The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,318
- 46,059
ningetunza mtoto hilo halina shida kabisa
We jamaa wewe! Sasa kama hili tu la kumdrop mmoja linakumaliza hilo la mmoja kuwa mjamzito na kutunza mtoto si tungekusindikiza kaburini?
Kama uliweza kumpa space huyo mwenye chemistry, mpe space, likizo, yellow card na red kadi huyo mwanafunzi ila mweleze kistaarabu.
Tatizo ni kwamba, hata utumie lugha gani, guilty hauta ikwepa na ujifunze wakati mwingine kwamba maamuzi yana gharama zake.




