Miss Champagne
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 2,155
- 6,306
- Thread starter
- #121
Ulitaka kumaanisha mapito?
Ulitaka kumaanisha mapito?
HahahaaMimi ndo Jimmy mwenyewe. Nilipatwa na emergency. Njoo PM.
Sawa mkuuAnaweza kuwa sio human being
Mana wanaweza kuishi kupitia roho za watu.
Mwaka Jana nilisikia kwa story za radio mtu Kama wewe alipelekwa kwa pagala tu lkn yeye aliona nyumba nzuri tu.
Usiogope bhna zidi katika maombi.
Hahahaa hapana mkuuNakusubiri.
We ulikutana na jini tu, huenda hata ulipelekwa juu ya mti huwa inakuwa hivyo unapelekwa sehemu unakutana na watu ila siku ukija itafuta ukaiona utashangaa kila mtu anashangaa mbona hakuna mtu kama huyoHatukukutana sababu ya misimamo yangu.nidhamu ya shule
Nae pia aliniheshimu maamuzi yangu
Naamini alikua wa kawaida lakini pale kwao ndo pananipa maswali yasiyojibika
Hata kama aliomba mtu azugie wenye nymba wote hawakuwepo na kujua?hata vijana wa rika lake?
Alikua ananipa mpaka story za majirani na visa vyao na siku nlipoenda kwa Mara ya kwanza nlikuta wadada wamekaa jirani wanasukana.ina maana si kuna majirani walikua wanamwona hata alienda chooni wanamwona
Hahahaa hapana mkuu
siku nkimuona nadhani kwa Mara ya kwanza maishani ntazimia
Malezi na nidhamuKwani wanafunzi hawatomb....i?
Nlikua sealed.so Ilikua ntakusubiri as long as unitunzieKabla hamja 'frustrate' na kupotezeana kuna kipengele umeki'hide', mliwahi ku desh desh?
Tuanzie na hapo kwanza.
We bado hujakutana na mimiYeah alinipenda sana..sijui kama atatokea kama huyu
Ndiyo hivyoNlikua sealed.so Ilikua ntakusubiri as long as unitunzie
Khaa mmenichosha na hili swali.
Mtu yeyote mwenye common sense na matured mind hawez kukaa kuandika hivi.Nimejikuta nasoma comments zote hadi ya mwisho..
Pole yako Dada ..
Umesema ndo alikua mpenzi wa kwanza vipi tukiachana Na huyo umekua Na wangap? Mpaka now Na yupi Kati yao alie kutoa bkr?
Majini yanapendaga watoto wazuri tu, utakua pretty sana,Yeah alinipenda sana..sijui kama atatokea kama huyu
Nakazia. Hasa kwa Dar. Hili lina nafasi kuuuubwa. Nashauri tulia anza upya kupekenyua mitaa ya huko,na kwingine nina uhakika tu ulipotea mtaa. Tafuta upyaKuna uwezekano mkubwa sana ulisahau ukachanganya nyumba. Kuna baadhi ya mitaa imefanana sana
MakubwaViumbe hao wana uwezo wa kujibadilisha kuwa chochote. Anaeza chukua hata sura yako akawa wewe!
Kwa majini hili huwa kawaida watu huwa wanasoma nao na kuhitimu nao bila kustukiwa kama ni majini, kwahiyo anaweza kumuulizia na akapata taarifa zake kama kawaida, ila "sometimes" majini wenyewe huwa wanapuyanga na kustukiwa pindi wafanyapo matukio ya ajabu.Acha kukompliket nimekuitaje, anyway usicompliacate jina,
wewe unashida nahisi umepoteza kumbukumbu hujijui, chuo si alikua na marafiki wewe si ulimkuta chuo sasa aweje kuwa sio binadamu wa kawaida
Nitakupa namba ya mchungaji mmoja ana maono anaweza kukusaidia kulifafanua hilo kiroho, ila huwa hapendi namba yake itoke but nitajitahidi kukusaidia kama ulkutaba na jini au lahashaChristian