwa linalomhusu. Then, weka msimamo wako kwa kila mmoja. Kaa pembeni, subiria reaction. Nasi.

Mke mtarajiwa akisema hapo ndio mwisho. Ukubali. Na umwache mtoto wa chuo aendelee na maisha yake. Umeshaweka bayana kuwa humuhitaji. Usimrudie kwa kuwa umeachwa na mke mtarajiwa. Itakuwa rahisi sana kumtenda tena hapo mbeleni.

Kila la kheri
Ahsante kwa ushauri mzuri
 
Sijawahi kupata wakati mgumu kuachana na mtu pale ninapoona sihitaji kuendelea nae
 
Uzuri ni kwamba; Wewe si mwanachuo mwenzake kwani angeumia sana mkikutana holini. Huyo mliyeanza naye mbali nadhani ndiye ataumia zaidi akifahamu kuwa unamwacha kwa sababu ya mwanachuo. Mpe haki yake ya ndoa kwani hata kwenu wesha mwita mwali, wifi nk.
Vya chuo viachie vidume vyao.
 
Cha ajabu ni pale utakapo gundua huyo wa Chuo ndo wakufanya nae maisha halafu huyo wa ubani wako karudi kwako na ngwengwe akuambukize.

Kipindi kifupi tu mlichopeana break ukaanzisha mahusiano na mwingine, sasa na upande wa pili nako alianzisha mahusiano na mwingine halafu kwa bahati mbaya wanawake hawajui kuacha....utagongewa mwanzo mwisho.
 
Cha ajabu ni pale utakapo gundua huyo wa Chuo ndo wakufanya nae maisha halafu huyo wa ubani wako karudi kwako na ngwengwe akuambukize.

Kipindi kifupi tu mlichopeana break ukaanzisha mahusiano na mwingine, sasa na upande wa pili nako alianzisha mahusiano na mwingine halafu kwa bahati mbaya wanawake hawajui kuacha....utagongewa mwanzo mwisho.
hapana mkuu hana mahusiano yoyote mengine am sure
 
Uzuri ni kwamba; Wewe si mwanachuo mwenzake kwani angeumia sana mkikutana holini. Huyo mliyeanza naye mbali nadhani ndiye ataumia zaidi akifahamu kuwa unamwacha kwa sababu ya mwanachuo. Mpe haki yake ya ndoa kwani hata kwenu wesha mwita mwali, wifi nk.
Vya chuo viachie vidume vyao.
 
Ungemuoa hata huyo ambaye huna feelings naye!?
😡😡😡

Kwema wana jf!

Najihisi mwenye makosa sana......sina amani. Iko hivi nimekua kwenye mahusiano na my girl for almost 3.5 years now, tumefanya mambo mengi sana kwenye relationship yetu na nimemsaidia vitu vingi pia. We used to have ups and downs in our relationship inshort tulipendana sana and we still love each other but last yr mwishoni kuna issue ilitokea ikasababisha mimi kama mimi nipunguze mapenzi kwake lakini nilimwambia each and everything nafanya vile kwa sababu gani(i gave her the room for improvements because she is the woman of my dream and we have a lot of commitments) though tulikua tunaendelea kuwasiliana kawaida lakini sio kivile.....we are living in different regions.

Katika kipindi cha improvements tulichopeana sadly ikatokea mwanamke mwingine kanipenda as a man tamaa kama kawaida zikaniingia( shetani mbaya sana ) tukaanza kudate mtoto wa watu kakolea haambiliki inshort humwambii kitu kuhusu mimi na yuko chuo anasoma bado .Kifupi she is addicted to me kashanitambulisha kwa rafiki zake wote na baadhi ya ndugu zake kua am his man though mimi sina plan nae yoyote kiukweli .



Kilichonileta hapa wadau nataka ushauri najua kuna nyani wazee humu washakwepa mishale mingi na washakutana na vingi

Mwanamke wangu wa kwanza kashajirekebisha na karudi moto pia ni mwanamke nayepanga kuoa kwa sababu anajulikana kwetu pia mimi na julikana kwao and pande zote hawajui kama tulikua na mis understanding btn us.....we have chemistry between us

Huyu mtoto wa chuo kiukweli sina feelings nae na sitaki kuchezea hisia zake na kumpotezea muda
pia na bahati coz possible kuna vidume kibao anavitolea mbavuni kwa sababu yuko na mimi kwangu nahisi ni right time ya kumdrop off.....naanzaje sasa AM FEELING GUILTY FOR THIS.....nafsi inanisuta Lord forgive me

toa ushauri......ningekua muslim ningeoa wote wawili
 
Back
Top Bottom