Excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 19,745
- 10,078
Mtanzania Anaitwa KARIM HUSSEIN LIMO Huyo Aliesimama Katikati Amezaliwa 1968 Elimu Amepata Shule Ya Msingi Maweni
Baba Yake Anaitwa HUSSEIN ABEID LIMO Mama Yake Anaitwa MARIAM MASHIRIMA Kwao Ni Himo, Moshi
Aliondoka Tanzania Kuelekea South Africa 1998 Miaka Yoote Hakuwahi Kurudi Tanzania Wala Mawasiliano Na Ndugu Zake
Hivi Sasa Amerukwa Na Akili Yaani Kichwa Hakipo Sawa Anataka Kurudi Tanzania Hali Yake Mbaya Kama Unavyomuona
Anawakumbuka Ndugu Wachache Kama
Rehema Ibrahim - Upande wa Babba
Abeli Mfinanga. - Upande wa Mama
Nurdini Swalehe - Upande wa Babba
Waliabi Moshi - Dada
Madina Hussein - Dada
Kwa Yoyote Anaefahamu Ndugu Zake Awasiliane Na .+255763005575 Au +27687762094 Msangi Kwa Whatsaap Ili Arudishwe Tanzania
Picha Hii Imepigwa Nje Ya Ubalozi wa Tanzania Huko Pretoria, South Africa
SAMBAZA TUPATE NDUGU ZAKE
Baba Yake Anaitwa HUSSEIN ABEID LIMO Mama Yake Anaitwa MARIAM MASHIRIMA Kwao Ni Himo, Moshi
Aliondoka Tanzania Kuelekea South Africa 1998 Miaka Yoote Hakuwahi Kurudi Tanzania Wala Mawasiliano Na Ndugu Zake
Hivi Sasa Amerukwa Na Akili Yaani Kichwa Hakipo Sawa Anataka Kurudi Tanzania Hali Yake Mbaya Kama Unavyomuona
Anawakumbuka Ndugu Wachache Kama
Rehema Ibrahim - Upande wa Babba
Abeli Mfinanga. - Upande wa Mama
Nurdini Swalehe - Upande wa Babba
Waliabi Moshi - Dada
Madina Hussein - Dada
Kwa Yoyote Anaefahamu Ndugu Zake Awasiliane Na .+255763005575 Au +27687762094 Msangi Kwa Whatsaap Ili Arudishwe Tanzania
Picha Hii Imepigwa Nje Ya Ubalozi wa Tanzania Huko Pretoria, South Africa
SAMBAZA TUPATE NDUGU ZAKE