Umekuwa penda penda mkuu mere chapa ilale unaipeleka homebad thing huyu tuko nae same region akipiga akinikosa straight anakuja home
Don't dare trust a woman u will end up cryinghapana mkuu hana mahusiano yoyote mengine am sure
Hapo ndipo mleta mada atakapopambana na hali yake. Kila chaguo lina madhara yake, itabidi ayakubali hayo madharaImekaa vema ila what if huyo sijui chemistry yupo kwenye special mission baada ya kugundua whole game
hahaha tumewajengea lami hapo sitalike kwenye boko wengi hadi mpanda
sahau mkuu huko bado sana aiseeNdio mkuu na sisi kamji ketu kawe jiji siku moja.

nawachukia sana watu wanaochanganya lugha kwenye maongezi au maandiko yao. andika lugha moja ijulikane. acha kasumba ili uonekane umesoma na umeendlea. kama kiswahili kiwe kiswahili kama kingereza vivyo hivyo " we must emancipate ourselves from mental selves "
ana frustration zake huyo mkuu.....jiwe si wa mchezoMkuu wewe una matatizo niulize kwa nn
ujanja ujanja tena hakuna this time
mbona unaguna mama toa msaada wa mawazo
hawajuani kabisa na hakuna yeyote kati yao aliewahi hata kuhisi kama na mahusiano mengine....so kila mmoja anajua yuko peke yakeImekaa vema ila what if huyo sijui chemistry yupo kwenye special mission baada ya kugundua whole game
sawa mkuuUsikilize moyo wako unataka nini kisha tekeleza na maisha yaendelee