Aliyekudhuru ndo akuhudumie?

Aliyekudhuru ndo akuhudumie?

Lissu na wengine hawasemi bunge na serekali wa muhudumie Lissj sheria na kanuni za bunge ndizo zinazosema hivyo na hakuzitunga Lissu.
 
Jamaa walianza kwa mbwembwe na kudai hawahitaji senti moja ya Serikali maana wao ndio waliotaka kumuua sasa nashangaa wanaomba pesa
Rekebisha, hawaombi Ila wanataka.
Hata hivyo sio kusema wameshindwa, ndio maana zaidi ya milioni 600 zimetumika na bado mgonjwa kapelekwa Ubeligiji
 
Kwenye hili LISSU anakosea sana alitakiwa kuwa neutral kabsa na kuacha kupoint mtu direct eti ndio muhusika kwenye jaribio la kutaka kumuua...

kwanini nashauri alitakiwa kuwa NEUTRAL ni kwa sababu HATA HUKO CHADEMA hayupo salama kama adhaniavyo.....Aache kumwamini m/kiti wake wala Nyeupe......

Lissu nakushauri kuropoka jihadhari ADUI ZAKO una wajua vizuri....Na si MAGUFULI.....
Mpaka sasa hivi ni wewe ndio umeshikiria mustakabali wa MBOWE NA EL hapo chadema.....
 
ni rahisi sana watu kujitoa ufahamu kwa kiwango kikubwa, huyu jamaa ameamua kujia hamnazo
 
Kwenye hili LISSU anakosea sana alitakiwa kuwa neutral kabsa na kuacha kupoint mtu direct eti ndio muhusika kwenye jaribio la kutaka kumuua...

kwanini nashauri alitakiwa kuwa NEUTRAL ni kwa sababu HATA HUKO CHADEMA hayupo salama kama adhaniavyo.....Aache kumwamini m/kiti wake wala Nyeupe......

Lissu nakushauri kuropoka jihadhari ADUI ZAKO una wajua vizuri....Na si MAGUFULI.....
Mpaka sasa hivi ni wewe ndio umeshikiria mustakabali wa MBOWE NA EL hapo chadema.....
 
Kwenye hili LISSU anakosea sana alitakiwa kuwa neutral kabsa na kuacha kupoint mtu direct eti ndio muhusika kwenye jaribio la kutaka kumuua...

kwanini nashauri alitakiwa kuwa NEUTRAL ni kwa sababu HATA HUKO CHADEMA hayupo salama kama adhaniavyo.....Aache kumwamini m/kiti wake wala Nyeupe......

Lissu nakushauri kuropoka jihadhari ADUI ZAKO una wajua vizuri....Na si MAGUFULI.....
Mpaka sasa hivi ni wewe ndio umeshikiria mustakabali wa MBOWE NA EL hapo chadema.....
 
Rekebisha, hawaombi Ila wanataka.
Hata hivyo sio kusema wameshindwa, ndio maana zaidi ya milioni 600 zimetumika na bado mgonjwa kapelekwa Ubeligiji
Milioni 600 mlimnunulia moyo nini? Wajinga ndio waliwao acha Mbowe apige tu pesa hakuna nanmna
 
Nyani Ngabu Pesa sio za Rais wa wala Ccm, pesa ni za serikali ya Jamhuri ya Muungano. Ni wajibu wake kutibiwa na serikali.

pesa sio za serikali ya CCM, pesa ni za watanzania. sio hiki kikundi kidogo kinacho ongoza serikali. binafsi naichukia serikali yangu ila naipenda nchi yangu
 
kila nikisoma signature yako huwa nabaki na maswali lukuki.
 
Nitangulize maneno machache juu ya ujinga [ujinga siyo tusi] wangu juu ya nani alihusika na jaribio la kutaka kuondoa uhai wa Tundu Lissu. Mimi sijui kabisa nani alihusika. Lakini pia najua tofauti kati ya kujua, kuhisi, kudhani, na kusadiki. Wenye akili mtakuwa mmenipata, natumai.

Sasa bana, jana Mh. Lissu kaongea na waandishi wa habari huko Nairobi, Kenya, ambapo kimsingi kamtuhumu rais Magufuli na CCM kuhusika moja kwa moja na hilo jaribio la mauaji dhidi yake.

Upande wa serikali naona umeamua kuchukua ‘the high road’ kwa kukataa kulumbana na ‘mgonjwa’, kama ulivyosomeka ule ujumbe wa msemaji wa serikali. Nikiri tu kuwa ule ujumbe ulinichekesha sana. Ulikuwa mfupi na wenye kueleweka.

Sasa kwa vile Mh. Lissu kaamua kutoa tuhuma zake hadharani namna ile, he is now fair game!

Yeye na makamanda wenzake hawaeleweki. Hawaeleweki kwa sababu, kwa upande mmoja wanadai kuwa serikali, rais Magufuli, vyombo vya dola, na CCM ndo walihusuka na mpango mzima. Na kwa upande mwingine wanalialia kuwa eti mpaka sasa bunge halijampa haki zake, mara sijui polisi hawafanyi uchunguzi wa nani aliyetaka kumuua na blah blah zingine kama hizo.

Ni dhahiri kuwa Lissu anaingiza siasa kwenye hizo tuhuma na shutuma zake. Vivyo hivyo, huenda hata upande wa serikali nao umeamua kucheza siasa.

Now it’s on. Nasubiri tu siku Magu aje alizungumzie hilo suala. Makamanda mtalia na kusaga meno maana bwana yule mdomo wake hauna breki.

Nyie chekeleeni tu hivyo vijembe vya huyo kamanda wenu Lissu kwa sasa. Lakini siku Magu atayoamua kujibu mapigo mtatafutana.

Muwe na Jumamosi njema.
Hofu na hisia zangu ni kuwa hili tukio limefanywa na hao wanaomzunguka wakiwa wame target kuichafua Serikali na hapo hapo kummaliza huyo Lisu asijefanya mapinduzi kwenye Chama chao maana tayari nyota yake ilishakubalika na wanachama wao ambao wengi wameshapoteza imani na Mwenyekiti.

Nina wasi wasi na hofu pia huko wanakompeleka isije ikawa ndio mpango wa kummaliza kabisa ili warudi na kuanza propaganda kuwa ni Serikali ndio imemuua.

Naandika haya maana kwa sasa na mwenendo wa hiki chama ni wa kutia mashaka sana.
 
Nitakuwa fala eti unanituhumu nimekudhuru halafu unaniambia niwe karibu na wewe. Huo ni utoto,sawa sawa unanituhumu nagegeda mke wako halafu unataka niwe naye karibu. Serikali ina akili sio kama upande wenu wa kueopoka huo

Si unajua tofauti ya Bunge na Serikali? Na si unajua maslahi ya Wabunge yapo kisheria na hayategemei ufala wako au wa mtu yeyote?
 
julius.jpg
 
Back
Top Bottom