Am feeling guilty, nafsi inanisuta

Am feeling guilty, nafsi inanisuta

Endelea nao wote mkuu,kwanini umuache?ni kosa kubwa saana kutegemea mwanamke mmoja!

Mwekee mazingira ya kumfanya mchepuko anayejihisi yupo njia kuu!
 
Ikifika kwenye maswala ya mapenzi mnakuwa wazungu hivi si ungewakilisha hata kwa kizulu
 
Endelea nao wote mkuu,kwanini umuache?ni kosa kubwa saana kutegemea mwanamke mmoja!

Mwekee mazingira ya kumfanya mchepuko anayejihisi yupo njia kuu!
wanawake wa wivu sana sidhani kama ataelewa aseee
 
shangaa wewe best..
i remember one story ililetwa humu, a guy dated with a lady for 5 good years na madai walikua wanapendana sana, imetokea siku tu, mwanamke hamtaki jamaa sababu mwanamke hapendi kurekebishwa anapokosea, imagine all the time wasted na walikua mbion kufunga ndoa , guess what, a month tu after breakup mwanamke kapata mimba ya someone else ...hahaha aisee
ila vitu vingine sio akili za kawaida kuna na nguvu za giza hua zinafanyika,
Mungu aturehemu tuu kwa kweli.
 
Sasa mkuu si uoe wote tu mbona kitu rahisi kabisa.......!
 
Sasa unashindwa nini kumueleza huyo wa chuo kuwa humtaki??
 
Hutaki kumpotezea muda wakati ushampotezea zaidi ya huo muda??
 
Mwambie hii story uliyotueleza hapa, mwenyewe atajiongeza. Itamuuma lakini mwisho wa siku maisha yataendelea. Ila na wewe jiandae kulipa machozi atakayolia maana ulijua tangu mwanzo kuwa humpendi ila unapita tu kwake!
Imekaa vema ila what if huyo sijui chemistry yupo kwenye special mission baada ya kugundua whole game
 
Back
Top Bottom