Am feeling guilty, nafsi inanisuta

Am feeling guilty, nafsi inanisuta

Shetani ni mmoja ila kwa siku anawezaje kupitia watu zaidi ya mia akaenda nao bar? Maana utasikia shetani kanipitiaaaaa Mara yule nae kapitiwa jamani??????
 
Juzi walikua kwenye kongamano wapo wengi sana ao,
Tunaangalia means ya kuoa wake wawil ata kama mkristu, washikilie wote maana hakuna namna
 
Kwema wana JF,

Najihisi mwenye makosa sana sina amani.

Iko hivi nimekua kwenye mahusiano na my girl for almost 3.5 years now, tumefanya mambo mengi sana kwenye relationship yetu na nimemsaidia vitu vingi pia.

We used to have ups and downs in our relationship inshort tulipendana sana and we still love each other but last year mwishoni kuna issue ilitokea ikasababisha mimi kama mimi nipunguze mapenzi kwake lakini nilimwambia each and everything nafanya vile kwa sababu gani(i gave her the room for improvements because she is the woman of my dream and we have a lot of commitments) though tulikua tunaendelea kuwasiliana kawaida lakini sio kivile, we are living in different regions.

Katika kipindi cha improvements tulichopeana sadly ikatokea mwanamke mwingine kanipenda as a man tamaa kama kawaida zikaniingia shetani mbaya sana tukaanza kudate mtoto wa watu kakolea haambiliki inshort humwambii kitu kuhusu mimi na yuko chuo anasoma bado. Kifupi she is addicted to me kashanitambulisha kwa rafiki zake wote na baadhi ya ndugu zake kua am his man though mimi sina plan nae yoyote kiukweli.

Kilichonileta hapa wadau nataka ushauri najua kuna nyani wazee humu washakwepa mishale mingi na washakutana na vingi.

Mwanamke wangu wa kwanza kashajirekebisha na karudi moto pia ni mwanamke nayepanga kuoa kwa sababu anajulikana kwetu pia mimi na julikana kwao and pande zote hawajui kama tulikua na mis understanding btn us, we have chemistry between us.

Huyu mtoto wa chuo kiukweli sina feelings nae na sitaki kuchezea hisia zake na kumpotezea muda pia na bahati coz possible kuna vidume kibao anavitolea mbavuni kwa sababu yuko na mimi kwangu nahisi ni right time ya kumdrop off.

Naanzaje sasa AM FEELING GUILTY FOR THIS, nafsi inanisuta Lord forgive me.
nawachukia sana watu wanaochanganya lugha kwenye maongezi au maandiko yao. andika lugha moja ijulikane. acha kasumba ili uonekane umesoma na umeendlea. kama kiswahili kiwe kiswahili kama kingereza vivyo hivyo " we must emancipate ourselves from mental selves "
 
zingekuja on the way
Upendo wa kulazimisha huo ...anyway wewe na moyo wako ni waamuzi wa mwisho
On my side muache mdada wa watu in piece aendelee na masomo yake na life goes on
Wanaume muwe na huruma if humpendi mtu why umpotezee muda na hisia zake...soo sad kwa kweli
 
nawachukia sana watu wanaochanganya lugha kwenye maongezi au maandiko yao. andika lugha moja ijulikane. acha kasumba ili uonekane umesoma na umeendlea. kama kiswahili kiwe kiswahili kama kingereza vivyo hivyo " we must emancipate ourselves from mental selves "
kama ulikimbia umande mimi sina cha kukusaidia sili kwako wala sijawahi kukuomba chako tuliza makalio.....usinipangie maisha
 
Yaani kuna vitu huwa navishangaaga sana kwenye mahusiano mpaka nabaki nachekaga tuu kwa huzuni....aiseee!!!!
shangaa wewe best..
i remember one story ililetwa humu, a guy dated with a lady for 5 good years na madai walikua wanapendana sana, imetokea siku tu, mwanamke hamtaki jamaa sababu mwanamke hapendi kurekebishwa anapokosea, imagine all the time wasted na walikua mbion kufunga ndoa , guess what, a month tu after breakup mwanamke kapata mimba ya someone else ...hahaha aisee
ila vitu vingine sio akili za kawaida kuna na nguvu za giza hua zinafanyika,
 
Back
Top Bottom