Aliyekudhuru ndo akuhudumie?

Aliyekudhuru ndo akuhudumie?

Serikali haijakataa kuhudumia lisu. Ila nakumuka kaman lissu aliamriwa apelekwe muhimbili cdm wakagoma, na wakaamua kuagiza ndege kenya ikaja kumchukua wakati tanzania wakiwa wameshatuma ndege ya kuja kumchukua lissu. Na kesho yake tu kamanda mmoja hivi akasema hatuhitaji fedha ya serikali kwa matibabu ya mgonjwa, na hatuhitaji serikali ihusike na matibabu yake, bunge wakachanga pesa, kamanda yuleyule akasema hatuzihitaji. Na mwingine akaenda zaidi kwa kusema watauza figo zao ili wapate hela za matibabu hajui ya kwake imeathirika na drugs. Mambo yalipobana wakaanza kulaum oooh serikali mara hivi mara vile. Ngoja niwambie nyie nyumbu. Kama mngehitaji serikali ihudumia mbunge mngeacha matibabu yake yaratibiwe na serikali na sio nyie, hivyo mngekuwa na jukumu la kufuatilia tu maendeleo ya hali yake.

Yule mjeda alipelekwa Muhimbili
 
Siku akiliongelea ndo doubts zote zitakuwa cleared!!
 
Serikali haijakataa kuhudumia lisu. Ila nakumuka kaman lissu aliamriwa apelekwe muhimbili cdm wakagoma, na wakaamua kuagiza ndege kenya ikaja kumchukua wakati tanzania wakiwa wameshatuma ndege ya kuja kumchukua lissu. Na kesho yake tu kamanda mmoja hivi akasema hatuhitaji fedha ya serikali kwa matibabu ya mgonjwa, na hatuhitaji serikali ihusike na matibabu yake, bunge wakachanga pesa, kamanda yuleyule akasema hatuzihitaji. Na mwingine akaenda zaidi kwa kusema watauza figo zao ili wapate hela za matibabu hajui ya kwake imeathirika na drugs. Mambo yalipobana wakaanza kulaum oooh serikali mara hivi mara vile. Ngoja niwambie nyie nyumbu. Kama mngehitaji serikali ihudumia mbunge mngeacha matibabu yake yaratibiwe na serikali na sio nyie, hivyo mngekuwa na jukumu la kufuatilia tu maendeleo ya hali yake.
Mama Ummy Mwalimu si alishapokea ile barua aliyoomba familia iandike ...sasa mbona simple.. Wanasubiri nn..

The government itself is neither smart nor organized. Full stop
 
Kukataa kumuhudumia ndiyo kumedhihirisha kuwa CCM na serikali yake ndiyo imemmiminia Lisu risasi 38 kwenye nyumba za serikali baada ya kuwashinda kwa hoja.

Hii political assassination ni mistake itakayomganda Pombe katika maisha yake yote.
Nitakuwa fala eti unanituhumu nimekudhuru halafu unaniambia niwe karibu na wewe. Huo ni utoto,sawa sawa unanituhumu nagegeda mke wako halafu unataka niwe naye karibu. Serikali ina akili sio kama upande wenu wa kueopoka huo
 
Nyani Ngabu Bunge kulipia gharama za matibabu ya Lissu inatokana na haki yake kisheria kama Mbunge. Hakuna swala la Jumbe wa Magogoni afurahi kwanza.

Yeye nae anatakiwa kuheshimu katiba aliyoapa kuiheshimu. Mtazamo wako ni kiashiria kuwa Watz twazidi kuharibikiwa. Twaona eti ni "ujanja" kujivunia kuwa waoga. Amen.
 
bora kawa wazi kuhusu suspects, maana hata kabla tukio halijatokea magu aliwahi kuonyesha chuki za waziwazi kwa kusema, eti ukiwa jeshin na ukaona mwenzako kakusaliti lisasi inamhusu, ni baada ya siku kazaa inatokea kweli. Nyie furahieni kuumizwa kwa lissu lakini kumbukeni, " mcheka kovu ni yule asiyefikwa na msiba" sasa jiulize,kwako patakuwa salama siku zote?
 
Nyani Ngabu Yaani siku hizi una kipaji cha ujinga na upumbavu.
Haki ya mbunge Lissu ya kutibiwa na kuhudumiwa na bunge ni ya kikatiba na kisheria sio hisani ya mtu. Wajibu wa Polisi kupeleleza na kuwakamata wahusika ni wa lazima na sio kubembelezwa, iweje utuandikie shombo zako?

Magu, magu nini bana! Hata yeye ni mtumishi tunaye mlipa mshahara kama wakina Mugabe au Samwel Doe walivyokuwa wameajiriwa kwenye nafasi hizo sasa vitisho vya nini? Lissu kama kasema serikali inahusika hamaanishi officially maana kungekuwa na nyaraka za mpango wa tukio hilo, lakini ni watu wachache ndani yake ndio wahusika.

Lissu atatibiwa na atapona na hizo gharama zitajakuwa refunded hata kama ni baada ya 2020
Lissu is delusional
 
Jamaa walianza kwa mbwembwe na kudai hawahitaji senti moja ya Serikali maana wao ndio waliotaka kumuua sasa nashangaa wanaomba pesa
 
Unayemtisha hajawahi kuogopa nyau wala kelele za chura , kama silaha za kivita zimeshindwa ndio itakuwa mdomo wa mtu ? Kingine ni hiki , hivi unachoshangilia kwenye haya mauaji ya Lissu ni kitu gani ? Yaani kwa mfano Lissu akiuawa wewe binafsi ama labda familia yako itafaidika na nini ?

Anayekula nyama ya mtu haachi - JK NYERERE .

Mytake - akishawamaliza akina Lissu utafuatia wewe .
Lissu is now delusional and paranoid
 
mashetani siku zote huuwa bila sababu kwa kutumwa na wachawi kutoka lumumba ila mungu ni mwema alimlinda lissu na bado ana mlinda!!
 
Nyani Ngabu Yaani siku hizi una kipaji cha ujinga na upumbavu.
Haki ya mbunge Lissu ya kutibiwa na kuhudumiwa na bunge ni ya kikatiba na kisheria sio hisani ya mtu. Wajibu wa Polisi kupeleleza na kuwakamata wahusika ni wa lazima na sio kubembelezwa, iweje utuandikie shombo zako?

Magu, magu nini bana! Hata yeye ni mtumishi tunaye mlipa mshahara kama wakina Mugabe au Samwel Doe walivyokuwa wameajiriwa kwenye nafasi hizo sasa vitisho vya nini? Lissu kama kasema serikali inahusika hamaanishi officially maana kungekuwa na nyaraka za mpango wa tukio hilo, lakini ni watu wachache ndani yake ndio wahusika.

Lissu atatibiwa na atapona na hizo gharama zitajakuwa refunded hata kama ni baada ya 2020
Kuna vitu vitatu ninavyohisi kimojawapo kinamsumbua au vyote kwa pamoja huyo mleta uzi aitwaye Nyani ngabu , anaweza kuwa anaandika humu lakini akawa MASIKINI WA KUTUPWA , au aweza kuwa MSHAMBA SANA ama anaweza kuwa MCHAWI MNO , Kumbuka mauaji ya Albino yalianzia kanda ya ziwa .
 
walikua na adabu
😀😀 Tundu Lissu swala lake ni kwa mujibu wa sheria za bunge sio swala la fadhila wala adabu,hata hivyo mbona Nyerere alionyesha adabu kutii kwenda uingeleza mlikotaka nyie akatibiwe badala ya china alikotaka yeye leo yupo wapi???? mnalaana nyie washabiki wa ccm!
 
Nyani Ngabu Bunge kulipia gharama za matibabu ya Lissu inatokana na haki yake kisheria kama Mbunge. Hakuna swala la Jumbe wa Magogoni afurahi kwanza.

Yeye nae anatakiwa kuheshimu katiba aliyoapa kuiheshimu. Mtazamo wako ni kiashiria kuwa Watz twazidi kuharibikiwa. Twaona eti ni "ujanja" kujivunia kuwa waoga. Amen.
Shida ni utaratibi ndugu, haukufuatwa na hicho ndo cdm huwaponza siku zote
 
Walihudumiwa kwa sababu walifuata utaratibu. Nyie hamkufuata utaratibu
ni kwa mujibu wa upeo wa akili yako ila kwa mujibu wa sheria zinazoendesha bunge hakuna utaratibu wapi ukatibiwe,sheria inalitaka bunge kutoa huduma na sio kusimamia utaratibu
 
Back
Top Bottom