Am feeling guilty, nafsi inanisuta

Am feeling guilty, nafsi inanisuta

Hivi unadhani kila mtu anakubali kudropiwa kirahisi? Kuna ving'ang'anizi wa kiwango cha juu
ndio kinachoniumiza kichwa pia namuonea huruma najiona mkosaji sana
 
Wewe inaonekana unajiona most wanted sana na ulijua unapanga kukitokea hicho kidemu cha chuo ndio maana ukampa likizo huyo mwezi wako!

Yaani Mwanaume unasema eti ulimpa mda mpenzi wako ili ajirekebishe?
Mambo gani hayo ambayo yalishindikana mkiwa wote?

Karma is an ugly bitch
 
Kwema wana jf!

Najihisi mwenye makosa sana......sina amani. Iko hivi nimekua kwenye mahusiano na my girl for almost 3.5 years now, tumefanya mambo mengi sana kwenye relationship yetu na nimemsaidia vitu vingi pia. We used to have ups and downs in our relationship inshort tulipendana sana and we still love each other but last yr mwishoni kuna issue ilitokea ikasababisha mimi kama mimi nipunguze mapenzi kwake lakini nilimwambia each and everything nafanya vile kwa sababu gani(i gave her the room for improvements because she is the woman of my dream and we have a lot of commitments) though tulikua tunaendelea kuwasiliana kawaida lakini sio kivile.....we are living in different regions.

Katika kipindi cha improvements tulichopeana sadly ikatokea mwanamke mwingine kanipenda as a man tamaa kama kawaida zikaniingia( shetani mbaya sana ) tukaanza kudate mtoto wa watu kakolea haambiliki inshort humwambii kitu kuhusu mimi na yuko chuo anasoma bado .Kifupi she is addicted to me kashanitambulisha kwa rafiki zake wote na baadhi ya ndugu zake kua am his man though mimi sina plan nae yoyote kiukweli .



Kilichonileta hapa wadau nataka ushauri najua kuna nyani wazee humu washakwepa mishale mingi na washakutana na vingi

Mwanamke wangu wa kwanza kashajirekebisha na karudi moto pia ni mwanamke nayepanga kuoa kwa sababu anajulikana kwetu pia mimi na julikana kwao and pande zote hawajui kama tulikua na mis understanding btn us.....we have chemistry between us

Huyu mtoto wa chuo kiukweli sina feelings nae na sitaki kuchezea hisia zake na kumpotezea muda pia na bahati coz possible kuna vidume kibao anavitolea mbavuni kwa sababu yuko na mimi kwangu nahisi ni right time ya kumdrop off.....naanzaje sasa AM FEELING GUILTY FOR THIS.....nafsi inanisuta Lord forgive me
Huwa mnakosea sana kusema Shetani aliwapitia wakati ni kitu unapanga mwenyewe,acha hizo mzee baba.......huyo demu wa chuo mwambie tu ukweli kuwa unataka kuoa mchumba wako wa siku zote ataelewa japo kwa maumivu
 
Inasikitisha sana kuona kuwa hawa ndio aina ya wapenzi tunaowatambulisha kwa ndugu, jamaa na rafiki zetu. Unaubwaga moyo wako kwa mpita njia
Aaahh...umenikumbusha wimbo wa 'mpita njia" kuna watu Mungu anawaona ujue,. hivi kama humpendi mtu kwann unaruhusu kuwa nae??mm nilishashindwagwa huu unafiki sikupendi nakuchana laiv masuala ya ngoja kesho keshokutwa niliyaacha enzi za mwalimu...mambo mengine ni ushamba tuu.
 
Inashangaza sana, bado hata hujaoa na upo mbioni lakini ubooo umekusimama kama mchongoma vile kila ukiona tundu ni kuchoma choma tu! Sasa subiria uone kitakachokupata kwenye hiyo ndoa yako utakapooa

Badala utulie kwamba sasa naachana na ujana naingia kuwa na familia unaendekeza ashki!
 
Bro chepuka tuu,kwan nawee si ushawai umizwa,...so ndo dunia ilivyo hii,..wa chuo ama room kubwa bado.anaeza pata mwenza anytime so wala hana shida.wee endelea kula utam wale time wil tell,..huyo wa mkoa nae endelea kumla vilevile,ndo wanaume tulivyo mkuu,..kwan we mapenz umeanza lin kijana?..ndo dem wa pil nin huyo..?jus enjoy as far as ua d.ick go,..we all went thru that situation asee,..sometime unajikuta una wanawake wa4 na wote wanakupenda ,..wako weng sana hao
 
Back
Top Bottom