Naam.Samahani hivi wewe ni jini?
Naam.Samahani hivi wewe ni jini?
Hua ni saa 9 usiku ukiwa umetulia na sio saa 6Basi kama hivyo ikifika usiku wa saa sita kaa kitako kitandani mwite kwa jina lake atakuja, kesho uje utupe feedback
Mfano nilioweka unafaa...kama huupendi leta wako usinilazimisheKwanza rekebisha nilipokukosoa. Weka mfano muafaka, na ule ulio rejea. Nasubiri uwekke mfano stahiki.
Nakufosi uweke mfano stahiki.
Leta ithibati mzee...vitabu kila mtu anaandika haimaanishi maandishi ndo ithibati.Hiyo Sura imejaa stori za alfu ulela haina tofauti na Pazi na jogoo..Leta ithibati ya kisayansi acha maneno.Kutokuiamini si hoja, hoja ni wewe kupinga kilichomo humo kwa hoja na ubainifu,huwa hatusemi tu ilimradi tunasema, bali ithibati ndiyo huuweka wazi ukweli.
Tukisema kila mtu aseme, watasema tu kama wewe unavyoamua kusema ila kizaazaa huja kama kile kilichokukuta ukashindwa kutupa ushahidi hata ule ulio ushuhudia ya kuwa uliona majini yakifugwa.
Kwahiyo bado hujavunja ithibati yangu, sababu umesema kwamba huamini ila hujakosoa kilichoandikwa mule na hili huwezi mpaka unazikwa.
Sasa jambo la kihistoria linataka ushahidi upi wa kisayansi ?Leta ithibati mzee...vitabu kila mtu anaandika haimaanishi maandishi ndo ithibati.Hiyo Sura imejaa stori za alfu ulela haina tofauti na Pazi na jogoo..Leta ithibati ya kisayansi acha maneno.
Sasa jambo la kihistoria linataka ushahidi upi wa kisayansi ?
Pili, sayansi haina uwezo huo.
Tatu, kama kuandika rahisi andika mfano wa kipande cha aya. Hili walisjindwa wakubwa wa zamani tena wabobezi katika lugha siyo nyinyi wa leo vichwa mchunga hata mnayo yaandika hamyajui.
Nne, nimekupa sura sasa kama una uwezo ibatilishe hiyo aya na uonyeshe u alfu laila wa laila wake, ukiweza mimi naifunga hii ID.
Nasubiri nikusaidie kiroho.. Kwa mfano hapa napata maono nakuona unaogopa hujui unitafute au lahasha ila unatamani.


lazima nikutafute maana mambo yaenda kombo.AiseeTena imewapofusha hasa. Haya mambo ya kawaida sana, sema huku kwetu yameletwa katika sura ya uligaji na utapeli. Leo hii watu wanapiga watu hela kwa njia ya mapepo mara majini, wakati si mambo ya kutisha kabisa.
Kitu kingine ni kuwa ukisikia habari za majini kuwavaa watu na mfano wake, ujue majini hao ni wale waovu, ila wapo majini wema tena Wachamungu, yaani harakati za maisha yetu na kwao yapo hivyo hivyo, wanazaa, wanaoana,wanakufa wanazikana na mfano wake.
Uliza swali sahihi kwa munasaba wa kile nilichokiandika. Kam hujaelewa nilicho kiandika bora uulize.uwepo wa jini ni jambo la kihistoria au fact ya uhalisia wa sasa?
Huu upuuzi mwingine, wewe chimbuko lako au chimbuko la mwanadamu unalijua kupitia nini ?ushaona wapi mtu anataka ushahidi wa kitu kilichopo leo anapewa kitabu kilichoandikwa miaka 1000 iliyopita na wachunga ngamia jangwani?
Nacheka sana, siyo kukupa chance bali mpaka unakufa huwezi kuandika mfano wa aya katika Qur'aan.Unasema kuandika aya siwezi(umeshaamini hivo kabla hujanipa chance)..kwanini nishindwe au kwanini watu wanashindwa?
Ndiyo hivyo bibie.Aisee
Usichelewe huduma inaanza jionilazima nikutafute maana mambo yaenda kombo.

Mwisho saa ngapi maana napendelea unihudumie kuanzia saa nne usiku ndio muda mzuriUsichelewe huduma inaanza jioni![]()

Hao majini wanaishi wapi mbona una habar zao tele?Ndiyo hivyo bibie.
Tunashughulika na kesi ya ugonjwa wa kuona/kuhisi vitu visivyoonekana.Historia inaanza hivi...
Kipindi nkiwa bado shule secondari miaka kumi sasa imepita, nilinunuliwa simu na bro wangu. Siku moja ghafla mida ya mchana iliingia SMS kutoka kwa namba ngeni ikisomeka "ukitoka hostel nijulishe uniazime kitabu chako" sikumbuki sawa sawa but nimeotea tu kwa kumbukumbu.
Nikaanza kuchat nae kitabu gani na wewe nani. Ndipo mbele akagundua amekosea number na kuomba radhi kwamba alikuwa anamtumia mdada mmoja classmate wake namba zinafanana baadae tukaanza kufahamiana kwa kuendelea kuchat.
Alijitambulisha anaitwa Jimmson Henry, anasoma chuo kikuu mlimani (UDSM). Yuko mwaka wa pili bachelor degree ya information technology (IT). Anaishi hostel za mabibo lakini kwao Tabata.
His paternity origin is Ngazdja from Comoros islands, and Lindi mtwara kwa upande wa mama. He was so talkative,cheerful,funny na utani mwingi!
Tuliendelea na mazoea ya kuwasiliana, alinieleza mengi kuhusu maisha yake nami yangu pia.
Mwisho sababu ya ujana akaanza kuniomba nafasi nami nikampaa bila hata kumuona.
Mazoea yaliendelea ikafika muda nipo likizo akaomba tufahamiane kwetu tunapoishi, alianza yeye nikamleta kwetu hadI bi mkubwa alimuona.
Ikafika zamu yangu nikaunga "tuisheni" kwao maeneo ya Tabata liwiti.
Nilivyofika kwao aliweza kunitambulisha kwa mdogo wake wa kiume hawapishani sana kiumri anaitwa James. Tuliongea mengi na kuna mzee jirani pia alikuwa ni seremala naye akamuuliza huyu nani akanitambulisha rafiki yake.
Baada ya kuondoka tukaanza kuwasiliana ananiambia we ni mzuri sana hadi huyu mzee hapa jirani ananitania yule mrembo umemtoa wapi, kakangu pia!
Few months later akamaliza mwaka wa pili na kuwa likizo na mimi nkiwa natarajia kuingia mitihani yangu ya final.
Akanijuza kapata mwaliko America kutoka kwa rafiki zake wawili na taratibu zote za visa, tickect kafanya kwa gharama za wenyeji wake akafanikiwa kwenda. Alikaa kwa miezi mwili tunawasiliana kwa njia ya email nkiwa na mdogo wake.
Akirudi na tukaanza kuwasiliana as usually.
Kufupisha kuna kipindi alikua anapitia majukumu magumu ya kifamilia kama mtoto wa kwanza kwao, akawa anakosa hata muda nami. Nami nikawa frustrated na mambo yangu tukakorofishana na kupotezeana.
Baada ya mwaka mmoja nikiwa chuo sikuweza kuhimili alikuwa amenikaa sana kichwani hadI napata msongo wa mawazo.
Nikajiambia kwao napakumbuka nijaribu kwenda. Nilipanga weekend asubuhi nikaifikia nyumba nikiwa nimekaa mbali kidogo nione kama atatokea mtu.
Masaa yalipita nikahisi hawapo japo mlango upo wazi. Akatokea mdada mrefu mweupe nikajua atakuwa member mojawapo wa familia.
Nilisogea na kumsalimia akanijibu nikaanza kumuulizia jamaa wakaanza kushangaa hawamjui. Nilitaka details zote hadI wadogo zake na Dada zake hawamjui.
kuulizia ile nyumba wale wadada wanadai wao wameishi pale tangu udogoni na mtaa mzima wanawajua. Haijawahi kuishi familia nyingine hata kupangisha.
nikawauliza kama kuliwahi kuwa na mzee seremala upande wa nyumba anaranda mbao wanajibu hakujawahi kuwa na fundi seremala hapo.
Na nikiangalia like eneo naona tupu hakuna dalili yoyote hata mzee kuacha mabenchi ya mbao.
Kuna maduka around nikawa nawauliza wanadai hawajahi kuishi na mtu wa aina hiyo, hawamjui
Lakini nyumba ni ile ile hadI ndani kuko vile vile. Mpaka sasa sipati jibu.
Maana alishare nami vitu vingi mno mpaka harusi ya mdogo wake ilifanyika kwenye nyumba hiyohiyo.
Safari zake zote mamake ahata akiwa anaumwa na2julishwa nimpe pole mkwe. Plans zake zote.
Mfano alivorudi kutoka America alipewa zawadi ya gari akaghairi sababu hana uwezo wa kuhudumia, akaomba badala yake atumiwe vifaa vya office tufungue stationary kubwa Kijitonyama.
Alikua so bright kiasi anapata nafasi za kazi kwenye biashara na makampuni za maprofessor wake. Kila kitu ndani ya ofisi anashare nami.
Mpaka sasa ananiwinda kichwani kama mzimu na hapo kwao ndo hivi kama nilivyopakuta sijapata majibu hadI sasa.
Alikuwa nani?
Uliza swali sahihi kwa munasaba wa kile nilichokiandika. Kam hujaelewa nilicho kiandika bora uulize.
Nimekuuliza jambo la Kihistoria linahitaji vipi ushahidi wa kisayansi yaani sayansi inalithibitisha vipi ?
Pili, historia ni uhalisia endapo ikiafikiana na hali halisi.
Tatu, uwepo wa majini ni jambo la kihistoria kwa maana ya kuangalia chimbuko lao na ni halisi sababu historia imethibitisha hilo na hilo na kuafikiana na hali halisi.
Huu upuuzi mwingine, wewe chimbuko lako au chimbuko la mwanadamu unalijua kupitia nini ?
Ithibati ya uwepo wa majini nimekupa toka katika kitabu kisicho na shaka ndani yake, kitabu ambacho kinaelezea yaliyopita yaliyopo na yajayo.
Ulichokiandika konathibitisha wazi ya kiwa kitabu chetu hukijui, ndiyo maana unazidi kukosea na utakosea sana mpaka siku ukiamua kuitumia akili yako vizuri.
Nacheka sana, siyo kukupa chance bali mpaka unakufa huwezi kuandika mfano wa aya katika Qur'aan.
Tena jipe muda unao utaka wewe utuandikie.
Makazi ya majini ni kwenye mapango, misituni, kwenye maji, na huwa wanapenda kutembelea sana kwenye majalala, makaburini na sehemu nyingi zenye uchafu.Hao majini wanaishi wapi mbona una habar zao tele?
Weww wa kupigwa makofi, hiyo sura inathibitisha uwepo wa majini mpaka kesho siyo leo tu. Kwanza nenda kasome kwanza, usilete utoto na uvivu wa kijinga.kwani hapa tunatafuta thibati ya nini?
Hapa naulizia jambo linalosemekana lipo sekunde hii wewe unaleta kitabu cha wachambia mchanga miaka 1500 iliyopita?
Kijana hili tatizo la utoaji mifano naona umelikumbatia mno, toa mfano muafaka.Sawa na Mtu aseme kuna nchi inaitwa Czechoslovakia..halafu ushahidi uwe ni kitabu cha miaka ya 1800..
Kwanza hicho kitabu chenyewe tu ndiyo ukweli, hii ithibati namba moja.Furthermore it begs an inescapable question:Haya prove hayo yaliyoandikwa kwenye hicho kitabu kuhusu majini ni ukweli.
Hili nimekujibu tena kwa udhuru, ila ungekuwa makini usingeuliza swali hilo sababu kuuliza kwako kunathibitisha ya kuwa jambo hilo huliwezi.Nimekuuliza swali,kwanini siwezi kuandika aya kama ya Quran?nijibu hili then nikutungie aya chap
upuuzi mtupu..kusema tu kitabu ni cha kweli haikifanyi kiwe cha kweli,prove ukweli wake katika kila instance...mfano hapa prove ukweli wa hiyo sura ya majini kuwa yanayoongelewa humo ni ya kweliKwanza hicho kitabu chenyewe tu ndiyo ukweli, hii ithibati namba moja.
Enhee hapa ndo kidogo unakaribia karibia...Haya hizo Athari zake zithibitishe hapa...na kama unaishi nao au ni mmoja wao lithibitishe hilo hapaPili, majini wapo tunaishi nao na athari zake tunaziona.
kwahyo sasa maneno yangu yamekuwa ithibati tosha...Sasa kama ni hivyo basi hata niliposema majini yanafugika maneno yangu yangekuwa ithibati tosha.Tatu, ulikiri kipumbavu japo uliogopa ulichokiona ya kuwa uliona watu wakifuga majini, na wewe nafsi yako inakiri hilo mpaka kesho. Hii ni tlithibati nyingine.
Hujanijibu..taja postHili nimekujibu tena kwa udhuru, ila ungekuwa makini usingeuliza swali hilo sababu kuuliza kwako kunathibitisha ya kuwa jambo hilo huliwezi.
Suala la kutunga hilo nimekupa ujipe muda unao taka wewe ufanye hivyo.