The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,394
- 12,978
Hivi kwa nini wasiwaweke ndani kama akina Rugemalira halafu uchunguzi uendelee....!!Mkuu kenye hotuba ya Jpm mbona hilo swali liliwekwa wazi?
Kwamba 'walimtaim' mwanasheria mkuu akiwa likizo ya kuuguza ndiyo wakafanya waliyoyafanya.
Hili 'saga' litakula vichwa kuanzia wizarani, ofisi ya mwanasheria mkuu na fire.
Sent using Jamii Forums mobile app