Alikuwa binadamu kweli?

Alikuwa binadamu kweli?

Kwanza rekebisha nilipokukosoa. Weka mfano muafaka, na ule ulio rejea. Nasubiri uwekke mfano stahiki.

Nakufosi uweke mfano stahiki.
Mfano nilioweka unafaa...kama huupendi leta wako usinilazimishe
 
Kutokuiamini si hoja, hoja ni wewe kupinga kilichomo humo kwa hoja na ubainifu,huwa hatusemi tu ilimradi tunasema, bali ithibati ndiyo huuweka wazi ukweli.

Tukisema kila mtu aseme, watasema tu kama wewe unavyoamua kusema ila kizaazaa huja kama kile kilichokukuta ukashindwa kutupa ushahidi hata ule ulio ushuhudia ya kuwa uliona majini yakifugwa.

Kwahiyo bado hujavunja ithibati yangu, sababu umesema kwamba huamini ila hujakosoa kilichoandikwa mule na hili huwezi mpaka unazikwa.
Leta ithibati mzee...vitabu kila mtu anaandika haimaanishi maandishi ndo ithibati.Hiyo Sura imejaa stori za alfu ulela haina tofauti na Pazi na jogoo..Leta ithibati ya kisayansi acha maneno.
 
Leta ithibati mzee...vitabu kila mtu anaandika haimaanishi maandishi ndo ithibati.Hiyo Sura imejaa stori za alfu ulela haina tofauti na Pazi na jogoo..Leta ithibati ya kisayansi acha maneno.
Sasa jambo la kihistoria linataka ushahidi upi wa kisayansi ?

Pili, sayansi haina uwezo huo.

Tatu, kama kuandika rahisi andika mfano wa kipande cha aya. Hili walisjindwa wakubwa wa zamani tena wabobezi katika lugha siyo nyinyi wa leo vichwa mchunga hata mnayo yaandika hamyajui.

Nne, nimekupa sura sasa kama una uwezo ibatilishe hiyo aya na uonyeshe u alfu laila wa laila wake, ukiweza mimi naifunga hii ID.
 
Sasa jambo la kihistoria linataka ushahidi upi wa kisayansi ?

Pili, sayansi haina uwezo huo.

Tatu, kama kuandika rahisi andika mfano wa kipande cha aya. Hili walisjindwa wakubwa wa zamani tena wabobezi katika lugha siyo nyinyi wa leo vichwa mchunga hata mnayo yaandika hamyajui.

Nne, nimekupa sura sasa kama una uwezo ibatilishe hiyo aya na uonyeshe u alfu laila wa laila wake, ukiweza mimi naifunga hii ID.

uwepo wa jini ni jambo la kihistoria au fact ya uhalisia wa sasa?
ushaona wapi mtu anataka ushahidi wa kitu kilichopo leo anapewa kitabu kilichoandikwa miaka 1000 iliyopita na wachunga ngamia jangwani?

Unasema kuandika aya siwezi(umeshaamini hivo kabla hujanipa chance)..kwanini nishindwe au kwanini watu wanashindwa?
 
Tena imewapofusha hasa. Haya mambo ya kawaida sana, sema huku kwetu yameletwa katika sura ya uligaji na utapeli. Leo hii watu wanapiga watu hela kwa njia ya mapepo mara majini, wakati si mambo ya kutisha kabisa.

Kitu kingine ni kuwa ukisikia habari za majini kuwavaa watu na mfano wake, ujue majini hao ni wale waovu, ila wapo majini wema tena Wachamungu, yaani harakati za maisha yetu na kwao yapo hivyo hivyo, wanazaa, wanaoana,wanakufa wanazikana na mfano wake.
Aisee
 
uwepo wa jini ni jambo la kihistoria au fact ya uhalisia wa sasa?
Uliza swali sahihi kwa munasaba wa kile nilichokiandika. Kam hujaelewa nilicho kiandika bora uulize.

Nimekuuliza jambo la Kihistoria linahitaji vipi ushahidi wa kisayansi yaani sayansi inalithibitisha vipi ?

Pili, historia ni uhalisia endapo ikiafikiana na hali halisi.

Tatu, uwepo wa majini ni jambo la kihistoria kwa maana ya kuangalia chimbuko lao na ni halisi sababu historia imethibitisha hilo na hilo na kuafikiana na hali halisi.
ushaona wapi mtu anataka ushahidi wa kitu kilichopo leo anapewa kitabu kilichoandikwa miaka 1000 iliyopita na wachunga ngamia jangwani?
Huu upuuzi mwingine, wewe chimbuko lako au chimbuko la mwanadamu unalijua kupitia nini ?

Ithibati ya uwepo wa majini nimekupa toka katika kitabu kisicho na shaka ndani yake, kitabu ambacho kinaelezea yaliyopita yaliyopo na yajayo.

Ulichokiandika konathibitisha wazi ya kiwa kitabu chetu hukijui, ndiyo maana unazidi kukosea na utakosea sana mpaka siku ukiamua kuitumia akili yako vizuri.
Unasema kuandika aya siwezi(umeshaamini hivo kabla hujanipa chance)..kwanini nishindwe au kwanini watu wanashindwa?
Nacheka sana, siyo kukupa chance bali mpaka unakufa huwezi kuandika mfano wa aya katika Qur'aan.

Tena jipe muda unao utaka wewe utuandikie.
 
Ingia Youtube mfuatilie Davistar Mata na story za watu anao wahoji. Unaweza pata jibu huyo ni nani
 
Historia inaanza hivi...

Kipindi nkiwa bado shule secondari miaka kumi sasa imepita, nilinunuliwa simu na bro wangu. Siku moja ghafla mida ya mchana iliingia SMS kutoka kwa namba ngeni ikisomeka "ukitoka hostel nijulishe uniazime kitabu chako" sikumbuki sawa sawa but nimeotea tu kwa kumbukumbu.

Nikaanza kuchat nae kitabu gani na wewe nani. Ndipo mbele akagundua amekosea number na kuomba radhi kwamba alikuwa anamtumia mdada mmoja classmate wake namba zinafanana baadae tukaanza kufahamiana kwa kuendelea kuchat.

Alijitambulisha anaitwa Jimmson Henry, anasoma chuo kikuu mlimani (UDSM). Yuko mwaka wa pili bachelor degree ya information technology (IT). Anaishi hostel za mabibo lakini kwao Tabata.

His paternity origin is Ngazdja from Comoros islands, and Lindi mtwara kwa upande wa mama. He was so talkative,cheerful,funny na utani mwingi!

Tuliendelea na mazoea ya kuwasiliana, alinieleza mengi kuhusu maisha yake nami yangu pia.

Mwisho sababu ya ujana akaanza kuniomba nafasi nami nikampaa bila hata kumuona.

Mazoea yaliendelea ikafika muda nipo likizo akaomba tufahamiane kwetu tunapoishi, alianza yeye nikamleta kwetu hadI bi mkubwa alimuona.

Ikafika zamu yangu nikaunga "tuisheni" kwao maeneo ya Tabata liwiti.

Nilivyofika kwao aliweza kunitambulisha kwa mdogo wake wa kiume hawapishani sana kiumri anaitwa James. Tuliongea mengi na kuna mzee jirani pia alikuwa ni seremala naye akamuuliza huyu nani akanitambulisha rafiki yake.

Baada ya kuondoka tukaanza kuwasiliana ananiambia we ni mzuri sana hadi huyu mzee hapa jirani ananitania yule mrembo umemtoa wapi, kakangu pia!

Few months later akamaliza mwaka wa pili na kuwa likizo na mimi nkiwa natarajia kuingia mitihani yangu ya final.

Akanijuza kapata mwaliko America kutoka kwa rafiki zake wawili na taratibu zote za visa, tickect kafanya kwa gharama za wenyeji wake akafanikiwa kwenda. Alikaa kwa miezi mwili tunawasiliana kwa njia ya email nkiwa na mdogo wake.

Akirudi na tukaanza kuwasiliana as usually.

Kufupisha kuna kipindi alikua anapitia majukumu magumu ya kifamilia kama mtoto wa kwanza kwao, akawa anakosa hata muda nami. Nami nikawa frustrated na mambo yangu tukakorofishana na kupotezeana.

Baada ya mwaka mmoja nikiwa chuo sikuweza kuhimili alikuwa amenikaa sana kichwani hadI napata msongo wa mawazo.

Nikajiambia kwao napakumbuka nijaribu kwenda. Nilipanga weekend asubuhi nikaifikia nyumba nikiwa nimekaa mbali kidogo nione kama atatokea mtu.

Masaa yalipita nikahisi hawapo japo mlango upo wazi. Akatokea mdada mrefu mweupe nikajua atakuwa member mojawapo wa familia.

Nilisogea na kumsalimia akanijibu nikaanza kumuulizia jamaa wakaanza kushangaa hawamjui. Nilitaka details zote hadI wadogo zake na Dada zake hawamjui.

kuulizia ile nyumba wale wadada wanadai wao wameishi pale tangu udogoni na mtaa mzima wanawajua. Haijawahi kuishi familia nyingine hata kupangisha.

nikawauliza kama kuliwahi kuwa na mzee seremala upande wa nyumba anaranda mbao wanajibu hakujawahi kuwa na fundi seremala hapo.

Na nikiangalia like eneo naona tupu hakuna dalili yoyote hata mzee kuacha mabenchi ya mbao.

Kuna maduka around nikawa nawauliza wanadai hawajahi kuishi na mtu wa aina hiyo, hawamjui
Lakini nyumba ni ile ile hadI ndani kuko vile vile. Mpaka sasa sipati jibu.

Maana alishare nami vitu vingi mno mpaka harusi ya mdogo wake ilifanyika kwenye nyumba hiyohiyo.

Safari zake zote mamake ahata akiwa anaumwa na2julishwa nimpe pole mkwe. Plans zake zote.

Mfano alivorudi kutoka America alipewa zawadi ya gari akaghairi sababu hana uwezo wa kuhudumia, akaomba badala yake atumiwe vifaa vya office tufungue stationary kubwa Kijitonyama.

Alikua so bright kiasi anapata nafasi za kazi kwenye biashara na makampuni za maprofessor wake. Kila kitu ndani ya ofisi anashare nami.

Mpaka sasa ananiwinda kichwani kama mzimu na hapo kwao ndo hivi kama nilivyopakuta sijapata majibu hadI sasa.

Alikuwa nani?
Tunashughulika na kesi ya ugonjwa wa kuona/kuhisi vitu visivyoonekana.
.
.
Tatizo hili huenda lisiwepo kwa msimuliaji tu. Huenda hata kwetu wasomaji.
.
.
Adios
 
Uliza swali sahihi kwa munasaba wa kile nilichokiandika. Kam hujaelewa nilicho kiandika bora uulize.

Nimekuuliza jambo la Kihistoria linahitaji vipi ushahidi wa kisayansi yaani sayansi inalithibitisha vipi ?

Pili, historia ni uhalisia endapo ikiafikiana na hali halisi.

Tatu, uwepo wa majini ni jambo la kihistoria kwa maana ya kuangalia chimbuko lao na ni halisi sababu historia imethibitisha hilo na hilo na kuafikiana na hali halisi.

Huu upuuzi mwingine, wewe chimbuko lako au chimbuko la mwanadamu unalijua kupitia nini ?

Ithibati ya uwepo wa majini nimekupa toka katika kitabu kisicho na shaka ndani yake, kitabu ambacho kinaelezea yaliyopita yaliyopo na yajayo.

Ulichokiandika konathibitisha wazi ya kiwa kitabu chetu hukijui, ndiyo maana unazidi kukosea na utakosea sana mpaka siku ukiamua kuitumia akili yako vizuri.

Nacheka sana, siyo kukupa chance bali mpaka unakufa huwezi kuandika mfano wa aya katika Qur'aan.

Tena jipe muda unao utaka wewe utuandikie.

Hilo jambo la kihistoria ni lipi?
kwani hapa tunatafuta thibati ya nini?
Hapa naulizia jambo linalosemekana lipo sekunde hii wewe unaleta kitabu cha wachambia mchanga miaka 1500 iliyopita?

Sawa na Mtu aseme kuna nchi inaitwa Czechoslovakia..halafu ushahidi uwe ni kitabu cha miaka ya 1800..

Furthermore it begs an inescapable question:Haya prove hayo yaliyoandikwa kwenye hicho kitabu kuhusu majini ni ukweli.

Nimekuuliza swali,kwanini siwezi kuandika aya kama ya Quran?nijibu hili then nikutungie aya chap
 
Hao majini wanaishi wapi mbona una habar zao tele?
Makazi ya majini ni kwenye mapango, misituni, kwenye maji, na huwa wanapenda kutembelea sana kwenye majalala, makaburini na sehemu nyingi zenye uchafu.
 
kwani hapa tunatafuta thibati ya nini?
Hapa naulizia jambo linalosemekana lipo sekunde hii wewe unaleta kitabu cha wachambia mchanga miaka 1500 iliyopita?
Weww wa kupigwa makofi, hiyo sura inathibitisha uwepo wa majini mpaka kesho siyo leo tu. Kwanza nenda kasome kwanza, usilete utoto na uvivu wa kijinga.

Hicho hicho kitabu yaani mpak unakufa huwezi kukikosoa hicho itabu kila kilicjo andikwa humo ni ukweli.
Sawa na Mtu aseme kuna nchi inaitwa Czechoslovakia..halafu ushahidi uwe ni kitabu cha miaka ya 1800..
Kijana hili tatizo la utoaji mifano naona umelikumbatia mno, toa mfano muafaka.

Swali lako ulitaka ithibati ya majini na uwepo wake hujataka ithibati ya jini fulani, bali ithibati ya jinsia ya kiumbe kiitwacho jini. Kijana uwe unatafakari hata kile unachokiandika mwenyewe, usiwe mjinga kiasi hiki.
Furthermore it begs an inescapable question:Haya prove hayo yaliyoandikwa kwenye hicho kitabu kuhusu majini ni ukweli.
Kwanza hicho kitabu chenyewe tu ndiyo ukweli, hii ithibati namba moja.

Pili, majini wapo tunaishi nao na athari zake tunaziona.

Tatu, ulikiri kipumbavu japo uliogopa ulichokiona ya kuwa uliona watu wakifuga majini, na wewe nafsi yako inakiri hilo mpaka kesho. Hii ni tlithibati nyingine.
Nimekuuliza swali,kwanini siwezi kuandika aya kama ya Quran?nijibu hili then nikutungie aya chap
Hili nimekujibu tena kwa udhuru, ila ungekuwa makini usingeuliza swali hilo sababu kuuliza kwako kunathibitisha ya kuwa jambo hilo huliwezi.

Suala la kutunga hilo nimekupa ujipe muda unao taka wewe ufanye hivyo.
 
Napataga kazi sana kuchambua maandishi yako yenye maana..enwei
Kwanza hicho kitabu chenyewe tu ndiyo ukweli, hii ithibati namba moja.
upuuzi mtupu..kusema tu kitabu ni cha kweli haikifanyi kiwe cha kweli,prove ukweli wake katika kila instance...mfano hapa prove ukweli wa hiyo sura ya majini kuwa yanayoongelewa humo ni ya kweli
Pili, majini wapo tunaishi nao na athari zake tunaziona.
Enhee hapa ndo kidogo unakaribia karibia...Haya hizo Athari zake zithibitishe hapa...na kama unaishi nao au ni mmoja wao lithibitishe hilo hapa
Tatu, ulikiri kipumbavu japo uliogopa ulichokiona ya kuwa uliona watu wakifuga majini, na wewe nafsi yako inakiri hilo mpaka kesho. Hii ni tlithibati nyingine.
kwahyo sasa maneno yangu yamekuwa ithibati tosha...Sasa kama ni hivyo basi hata niliposema majini yanafugika maneno yangu yangekuwa ithibati tosha.
Hili nimekujibu tena kwa udhuru, ila ungekuwa makini usingeuliza swali hilo sababu kuuliza kwako kunathibitisha ya kuwa jambo hilo huliwezi.

Suala la kutunga hilo nimekupa ujipe muda unao taka wewe ufanye hivyo.
Hujanijibu..taja post
Nauliza tena..kwanini nishindwe kuandika aya kama ya Quran?ukijibu hilo swali rahisi naileta hiyo aya
 
Back
Top Bottom