Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,702
- 36,124
Habari!
Hii mada imeshushwa kama ina kakejeli ndani yake ila ndio ukweli.
Ukiondoa shule chache za msingi za serikali ambazo kidogo zina afadhali kama Diamond primary school and like. Ukuondoa sekondari zile za vipaji vya juu na kati tulizosoma zamani ambazo mnakutana wanafunzi kutoka kona zote za Tanzania shule zingine zote za serikali hamna kitu.
Shule za kata za sekondari wakuu wa shule wanapambana watoto wapate kufaulu ili wasishushwe madaraka, wakuu wa shule za msingi za serikali vivyo hivyo hupambana watoto wafaulu kwa % kubwa waende sekondari ili wasishushwe au kuvuliwa madaraka.
Mwanafunzi aliyesoma shule hizi za hovyo hata akipata PhD bado PhD yake itakuwa ya kuungaunga tu.
Hii mada imeshushwa kama ina kakejeli ndani yake ila ndio ukweli.
Ukiondoa shule chache za msingi za serikali ambazo kidogo zina afadhali kama Diamond primary school and like. Ukuondoa sekondari zile za vipaji vya juu na kati tulizosoma zamani ambazo mnakutana wanafunzi kutoka kona zote za Tanzania shule zingine zote za serikali hamna kitu.
Shule za kata za sekondari wakuu wa shule wanapambana watoto wapate kufaulu ili wasishushwe madaraka, wakuu wa shule za msingi za serikali vivyo hivyo hupambana watoto wafaulu kwa % kubwa waende sekondari ili wasishushwe au kuvuliwa madaraka.
Mwanafunzi aliyesoma shule hizi za hovyo hata akipata PhD bado PhD yake itakuwa ya kuungaunga tu.