Niulize Mimi.Ishu ya mke haijausika katika ugomvi
Chief usiniamishie mawazo yakoUlipenda awe hai huyo jambazi, mkuu
yani hujaelewa tu...ujambazi sio kazi nzuri hasa hasa ukiua polisiYani askari wanataka tuamini kuwa wanazidiwa nguvu na mtuhumiwa aliyefungwa pingu mpaka anapata chance ya kuruka kwenye gari???
Hakuna nisichoelewa chief.yani hujaelewa tu...ujambazi sio kazi nzuri hasa hasa ukiua polisi
Wewe Farasi .....zuzu mama yakoMahakama zipo kwa ajili ya nini hasa kama watu wanaopaswa kusimamia sheria wanazivunja wazi wazi alafu mazuzu kama wewe mnashangilia
Ukweli unauma ila punguza jazba😆😆Wewe Farasi .....zuzu mama yako
ale sande mwahaUkweli unauma ila punguza jazba
Nimeelewa somo aise.Huyo hata kama walimsukuma ili adondoke wakati gari ipo kwenye mwendo kasi ni sawa kabisa, hatakiwi kuishi ni hatari kwa jamii.
Thubutu, labda km sio bongo land.Polisi polisi polisi. Unawezaje kuruka kwenye gari ukiwa umefungwa pingu mikononi? Iundwe kamati ya kuchunguzwa kifo hicho.
I smell rat!Hizi story za kawaida,huyu amekuwa executed,porini harafu vitu vikawa stage managed,polisi ccm ndio zao,hawana akiliJambazi aliyemuua kwa kumkata mapanga Askari polisi, H.2407 Constable Damasi Magoti wa kituo Cha polisi Mbughuni wilayani Arumeru, Jacob Kideko au Ramadhani Kichwa(43) Mkazi wa Makiba amefariki dunia katika jaribio la kuwatoroka polisi alipokuwa akisafirishwa jijini Arusha.
Kwa mujibu wa taarifa ya kamanda was polisi mkoa wa Arusha, Justine Masejo,jambazi huyo alikamatwa julai 27 mwaka huu Mkoani Morogoro alikokuwa amejificha kukwepa polisi na walipofika eneo la Kisongo jijini Arusha akiwa kwenye gari amefungwa pingu mkononi alijaribu kuruka kuwakimbia polisi.
Taarifa hiyo inadai kwamba mtuhumiwa alipata majeraha kichwani na michubuko kwenye mwili wake, Hata hivyo polisi walijaribu kuokoa Maisha yake kwa kumpeleke katika hospital ya Mkoa Mount Meru ,lakini alipoteza Maisha akiwa njiani.
Inadaiwa kuwa jambazi huyo alikuwa akisakwa na Askari wa gereza kuu la Arusha baada ya kufungwa miaka 16 ,Septembe 10 ,2008 lakini alitoroka mnamo April 1, 2017 akiwa chini ya ulinzi wa askari wa Magereza.
Marehemu Magoti aliuawa usiku Julai 23 mwaka huu wakati akitekeleza majukumu yake katika Kijiji Cha Makiba akijaribu kumkamata mtuhumiwa wa wizi nyumbani kwake, ndipo jambazi huyo alitokea jirani na eneo la tukio na kumshambulia kwa kumkata mapanga sehemu mbalimbali na kupoteza Maisha.
Umekuja na uCHADEMA speed 160,rudi kasome upya alichoandika mtoa mada.Huyo marehemu anayeitwa jambazi ukute hakuwahi iba hata ufagio.
1. Nani anaweza prove kwamba alifungwa miaka 16 pale Kisongo kisha akatoroka ila akaendelea kuishi palepale Arusha
2. Kilichomfanya amuue askari kwa mapanga usiku kwa jirani yake aliyetakiwa kukamatwa ni nini. Hii kesi anayodaiwa kuvamia wala hakumuhusu
3. Huyo askari namna gani ameenda peke yake usiku kumkamata mtuhumiwa nyumbani kwake
4. Marehemu jambazi aliwezaje kuruka kwenye gari wakati yuko chini ya ulinzi na kafungwa pingu. Ina maana askari wetu ni wazembe kiasi hiki
Hii kesi bila hata kutumia akili ina ukakasi mwingi
Nimesoma alichoandika na nimesoma uzi wa huyo askari kuuwawa na mazingira yaliyoelezewa. Hiyo comment yangu haijaanzia kwenye uzi huu, sijakurupuka.Umekuja na uCHADEMA speed 160,rudi kasome upya alichoandika mtoa mada.
Haaaa huyu atakuwa wamemdedisha tu! Wajua kwa sasa ishu za majambazi hakuna ku negotiate nao ni kuwa murder tu kupunguza kazi.Jambazi aliyemuua kwa kumkata mapanga Askari polisi, H.2407 Constable Damasi Magoti wa kituo Cha polisi Mbughuni wilayani Arumeru, Jacob Kideko au Ramadhani Kichwa(43) Mkazi wa Makiba amefariki dunia katika jaribio la kuwatoroka polisi alipokuwa akisafirishwa jijini Arusha.
Kwa mujibu wa taarifa ya kamanda was polisi mkoa wa Arusha, Justine Masejo,jambazi huyo alikamatwa julai 27 mwaka huu Mkoani Morogoro alikokuwa amejificha kukwepa polisi na walipofika eneo la Kisongo jijini Arusha akiwa kwenye gari amefungwa pingu mkononi alijaribu kuruka kuwakimbia polisi.
Taarifa hiyo inadai kwamba mtuhumiwa alipata majeraha kichwani na michubuko kwenye mwili wake, Hata hivyo polisi walijaribu kuokoa Maisha yake kwa kumpeleke katika hospital ya Mkoa Mount Meru ,lakini alipoteza Maisha akiwa njiani.
Inadaiwa kuwa jambazi huyo alikuwa akisakwa na Askari wa gereza kuu la Arusha baada ya kufungwa miaka 16 ,Septembe 10 ,2008 lakini alitoroka mnamo April 1, 2017 akiwa chini ya ulinzi wa askari wa Magereza.
Marehemu Magoti aliuawa usiku Julai 23 mwaka huu wakati akitekeleza majukumu yake katika Kijiji Cha Makiba akijaribu kumkamata mtuhumiwa wa wizi nyumbani kwake, ndipo jambazi huyo alitokea jirani na eneo la tukio na kumshambulia kwa kumkata mapanga sehemu mbalimbali na kupoteza Maisha.
Inqmaqnq toka Moro hadi Arusha ni kwa gari gani pick-up au suv haina child lock?!Polisi polisi polisi. Unawezaje kuruka kwenye gari ukiwa umefungwa pingu mikononi? Iundwe kamati ya kuchunguzwa kifo hicho.
Sometimes huwa na akili.Yani askari wanataka tuamini kuwa wanazidiwa nguvu na mtuhumiwa aliyefungwa pingu mpaka anapata chance ya kuruka kwenye gari?
Huenda askari aliuawa kwenye fumanizi au hata akiwa kwenye harakati za yeye kufanya Ujambazi. Na huyo anayeitwa mtuhumiwa wala siyo mhusika kiuhalisia Ila amebambikwa, akapigwa, akafa kisha tunakuja kuambiwa amejirusha ili mambo yaishe na kusiwepo na mwendelezo utakaofichua ukweli wa kilichomuua Askari mwenzao.Maana yake ni kuwa ukizingua na wewe unazinguliwa. Kuua watu na kuharibu maisha ya wengine, mwisho wake ni kuuwawa