Siyo tu vyombo vya habari vya IPP media... Bali pia hata kiwanda cha Bonite kinachosupply vinywaji laini na maji ya Kilimanjaroi kanda ya Kaskazini nacho kimeyumba. Nabaki na swali kuwa Je? Kufariki kwa CEO ndiyo chanzo cha kampuni hizi kuyumba? Nini shida?Kwa ujumla IPP Media katika ubora wa wake enzi za kabla ya mwaka 2016 ilikuwa ni kampuni ya kiwango cha juu kabisa katika tasnia ya habari katika ukanda huu wa Africa Mashariki kwa weledi na umahiri.
Vituo vyake vya Radio one, ITV, East Africa pamoja na magezeti yalikuwa ya weledi wa hali ya juu. Ulikuwa unapata habari ambazo unaona kweli zimefanyiwa kazi na waandishi halisi wa habari, pia katika burudani walikuwa wanafanya vizuri sana.
Waliweza ku-balance utoaji wa habari ngumu, elimu na burudani kwa weledi wa hali ya juu na kuvutia.
Tangu 2016 ni kama IPP ilipotea kabisa katika tasnia na kuliacha taifa katika ombwe kubwa la kukosa chombo cha habari kinachowasilisha maslahi mapana ya kitaifa ambacho kinawafikia watu wengi.
Kwa sasa katika taifa letu vyombo karibia vyote vinavyowafikia raia wengi ni kama vya comedy na burudani zaidi. Kuanguka kwa ITV na Radio One ni moja tukio baya zaidi katika historia ya nchi yetu.
Tunzo ya kitapeli kipind cha Mengi walikuw wanapat kwa haki ila sasa hamna kipya wanapuuzia teknolojia hawana mzuka .ITV ndiyo SUPER BRAND Afrika mashariki, ama kuna wengine wametwaa hiyo huo u'super!?
Wanabadili vipi wakati soko ndo uamua,ukienda kinyume na soko habari zako zinadodaNi waandishi tu wenye uwezo wa kubadili soko mzee, waandishi wa habari ndo wasambaza propaganda.
wanahabari wanaminywa uhuru waoKwa ujumla IPP Media katika ubora wa wake enzi za kabla ya mwaka 2016 ilikuwa ni kampuni ya kiwango cha juu kabisa katika tasnia ya habari katika ukanda huu wa Africa Mashariki kwa weledi na umahiri.
Vituo vyake vya Radio one, ITV, East Africa pamoja na magezeti yalikuwa ya weledi wa hali ya juu. Ulikuwa unapata habari ambazo unaona kweli zimefanyiwa kazi na waandishi halisi wa habari, pia katika burudani walikuwa wanafanya vizuri sana.
Waliweza ku-balance utoaji wa habari ngumu, elimu na burudani kwa weledi wa hali ya juu na kuvutia.
Tangu 2016 ni kama IPP ilipotea kabisa katika tasnia na kuliacha taifa katika ombwe kubwa la kukosa chombo cha habari kinachowasilisha maslahi mapana ya kitaifa ambacho kinawafikia watu wengi.
Kwa sasa katika taifa letu vyombo karibia vyote vinavyowafikia raia wengi ni kama vya comedy na burudani zaidi. Kuanguka kwa ITV na Radio One ni moja tukio baya zaidi katika historia ya nchi yetu.
Bonite imeyumba kivipi, elezea I feel goodSiyo tu vyombo vya habari vya IPP media... Bali pia hata kiwanda cha Bonite kinachosupply vinywaji laini na maji ya Kilimanjaroi kanda ya Kaskazini nacho kimeyumba. Nabaki na swali kuwa Je? Kufariki kwa CEO ndiyo chanzo cha kampuni hizi kuyumba? Nini shida?
Ishakuwa ni tawi la CCM.Kuna ile chaneli Ten, sijui kama bado ipo hai!!!