De Professor
JF-Expert Member
- May 21, 2021
- 206
- 395
Wadau naombeni nisiwe na mambo mengi naombeni kujua yeyote aliyewahi agizia mzigo Alibaba ulimfikia vipi na ofisi za agent zao hapa Dar zipo wapi?
Mimi nina experience na Kikuu nimeagiza sana na kupokea mizigo yangu mara ya mwisho nilinunua mzigo wa Million 1,200,000/= nilifanya maana ofisi zao nilienda pale Shoppers plaza msasani so nikawa confident kikitokea chochote ninao wa kukabana nao.
Natamani Alibaba wana vitu vingi na cheap zaidi ya Kikuu.
Mimi nina experience na Kikuu nimeagiza sana na kupokea mizigo yangu mara ya mwisho nilinunua mzigo wa Million 1,200,000/= nilifanya maana ofisi zao nilienda pale Shoppers plaza msasani so nikawa confident kikitokea chochote ninao wa kukabana nao.
Natamani Alibaba wana vitu vingi na cheap zaidi ya Kikuu.