Mmh, jambazi naye ana mbinu hata pengine za kuwazidi Askari wetu.Yani askari wanataka tuamini kuwa wanazidiwa nguvu na mtuhumiwa aliyefungwa pingu mpaka anapata chance ya kuruka kwenye gari?
Utakuta majamba wengine wamefuzu mafunzo ya kijeshi pia. Kwa hiyo ndugu, usishangae Askari kuuawa au kutorokwa na jambazi.