Alikuwa binadamu kweli?

Alikuwa binadamu kweli?

Hivi kweli unateseka na mtu mliyepotezana miaka zaidi ya kumi iliyopita, why,

Nini ulisahau kwake.

Usiutese moyo hivyo, jitahidi ubadilike hata kwa maombi.

Unless otherwise useme tu na wewe siyo mtu wa kawaida.
 
Hilo jambo la kihistoria ni lipi?
kwani hapa tunatafuta thibati ya nini?
Hapa naulizia jambo linalosemekana lipo sekunde hii wewe unaleta kitabu cha wachambia mchanga miaka 1500 iliyopita?

Sawa na Mtu aseme kuna nchi inaitwa Czechoslovakia..halafu ushahidi uwe ni kitabu cha miaka ya 1800..

Furthermore it begs an inescapable question:Haya prove hayo yaliyoandikwa kwenye hicho kitabu kuhusu majini ni ukweli.

Nimekuuliza swali,kwanini siwezi kuandika aya kama ya Quran?nijibu hili then nikutungie aya chap
inabidi mkuu ulelewe huyu alikuparamia kujibu.

tokea mwanzo anabisha kuhusu ufugaji wa majini,sikuona anabisha katika namna ya kutokuwepo majino,ila katika namna ya kukukatalia wewe.simple tu.
ndio maana hoja za kukutaka wewe uthibitishe zikaibuka.uthibitishe majini yanafungwa.


ajabu yeye unamwambia athibitishe tu uwepo wa majini,anapuyanga kurasa ya tano hii,kifupi ameubeba huu mdaharo personal.
 
Nimempa mtu baadhi vyenye maana
Vitabu nimetupa
But hata vitabu vyenyewe na picha havitoki.
Ishu sio vitu.ishu ni yeye
Au mpenzi wa kwanza maishani ndo anakuwaga hivi?
Mpezi gani ambae bado hajakuto...mb.
Unawezaje kumfikiria kiasi hicho mtu ambae bado hukuwahi kuwa na mahusiano nae nje ya urafiki.huyo mchukulie Kama shoga yako tu inatosha
 
Napataga kazi sana kuchambua maandishi yako yenye maana..enwei
upuuzi mtupu..kusema tu kitabu ni cha kweli haikifanyi kiwe cha kweli,prove ukweli wake katika kila instance...mfano hapa prove ukweli wa hiyo sura ya majini kuwa yanayoongelewa humo ni ya kweliEnhee hapa ndo kidogo unakaribia karibia...Haya hizo Athari zake zithibitishe hapa...na kama unaishi nao au ni mmoja wao lithibitishe hilo hapakwahyo sasa maneno yangu yamekuwa ithibati tosha...Sasa kama ni hivyo basi hata niliposema majini yanafugika maneno yangu yangekuwa ithibati tosha.
Hujanijibu..taja post
Nauliza tena..kwanini nishindwe kuandika aya kama ya Quran?ukijibu hilo swali rahisi naileta hiyo aya
hawa ndio wakibanwa kwenye angle mbaya na kiranga wanapapalika sio poa.
 
Unammiss sababu ameenda america Ila angekuambia alienda matombo morogoro wala usingekuwa na wenge

Fanya maisha yako mbona mihogo ipo mingi tu ni ww kuamua unataka wa kuchemsha,kukaanga au usubiri mwezi wa ramadhani upike futari
 
Mwisho saa ngapi maana napendelea unihudumie kuanzia saa nne usiku ndio muda mzuri
We kondoo una masharti, haya tuanze huduma saa nne mpaka saa sita utaweza lakini huduma huwa ina upako sana
 
kwahyo sasa maneno yangu yamekuwa ithibati tosha...Sasa kama ni hivyo basi hata niliposema majini yanafugika maneno yangu yangekuwa ithibati tosha.
Soma ulichokiandika hujaona nimeandika "upumbavu" ?
 
inabidi mkuu ulelewe huyu alikuparamia kujibu.

tokea mwanzo anabisha kuhusu ufugaji wa majini,sikuona anabisha katika namna ya kutokuwepo majino,ila katika namna ya kukukatalia wewe.simple tu.
ndio maana hoja za kukutaka wewe uthibitishe zikaibuka.uthibitishe majini yanafungwa.


ajabu yeye unamwambia athibitishe tu uwepo wa majini,anapuyanga kurasa ya tano hii,kifupi ameubeba huu mdaharo personal.
ukiitumia JF kwa muda utajifunza kuna watu wapo kubishana,kujifunza,kukosoa,kukejeli,kuelimisha,kupata elimu nk.
Huyu jamaa yupo kubishana So nikiwa sina cha kufanya naamua nipoteze muda kidogo hapa.
its nothing personal nahisi hata yeye anajua
 
Historia inaanza hivi...

Kipindi nkiwa bado shule secondari miaka kumi sasa imepita, nilinunuliwa simu na bro wangu. Siku moja ghafla mida ya mchana iliingia SMS kutoka kwa namba ngeni ikisomeka "ukitoka hostel nijulishe uniazime kitabu chako" sikumbuki sawa sawa but nimeotea tu kwa kumbukumbu.

Nikaanza kuchat nae kitabu gani na wewe nani. Ndipo mbele akagundua amekosea number na kuomba radhi kwamba alikuwa anamtumia mdada mmoja classmate wake namba zinafanana baadae tukaanza kufahamiana kwa kuendelea kuchat.

Alijitambulisha anaitwa Jimmson Henry, anasoma chuo kikuu mlimani (UDSM). Yuko mwaka wa pili bachelor degree ya information technology (IT). Anaishi hostel za mabibo lakini kwao Tabata.

His paternity origin is Ngazdja from Comoros islands, and Lindi mtwara kwa upande wa mama. He was so talkative,cheerful,funny na utani mwingi!

Tuliendelea na mazoea ya kuwasiliana, alinieleza mengi kuhusu maisha yake nami yangu pia.

Mwisho sababu ya ujana akaanza kuniomba nafasi nami nikampaa bila hata kumuona.

Mazoea yaliendelea ikafika muda nipo likizo akaomba tufahamiane kwetu tunapoishi, alianza yeye nikamleta kwetu hadI bi mkubwa alimuona.

Ikafika zamu yangu nikaunga "tuisheni" kwao maeneo ya Tabata liwiti.

Nilivyofika kwao aliweza kunitambulisha kwa mdogo wake wa kiume hawapishani sana kiumri anaitwa James. Tuliongea mengi na kuna mzee jirani pia alikuwa ni seremala naye akamuuliza huyu nani akanitambulisha rafiki yake.

Baada ya kuondoka tukaanza kuwasiliana ananiambia we ni mzuri sana hadi huyu mzee hapa jirani ananitania yule mrembo umemtoa wapi, kakangu pia!

Few months later akamaliza mwaka wa pili na kuwa likizo na mimi nkiwa natarajia kuingia mitihani yangu ya final.

Akanijuza kapata mwaliko America kutoka kwa rafiki zake wawili na taratibu zote za visa, tickect kafanya kwa gharama za wenyeji wake akafanikiwa kwenda. Alikaa kwa miezi mwili tunawasiliana kwa njia ya email nkiwa na mdogo wake.

Akirudi na tukaanza kuwasiliana as usually.

Kufupisha kuna kipindi alikua anapitia majukumu magumu ya kifamilia kama mtoto wa kwanza kwao, akawa anakosa hata muda nami. Nami nikawa frustrated na mambo yangu tukakorofishana na kupotezeana.

Baada ya mwaka mmoja nikiwa chuo sikuweza kuhimili alikuwa amenikaa sana kichwani hadI napata msongo wa mawazo.

Nikajiambia kwao napakumbuka nijaribu kwenda. Nilipanga weekend asubuhi nikaifikia nyumba nikiwa nimekaa mbali kidogo nione kama atatokea mtu.

Masaa yalipita nikahisi hawapo japo mlango upo wazi. Akatokea mdada mrefu mweupe nikajua atakuwa member mojawapo wa familia.

Nilisogea na kumsalimia akanijibu nikaanza kumuulizia jamaa wakaanza kushangaa hawamjui. Nilitaka details zote hadI wadogo zake na Dada zake hawamjui.

kuulizia ile nyumba wale wadada wanadai wao wameishi pale tangu udogoni na mtaa mzima wanawajua. Haijawahi kuishi familia nyingine hata kupangisha.

nikawauliza kama kuliwahi kuwa na mzee seremala upande wa nyumba anaranda mbao wanajibu hakujawahi kuwa na fundi seremala hapo.

Na nikiangalia like eneo naona tupu hakuna dalili yoyote hata mzee kuacha mabenchi ya mbao.

Kuna maduka around nikawa nawauliza wanadai hawajahi kuishi na mtu wa aina hiyo, hawamjui
Lakini nyumba ni ile ile hadI ndani kuko vile vile. Mpaka sasa sipati jibu.

Maana alishare nami vitu vingi mno mpaka harusi ya mdogo wake ilifanyika kwenye nyumba hiyohiyo.

Safari zake zote mamake ahata akiwa anaumwa na2julishwa nimpe pole mkwe. Plans zake zote.

Mfano alivorudi kutoka America alipewa zawadi ya gari akaghairi sababu hana uwezo wa kuhudumia, akaomba badala yake atumiwe vifaa vya office tufungue stationary kubwa Kijitonyama.

Alikua so bright kiasi anapata nafasi za kazi kwenye biashara na makampuni za maprofessor wake. Kila kitu ndani ya ofisi anashanami.

Mpaka sasa ananiwinda kichwani kama mzimu na hapo kwao ndo hivi kama nilivyopakuta sijapata majibu hadI sasa.

Alikuwa nani?
Ni mimi apa naomba nijatambulishe mods na wadau humu naitwa jini mashack natokea bahar ya atlantika leo usiku ntakutembelea shart uoge uvae nguo rain na pafyumu nzur usisahau udi mpenz wazaz wangu walinizuia nisikuoe tabu ilianzia hapo yale yote ulioona yalifanyika baharin ili kwako ilikuwa kiin machp ukaona ni tabata sikutak ujue hili baby nichek PM
 
Soma ulichokiandika hujaona nimeandika "upumbavu" ?
kama ni 'upumbavu' imekuwaje ithibati tosha?

Mzee nishaanza kutunga vimistari vya Quran hapa nasubiri unipe Go ahead kwa kunipa sababu kwanini hamna mtu anayeweza...
 
kama ni 'upumbavu' imekuwaje ithibati tosha?

Mzee nishaanza kutunga vimistari vya Quran hapa nasubiri unipe Go ahead kwa kunipa sababu kwanini hamna mtu anayeweza...
Kijana unapenda kupoteza sana muda, hilo la aya nimeshakupa ruhusa tena ujichagulie.
 
Kijana unapenda kupoteza sana muda, hilo la aya nimeshakupa ruhusa tena ujichagulie.
wewe huwezi na hutaweza kuthibitisha uwepo wa hayo majinni utabakiza pauka pakawa...hoja zangu nyingi unazikimbia.

Nimekuambia ukinipa sababu kwanini hamna anayeweza kutunga aya kama ya quran nitaileta hapa aya kama ya Quran..Sasa hata sababu tu ya kwanini watu wanashindwa huwezi kunipa wala hata sijaomba ushahidi wowote kisababu tu umekosa??
Acha uzembe weka sababu niweke aya...nimeshaandika aya kumi mpaka sasa
 
Back
Top Bottom