Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,505
- 16,005
Akifika huko ubelgiji wamtibu na ugonjwa wa akiliKukataa kumuhudumia ndiyo kumedhihirisha kuwa CCM na serikali yake ndiyo imemmiminia Lisu risasi 38 kwenye nyumba za serikali baada ya kuwashinda kwa hoja.
Hii political assassination ni mistake itakayomganda Pombe katika maisha yake yote.