Aliyesababisha Radio One na ITV kuanguka kutoka kilele cha tasnia ni nani?

Enzi hizo michezo utamkuta abdala majura au doe Rweyunga kwenye habali usipime kina ebd mwaipaya Joisi mfinanga NK nk mpaka burudani sostenes bakisya noyma sana abubqkali Kwa Fujo dj misanya bingi pia dah uje kwenye magazeti yalikuwepo mpa ya alasili Hadi kasheshe la udaku wewe kamali na kaboka mchizi weka mbali na watoto
Uliishia darasa la ngapi?
 
Sio ITV na Radio One tu.. hata TV na redio zingine zinapita pagumu sana kutokana na moto wanaopelekewa na online medias. Ni vile hawasemi ila hali sio hali kwenye TV na Radio stations. Wamiliki wengi wanajuta kuendesha hizo biashara.
 
Kwa ujumla IPP Media katika ubora wa wake enzi za kabla ya mwaka 2016 ilikuwa ni kampuni ya kiwango cha juu kabisa katika tasnia ya habari katika ukanda huu wa Africa Mashariki kwa weledi na umahiri.

Vituo vyake vya Radio one, ITV, East Africa pamoja na magezeti yalikuwa ya weledi wa hali ya juu. Ulikuwa unapata habari ambazo unaona kweli zimefanyiwa kazi na waandishi halisi wa habari, pia katika burudani walikuwa wanafanya vizuri sana.

Waliweza ku-balance utoaji wa habari ngumu, elimu na burudani kwa weledi wa hali ya juu na kuvutia.

Tangu 2016 ni kama IPP ilipotea kabisa katika tasnia na kuliacha taifa katika ombwe kubwa la kukosa chombo cha habari kinachowasilisha maslahi mapana ya kitaifa ambacho kinawafikia watu wengi.

Kwa sasa katika taifa letu vyombo karibia vyote vinavyowafikia raia wengi ni kama vya comedy na burudani zaidi. Kuanguka kwa ITV na Radio One ni moja tukio baya zaidi katika historia ya nchi yetu.
itv uwa wananifurahisha na yale masharti yao na suruali na tai utafikiri ni waimba kwaya. hivi huwa hawajifunzi kwa wenzao? walikuwa wa mwanzo, wamekuwa wa mwisho.
 
Kwa ujumla IPP Media katika ubora wa wake enzi za kabla ya mwaka 2016 ilikuwa ni kampuni ya kiwango cha juu kabisa katika tasnia ya habari katika ukanda huu wa Africa Mashariki kwa weledi na umahiri.

Vituo vyake vya Radio one, ITV, East Africa pamoja na magezeti yalikuwa ya weledi wa hali ya juu. Ulikuwa unapata habari ambazo unaona kweli zimefanyiwa kazi na waandishi halisi wa habari, pia katika burudani walikuwa wanafanya vizuri sana.

Waliweza ku-balance utoaji wa habari ngumu, elimu na burudani kwa weledi wa hali ya juu na kuvutia.

Tangu 2016 ni kama IPP ilipotea kabisa katika tasnia na kuliacha taifa katika ombwe kubwa la kukosa chombo cha habari kinachowasilisha maslahi mapana ya kitaifa ambacho kinawafikia watu wengi.

Kwa sasa katika taifa letu vyombo karibia vyote vinavyowafikia raia wengi ni kama vya comedy na burudani zaidi. Kuanguka kwa ITV na Radio One ni moja tukio baya zaidi katika historia ya nchi yetu.
Mabadiliko ya kimasoko katika tasnia ya media operations ndio sababu ya pekee. ITV yetu legendary inaoperate kwa mkakati wa kibiashara wa miaka ya 2000. Kwa sasa tupo 2024, management ya itv inatakiwa kujitathmini, ijiweke kibiashara zaidi kama competitors wenzake ili iweze kujirudisha katika ramani ya TV pendwa nchini. Nje ya hivyo, baada ya miaka 20 ijayo, wazee weo wakipungua, basi watapotea na hata kufungwa kabisaaaa
 
Kwa ujumla IPP Media katika ubora wa wake enzi za kabla ya mwaka 2016 ilikuwa ni kampuni ya kiwango cha juu kabisa katika tasnia ya habari katika ukanda huu wa Africa Mashariki kwa weledi na umahiri.

Vituo vyake vya Radio one, ITV, East Africa pamoja na magezeti yalikuwa ya weledi wa hali ya juu. Ulikuwa unapata habari ambazo unaona kweli zimefanyiwa kazi na waandishi halisi wa habari, pia katika burudani walikuwa wanafanya vizuri sana.

Waliweza ku-balance utoaji wa habari ngumu, elimu na burudani kwa weledi wa hali ya juu na kuvutia.

Tangu 2016 ni kama IPP ilipotea kabisa katika tasnia na kuliacha taifa katika ombwe kubwa la kukosa chombo cha habari kinachowasilisha maslahi mapana ya kitaifa ambacho kinawafikia watu wengi.

Kwa sasa katika taifa letu vyombo karibia vyote vinavyowafikia raia wengi ni kama vya comedy na burudani zaidi. Kuanguka kwa ITV na Radio One ni moja tukio baya zaidi katika historia ya nchi yetu.
Binafsi kama sijaangalia habari UTV basi siku hiyo haijakamilika. ITV walishindwa kubadilika mapema kuendana na mahitaji ya soko kuanzia muonekano wa studio yao, ubora wa picha yao (resolution) na ubunifu wa watangazaji wao, kifupi wamejitoa wenyewe kwenye soko la ushindani. Kumuangalia mtangazaji kaganda kama sanamu kwa lisaa lizima inaboa mno na bado hakuna uchambuzi wowote wa habari aisee, hakuna wa kunishawishi kuangalia habari ya namna hiyo.
 
Kwa ujumla IPP Media katika ubora wa wake enzi za kabla ya mwaka 2016 ilikuwa ni kampuni ya kiwango cha juu kabisa katika tasnia ya habari katika ukanda huu wa Africa Mashariki kwa weledi na umahiri.

Vituo vyake vya Radio one, ITV, East Africa pamoja na magezeti yalikuwa ya weledi wa hali ya juu. Ulikuwa unapata habari ambazo unaona kweli zimefanyiwa kazi na waandishi halisi wa habari, pia katika burudani walikuwa wanafanya vizuri sana.

Waliweza ku-balance utoaji wa habari ngumu, elimu na burudani kwa weledi wa hali ya juu na kuvutia.

Tangu 2016 ni kama IPP ilipotea kabisa katika tasnia na kuliacha taifa katika ombwe kubwa la kukosa chombo cha habari kinachowasilisha maslahi mapana ya kitaifa ambacho kinawafikia watu wengi.

Kwa sasa katika taifa letu vyombo karibia vyote vinavyowafikia raia wengi ni kama vya comedy na burudani zaidi. Kuanguka kwa ITV na Radio One ni moja tukio baya zaidi katika historia ya nchi yetu.
Waanzilishi wa Nukuu ya Rais, mama anaupiga mwingi.
 
Back
Top Bottom