sawima
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 5,645
- 8,735
![]()
![]()
![]()
We kondoo una masharti, haya tuanze huduma saa nne mpaka saa sita utaweza lakini huduma huwa ina upako sana



eti kondoo.Sawa mchungaji ngoja nijiandae kiroho kupokea upako.
![]()
![]()
![]()
We kondoo una masharti, haya tuanze huduma saa nne mpaka saa sita utaweza lakini huduma huwa ina upako sana



eti kondoo.Hoja gani nimekimbia, niwekee hapa nikujibu.wewe huwezi na hutaweza kuthibitisha uwepo wa hayo majinni utabakiza pauka pakawa...hoja zangu nyingi unazikimbia.
Kijana uwe unasoma unachokiandika. Ulidai unaweza kutunga, lakini mpaka muda huu hujaweka hata kipande cha aya.Nimekuambia ukinipa sababu kwanini hamna anayeweza kutunga aya kama ya quran nitaileta hapa aya kama ya Quran..Sasa hata sababu tu ya kwanini watu wanashindwa huwezi kunipa wala hata sijaomba ushahidi wowote kisababu tu umekosa??
Acha uzembe weka sababu niweke aya...nimeshaandika aya kumi mpaka sasa
Pole sana mpendwa...nina imani utayasahau tu siku moja....Kwakweli.
Nimeweza kuwasahau wengi ila huyu hanitoki
Hahaha...@Madame B umepotea,nan huyo kakuweka kinyumba jaman?
usijitoe akili...we mwenyewe unajua post kibao huko juu umekimbia zingine umekoti kakipande unakokaweza hoja zingine hiyo hiyo post unajikausha...Hoja gani nimekimbia, niwekee hapa nikujibu.
Kijana uwe unasoma unachokiandika. Ulidai unaweza kutunga, lakini mpaka muda huu hujaweka hata kipande cha aya.
Pili,unauliza maswali yasiyo na maana, inakuwaje utake nikwambie sababu ya kushindwa kwako kutunga wakkati unadai unaweza kutunga ? Hii akili kwanini huitumii vizuri ? Ina maana ulipokuwa unasema unatunga ulikuwa unaropoka tu bila kujua unaweza au la ! Inaonekana katika hii mijadala huwa unajifurahisha na kupotezea watu muda siyo ?
😅😅😅😅😅😅😅Alipiga??
Ndiyo maana nasema hakuna hoja yako niliyo ikimbia, unakuta unaeleza maneno mengi yasiyo na msingi na unarudia rudia maneno, ukijibiwa jibu moja lenye kukusanya hoja zako zote unasema hujajibiwan, ndiyo maana nataka uainishe ni hoja gani sijakujibu.usijitoe akili...we mwenyewe unajua post kibao huko juu umekimbia zingine umekoti kakipande unakokaweza hoja zingine hiyo hiyo post unajikausha...
Huu mfano, angalia ulivyo andika maneno mengi yenye kurudi kwenye nukta moja, ambayo nikikwambia utunge hiyo aya utasema sijajibu hoja yako. Unaposema weww unaweza kutunga, ni upuuzi na uoga kutaka mimi nikwambie kwanini wewe huwezi kutunga, ulichotakiwa kufanya wewe ni kunithibitishia mimi ya kuwa weww kweli unaweza kufanya hivyo, ila kushindwa kwako kufanya hivyo kunazidi kuthibitisha juu ya kile nilichokisema ya kuwa huwezi na hii ndiyo sababu.Stori za kutunga aya nani kaanzisha?mimi au wewe?Kabla ya mimi kudai naweza kutunga hiyo Aya wewe ulisema hakuna aliyeweza na hakuna atakayeweza.
Sasa mimi kabla ya kujaribu kutunga nikataka sababu kwanza kwanini unasema hakuna atakayeweza ili nijue kwanini una ujasiri kiasi hicho kuwa hata miaka ya mbeleni hakuna binadam atakayeweza..
Nikiridhika na hiyo sababu/hata nisiporidhika mimi ntaweka aya hapa ila kwanza wewe toa sababu kwanini unasema hakuna atakayeweza
Mhhhh, usipotoshe hakuna jini mwema au mcha Mungu. Huko ni kufilisika kiroho. Jini ni pepo tu na mkubwa wao ni Ibilisi. Fullstop.Tena imewapofusha hasa. Haya mambo ya kawaida sana, sema huku kwetu yameletwa katika sura ya uligaji na utapeli. Leo hii watu wanapiga watu hela kwa njia ya mapepo mara majini, wakati si mambo ya kutisha kabisa.
Kitu kingine ni kuwa ukisikia habari za majini kuwavaa watu na mfano wake, ujue majini hao ni wale waovu, ila wapo majini wema tena Wachamungu, yaani harakati za maisha yetu na kwao yapo hivyo hivyo, wanazaa, wanaoana,wanakufa wanazikana na mfano wake.
Poa.Mhhhh, usipotoshe hakuna jini mwema au mcha Mungu. Huko ni kufilisika kiroho. Jini ni pepo tu na mkubwa wao ni Ibilisi. Fullstop.
Sasa we ya nini?Mate je?
AmeshanijibuSasa we ya nini?
Kwanini anatetea sana majini?Mhhhh, usipotoshe hakuna jini mwema au mcha Mungu. Huko ni kufilisika kiroho. Jini ni pepo tu na mkubwa wao ni Ibilisi. Fullstop.
nyingi tu umekimbia....post #343 na #313Ndiyo maana nasema hakuna hoja yako niliyo ikimbia, unakuta unaeleza maneno mengi yasiyo na msingi na unarudia rudia maneno, ukijibiwa jibu moja lenye kukusanya hoja zako zote unasema hujajibiwan, ndiyo maana nataka uainishe ni hoja gani sijakujibu.
hapo nimerudia ili wewe bichwa ngumu uelewe lakini naona bado hujaelewa...narudia tenaHuu mfano, angalia ulivyo andika maneno mengi yenye kurudi kwenye nukta moja, ambayo nikikwambia utunge hiyo aya utasema sijajibu hoja yako. Unaposema weww unaweza kutunga, ni upuuzi na uoga kutaka mimi nikwambie kwanini wewe huwezi kutunga, ulichotakiwa kufanya wewe ni kunithibitishia mimi ya kuwa weww kweli unaweza kufanya hivyo, ila kushindwa kwako kufanya hivyo kunazidi kuthibitisha juu ya kile nilichokisema ya kuwa huwezi na hii ndiyo sababu.
Wewe umeandika kuhusu majini umeshindwa kuyathibitisha basi wewe ni dodoki au?Pili, nilikwambia ya kuwa weww ni kama sponji na unaandika mambo ambayo huwezi kuyathibitisha huku ukijfaragua ya kuwa unauwezo juu ya mambo hayo. Ulianza kwenye kufugwa kwa majini ukashindwa, naona unaendeleza ujinga ule ule wa kukimbia maswali kwa kujipa udhuru, hapa kwangu aidha ukiri au utulie.
Nipo...
Mkuu, I'm a Man......!Nakuomba dada angu kama usipojali share nasi kisa chako kwa kweli ni mambo ya kufikirisha sana
😂😂😂😂😂 jf bhana raha tupunakazia
Mnawapa nasaha majini?? fafanua kidogo mkuuKwa majini hili huwa kawaida watu huwa wanasoma nao na kuhitimu nao bila kustukiwa kama ni majini, kwahiyo anaweza kumuulizia na akapata taarifa zake kama kawaida, ila "sometimes" majini wenyewe huwa wanapuyanga na kustukiwa pindi wafanyapo matukio ya ajabu.
Ndiyo maana huwa tunawapa nasaha majini wanapo amua kuja kuchukua ujuzi kwetu sisi binadamu basi wasiwe wnafanya matukio ya ajabu, sababu huwa wanatuathiri sisi na mfano wake.
Duuh!Mkuu unawezakutuwekea chanzo cha maandiko yako ili nasi tupitie?!Kwanini anatetea sana majini?
-Muhammad alipotokewa mara ya kwanza pangoni na 'jibril',Alijua ni pepo mpaka akataka kujiua..mpaka kina hadija(ambao hawakuwepo kwenye tukio) wakamkonvice kuwa sio pepo ni malaika nayeye ni mtume ili asijiue.
-Watu wote wa kipindi kile wale wakabila wenzake aliokuwa anaishi nao walijua muhamad alikuwa possesed na majini.(mpaka mwanamke aliyekuwa anamnyonyesha)
-Muhamad alishawahi kukiri kuwa kuna aya alizoleta zimetoka kwa Shetani kwahyo wakazifuta kwenye Quran
-Muhammad alishasema kila muislam ana jini la kishetani hata yeye analo.
-Muhammad alishawahi kurogwa mwaka mzima.
-Muhamad kupitia Quran alishakiri kuna majini walisilimu wakawa waislam
-Huyo jibril mara nyingi wake zake walikuwa hawamuoni ila yeye anamuona muda huohuo
-Huyo Jibril alikuwa anaogopa mbwa kama wachawi ambavo hawapendi mbwa.
-Huyo jibril kuna kipindi watu walimuona na wakamtambua ni mtu wanaemjua anaitwa Dahl(rafiki ake muhammad) lakini muhammad akainsist sio yeye ni Malaika jibril yule...inaonekana sometimes pepo lisipomtokea alikuwa anakula dili na mshkaji wake wanatengeneza script.
Nimesema vingi..Labda kipi unadoubt?Duuh!Mkuu unawezakutuwekea chanzo cha maandiko yako ili nasi tupitie?!
Tuliza akili kijana, powt #343 nimekujibu kwa kuuliza swali, sababu umekuwa ukirudia sana nukta hiyo.nyingi tu umekimbia....post #343 na #313
Tuwekee ushahidi unao thibitisha ya kuwa alijua ni pepo na utuonyeshe ya kuwa wapi alitaka kujiua.Muhammad alipotokewa mara ya kwanza pangoni na 'jibril',Alijua ni pepo mpaka akataka kujiua..mpaka kina hadija(ambao hawakuwepo kwenye tukio) wakamkonvice kuwa sio pepo ni malaika nayeye ni mtume ili asijiue.
Weka ushahidi kuthibitisha maneno haya.Watu wote wa kipindi kile wale wakabila wenzake aliokuwa anaishi nao walijua muhamad alikuwa possesed na majini.(mpaka mwanamke aliyekuwa anamnyonyesha)
Inakuwaje huambatanishi na ushahidi ? Weka ushahidi.Muhamad alishawahi kukiri kuwa kuna aya alizoleta zimetoka kwa Shetani kwahyo wakazifuta kwenye Quran
Na wewe unalo, sasa uongo uko wapi hapo ?Muhammad alishasema kila muislam ana jini la kishetani hata yeye analo.
Kurogwa alirogwa ila hii ya mwaka mzima inabidi utupe ushahidi.Muhammad alishawahi kurogwa mwaka mzima.
Hili sahihi kabisa halina shaka kabisa.Muhamad kupitia Quran alishakiri kuna majini walisilimu wakawa waislam
Huyo jibril mara nyingi wake zake walikuwa hawamuoni ila yeye anamuona muda huohuo
-Huyo Jibril alikuwa anaogopa mbwa kama wachawi ambavo hawapendi mbwa.
Siyo Dahl hakuna mtu mwenye jina hilo labda utuambie jina hili umelipara wapi. Malaika Jibril alikuwa akija katika umbile la kibinadamu anatumia umbile la swahaba aitwaye Dihyah al-Kalbiy, sababu alikwa ana muonekano mzuri sana.Huyo jibril kuna kipindi watu walimuona na wakamtambua ni mtu wanaemjua anaitwa Dahl(rafiki ake muhammad) lakini muhammad akainsist sio yeye ni Malaika jibril yule...inaonekana sometimes pepo lisipomtokea alikuwa anakula dili na mshkaji wake wanatengeneza script.