Alikuwa binadamu kweli?

Alikuwa binadamu kweli?

wewe huwezi na hutaweza kuthibitisha uwepo wa hayo majinni utabakiza pauka pakawa...hoja zangu nyingi unazikimbia.
Hoja gani nimekimbia, niwekee hapa nikujibu.
Nimekuambia ukinipa sababu kwanini hamna anayeweza kutunga aya kama ya quran nitaileta hapa aya kama ya Quran..Sasa hata sababu tu ya kwanini watu wanashindwa huwezi kunipa wala hata sijaomba ushahidi wowote kisababu tu umekosa??
Acha uzembe weka sababu niweke aya...nimeshaandika aya kumi mpaka sasa
Kijana uwe unasoma unachokiandika. Ulidai unaweza kutunga, lakini mpaka muda huu hujaweka hata kipande cha aya.

Pili,unauliza maswali yasiyo na maana, inakuwaje utake nikwambie sababu ya kushindwa kwako kutunga wakkati unadai unaweza kutunga ? Hii akili kwanini huitumii vizuri ? Ina maana ulipokuwa unasema unatunga ulikuwa unaropoka tu bila kujua unaweza au la ! Inaonekana katika hii mijadala huwa unajifurahisha na kupotezea watu muda siyo ?
 
Hoja gani nimekimbia, niwekee hapa nikujibu.

Kijana uwe unasoma unachokiandika. Ulidai unaweza kutunga, lakini mpaka muda huu hujaweka hata kipande cha aya.

Pili,unauliza maswali yasiyo na maana, inakuwaje utake nikwambie sababu ya kushindwa kwako kutunga wakkati unadai unaweza kutunga ? Hii akili kwanini huitumii vizuri ? Ina maana ulipokuwa unasema unatunga ulikuwa unaropoka tu bila kujua unaweza au la ! Inaonekana katika hii mijadala huwa unajifurahisha na kupotezea watu muda siyo ?
usijitoe akili...we mwenyewe unajua post kibao huko juu umekimbia zingine umekoti kakipande unakokaweza hoja zingine hiyo hiyo post unajikausha...

Stori za kutunga aya nani kaanzisha?mimi au wewe?Kabla ya mimi kudai naweza kutunga hiyo Aya wewe ulisema hakuna aliyeweza na hakuna atakayeweza.
Sasa mimi kabla ya kujaribu kutunga nikataka sababu kwanza kwanini unasema hakuna atakayeweza ili nijue kwanini una ujasiri kiasi hicho kuwa hata miaka ya mbeleni hakuna binadam atakayeweza..
Nikiridhika na hiyo sababu/hata nisiporidhika mimi ntaweka aya hapa ila kwanza wewe toa sababu kwanini unasema hakuna atakayeweza
 
usijitoe akili...we mwenyewe unajua post kibao huko juu umekimbia zingine umekoti kakipande unakokaweza hoja zingine hiyo hiyo post unajikausha...
Ndiyo maana nasema hakuna hoja yako niliyo ikimbia, unakuta unaeleza maneno mengi yasiyo na msingi na unarudia rudia maneno, ukijibiwa jibu moja lenye kukusanya hoja zako zote unasema hujajibiwan, ndiyo maana nataka uainishe ni hoja gani sijakujibu.
Stori za kutunga aya nani kaanzisha?mimi au wewe?Kabla ya mimi kudai naweza kutunga hiyo Aya wewe ulisema hakuna aliyeweza na hakuna atakayeweza.
Sasa mimi kabla ya kujaribu kutunga nikataka sababu kwanza kwanini unasema hakuna atakayeweza ili nijue kwanini una ujasiri kiasi hicho kuwa hata miaka ya mbeleni hakuna binadam atakayeweza..
Nikiridhika na hiyo sababu/hata nisiporidhika mimi ntaweka aya hapa ila kwanza wewe toa sababu kwanini unasema hakuna atakayeweza
Huu mfano, angalia ulivyo andika maneno mengi yenye kurudi kwenye nukta moja, ambayo nikikwambia utunge hiyo aya utasema sijajibu hoja yako. Unaposema weww unaweza kutunga, ni upuuzi na uoga kutaka mimi nikwambie kwanini wewe huwezi kutunga, ulichotakiwa kufanya wewe ni kunithibitishia mimi ya kuwa weww kweli unaweza kufanya hivyo, ila kushindwa kwako kufanya hivyo kunazidi kuthibitisha juu ya kile nilichokisema ya kuwa huwezi na hii ndiyo sababu.

Pili, nilikwambia ya kuwa weww ni kama sponji na unaandika mambo ambayo huwezi kuyathibitisha huku ukijfaragua ya kuwa unauwezo juu ya mambo hayo. Ulianza kwenye kufugwa kwa majini ukashindwa, naona unaendeleza ujinga ule ule wa kukimbia maswali kwa kujipa udhuru, hapa kwangu aidha ukiri au utulie.

Nipo...
 
Tena imewapofusha hasa. Haya mambo ya kawaida sana, sema huku kwetu yameletwa katika sura ya uligaji na utapeli. Leo hii watu wanapiga watu hela kwa njia ya mapepo mara majini, wakati si mambo ya kutisha kabisa.

Kitu kingine ni kuwa ukisikia habari za majini kuwavaa watu na mfano wake, ujue majini hao ni wale waovu, ila wapo majini wema tena Wachamungu, yaani harakati za maisha yetu na kwao yapo hivyo hivyo, wanazaa, wanaoana,wanakufa wanazikana na mfano wake.
Mhhhh, usipotoshe hakuna jini mwema au mcha Mungu. Huko ni kufilisika kiroho. Jini ni pepo tu na mkubwa wao ni Ibilisi. Fullstop.
 
Mhhhh, usipotoshe hakuna jini mwema au mcha Mungu. Huko ni kufilisika kiroho. Jini ni pepo tu na mkubwa wao ni Ibilisi. Fullstop.
Kwanini anatetea sana majini?

-Muhammad alipotokewa mara ya kwanza pangoni na 'jibril',Alijua ni pepo mpaka akataka kujiua..mpaka kina hadija(ambao hawakuwepo kwenye tukio) wakamkonvice kuwa sio pepo ni malaika nayeye ni mtume ili asijiue.
-Watu wote wa kipindi kile wale wakabila wenzake aliokuwa anaishi nao walijua muhamad alikuwa possesed na majini.(mpaka mwanamke aliyekuwa anamnyonyesha)
-Muhamad alishawahi kukiri kuwa kuna aya alizoleta zimetoka kwa Shetani kwahyo wakazifuta kwenye Quran
-Muhammad alishasema kila muislam ana jini la kishetani hata yeye analo.
-Muhammad alishawahi kurogwa mwaka mzima.
-Muhamad kupitia Quran alishakiri kuna majini walisilimu wakawa waislam
-Huyo jibril mara nyingi wake zake walikuwa hawamuoni ila yeye anamuona muda huohuo
-Huyo Jibril alikuwa anaogopa mbwa kama wachawi ambavo hawapendi mbwa.
-Huyo jibril kuna kipindi watu walimuona na wakamtambua ni mtu wanaemjua anaitwa Dahl(rafiki ake muhammad) lakini muhammad akainsist sio yeye ni Malaika jibril yule...inaonekana sometimes pepo lisipomtokea alikuwa anakula dili na mshkaji wake wanatengeneza script.
 
Ndiyo maana nasema hakuna hoja yako niliyo ikimbia, unakuta unaeleza maneno mengi yasiyo na msingi na unarudia rudia maneno, ukijibiwa jibu moja lenye kukusanya hoja zako zote unasema hujajibiwan, ndiyo maana nataka uainishe ni hoja gani sijakujibu.
nyingi tu umekimbia....post #343 na #313

Huu mfano, angalia ulivyo andika maneno mengi yenye kurudi kwenye nukta moja, ambayo nikikwambia utunge hiyo aya utasema sijajibu hoja yako. Unaposema weww unaweza kutunga, ni upuuzi na uoga kutaka mimi nikwambie kwanini wewe huwezi kutunga, ulichotakiwa kufanya wewe ni kunithibitishia mimi ya kuwa weww kweli unaweza kufanya hivyo, ila kushindwa kwako kufanya hivyo kunazidi kuthibitisha juu ya kile nilichokisema ya kuwa huwezi na hii ndiyo sababu.
hapo nimerudia ili wewe bichwa ngumu uelewe lakini naona bado hujaelewa...narudia tena
iko hivi wewe ndo wakwanza kusema hamna atakayeweza kutunga aya kama ya Quran..mimi nikakuuliza kwanini?Sasa wewe nijibu kwanza kwanini ulisema hivo halafu mimi nikuprove wrong...Au huna sababu? Kazi niliyokupa mbona ndogo ukicompare na ambayo mimi ntafanya?

Pili, nilikwambia ya kuwa weww ni kama sponji na unaandika mambo ambayo huwezi kuyathibitisha huku ukijfaragua ya kuwa unauwezo juu ya mambo hayo. Ulianza kwenye kufugwa kwa majini ukashindwa, naona unaendeleza ujinga ule ule wa kukimbia maswali kwa kujipa udhuru, hapa kwangu aidha ukiri au utulie.
Nipo...
Wewe umeandika kuhusu majini umeshindwa kuyathibitisha basi wewe ni dodoki au?
Kwenye kuthibitisha majini yanafugwa sikukimbia wala kujipa udhuru..nilikujibu na ukimuomba baba pipi sio kila siku utegemee atakupa siku zingine atasema sina.
Sasa hii ya Quran wala sio udhuru maana mimi ndo nilianza kukuuliza kwanini?
Nijibu hapo nikuwekee Quran hapa mbona unanichelewesha?
 
Kwa majini hili huwa kawaida watu huwa wanasoma nao na kuhitimu nao bila kustukiwa kama ni majini, kwahiyo anaweza kumuulizia na akapata taarifa zake kama kawaida, ila "sometimes" majini wenyewe huwa wanapuyanga na kustukiwa pindi wafanyapo matukio ya ajabu.

Ndiyo maana huwa tunawapa nasaha majini wanapo amua kuja kuchukua ujuzi kwetu sisi binadamu basi wasiwe wnafanya matukio ya ajabu, sababu huwa wanatuathiri sisi na mfano wake.
Mnawapa nasaha majini?? fafanua kidogo mkuu
 
Kwanini anatetea sana majini?

-Muhammad alipotokewa mara ya kwanza pangoni na 'jibril',Alijua ni pepo mpaka akataka kujiua..mpaka kina hadija(ambao hawakuwepo kwenye tukio) wakamkonvice kuwa sio pepo ni malaika nayeye ni mtume ili asijiue.
-Watu wote wa kipindi kile wale wakabila wenzake aliokuwa anaishi nao walijua muhamad alikuwa possesed na majini.(mpaka mwanamke aliyekuwa anamnyonyesha)
-Muhamad alishawahi kukiri kuwa kuna aya alizoleta zimetoka kwa Shetani kwahyo wakazifuta kwenye Quran
-Muhammad alishasema kila muislam ana jini la kishetani hata yeye analo.
-Muhammad alishawahi kurogwa mwaka mzima.
-Muhamad kupitia Quran alishakiri kuna majini walisilimu wakawa waislam
-Huyo jibril mara nyingi wake zake walikuwa hawamuoni ila yeye anamuona muda huohuo
-Huyo Jibril alikuwa anaogopa mbwa kama wachawi ambavo hawapendi mbwa.
-Huyo jibril kuna kipindi watu walimuona na wakamtambua ni mtu wanaemjua anaitwa Dahl(rafiki ake muhammad) lakini muhammad akainsist sio yeye ni Malaika jibril yule...inaonekana sometimes pepo lisipomtokea alikuwa anakula dili na mshkaji wake wanatengeneza script.
Duuh!Mkuu unawezakutuwekea chanzo cha maandiko yako ili nasi tupitie?!
 
nyingi tu umekimbia....post #343 na #313
Tuliza akili kijana, powt #343 nimekujibu kwa kuuliza swali, sababu umekuwa ukirudia sana nukta hiyo.

Post #313 siyo yako na haina swali.
 
Muhammad alipotokewa mara ya kwanza pangoni na 'jibril',Alijua ni pepo mpaka akataka kujiua..mpaka kina hadija(ambao hawakuwepo kwenye tukio) wakamkonvice kuwa sio pepo ni malaika nayeye ni mtume ili asijiue.
Tuwekee ushahidi unao thibitisha ya kuwa alijua ni pepo na utuonyeshe ya kuwa wapi alitaka kujiua.
Watu wote wa kipindi kile wale wakabila wenzake aliokuwa anaishi nao walijua muhamad alikuwa possesed na majini.(mpaka mwanamke aliyekuwa anamnyonyesha)
Weka ushahidi kuthibitisha maneno haya.
Muhamad alishawahi kukiri kuwa kuna aya alizoleta zimetoka kwa Shetani kwahyo wakazifuta kwenye Quran
Inakuwaje huambatanishi na ushahidi ? Weka ushahidi.
Muhammad alishasema kila muislam ana jini la kishetani hata yeye analo.
Na wewe unalo, sasa uongo uko wapi hapo ?
Muhammad alishawahi kurogwa mwaka mzima.
Kurogwa alirogwa ila hii ya mwaka mzima inabidi utupe ushahidi.
Muhamad kupitia Quran alishakiri kuna majini walisilimu wakawa waislam
Hili sahihi kabisa halina shaka kabisa.
Huyo jibril mara nyingi wake zake walikuwa hawamuoni ila yeye anamuona muda huohuo
-Huyo Jibril alikuwa anaogopa mbwa kama wachawi ambavo hawapendi mbwa.

Labda utupe sababu ya ulazima wa Jibril aonekane na wakeze mtume ili iweje wakati mkusudiwa ni Mtume ?

Hii si kweli kwamba anaogoa Mbwa bali katika maumbile yao Malaika hawaingii katika nyumba yenye Mbwa au picha ya Mbwa. Kama malaika wawili waliweza kuwaangamiza watu wa Sodoma, iweje Malaika huyu mtukufu ashindwe kufanya hilo. Huu ulio andika ni upuuzi na uelewa mbaya wa maandiko na upotoshaji.
Huyo jibril kuna kipindi watu walimuona na wakamtambua ni mtu wanaemjua anaitwa Dahl(rafiki ake muhammad) lakini muhammad akainsist sio yeye ni Malaika jibril yule...inaonekana sometimes pepo lisipomtokea alikuwa anakula dili na mshkaji wake wanatengeneza script.
Siyo Dahl hakuna mtu mwenye jina hilo labda utuambie jina hili umelipara wapi. Malaika Jibril alikuwa akija katika umbile la kibinadamu anatumia umbile la swahaba aitwaye Dihyah al-Kalbiy, sababu alikwa ana muonekano mzuri sana.

Hayo mengine inabidi utupe ushabidi, usikimbie kama ilivyo ada yako.

Nipo....
 
Back
Top Bottom