Baada ya harakati za kwenda donge kufanya mhadhara jumuiya ya Muamsho,wakati wapo njiani maelfu ya wananchi walikutana na polisi wakiwa wameweka road-block ktk kiji cha mahonda njiani,wananchi hao wakaamua kukaa kitako chini kwa wote waume na wanawake,Polisi baada ya kuona hivyo wakaamua kupiga mabomu ya machozi na kupiga risasi za mpira kwa watu na ndipo risasi zikawaangukia watu wawili, kati ya hao wawili mmoja amefariki dunia na waliingia mpaka misikitini kupiga watu na ktk msikiti mmoja pale mahonda umejaa damu mpaka jana..
Chanzo cha vurugu:
Jumuiya hii ilianda mhadhara huu zaidi ya wiki mbili nyuma na walikuwa wamekamilisha taratibu zote za kisheria na kukubaliwa kufanya,siku ya mhadhara ilipofika wakati watu wengine wengi sana washafika mapema donge kutoka maeneo ya jirani na donge na upande wa kaskazini,wakabaki watu wanaotoka mjini na kusini wao wakakutana mjini kwa ajili ya kuondoka, Mkuu wa mkoa,mkuu wa wilaya na Polisi wakawafuata maamiri wa muamsho ktk sehemu ya mbuyuni mjini znz na kuwaambia wasiende donge,maamiri hao wakawajibu tumekamilisha taratibu zote za kisheria tena kupitia kwenu,mbona hamkutwambia kabla kama tusifanye? leo watu washakusanyika hapa kutoka maeneo mbali mbali na washakodi magari na wengine wapo njiani kuelekea huko na wengine washafika donge tena wengi sana,ndio mnakuja kutwambia tusifanye,sisi tufanye nini wakati huu tena,basi angalau mngetwambia asubuhi mapema tukawatangazia watu kuwa hakuna mhadhara,(wakati huo walokutana ilikuwa ni saa saba mchana) mnatwambia wakati huu? hatuna jinsi kama mumeshadhamiria vibaya basi fanyeni,sisi hatuna la kufanya kwa wakati huu.
Chanzo cha vurugu:
Jumuiya hii ilianda mhadhara huu zaidi ya wiki mbili nyuma na walikuwa wamekamilisha taratibu zote za kisheria na kukubaliwa kufanya,siku ya mhadhara ilipofika wakati watu wengine wengi sana washafika mapema donge kutoka maeneo ya jirani na donge na upande wa kaskazini,wakabaki watu wanaotoka mjini na kusini wao wakakutana mjini kwa ajili ya kuondoka, Mkuu wa mkoa,mkuu wa wilaya na Polisi wakawafuata maamiri wa muamsho ktk sehemu ya mbuyuni mjini znz na kuwaambia wasiende donge,maamiri hao wakawajibu tumekamilisha taratibu zote za kisheria tena kupitia kwenu,mbona hamkutwambia kabla kama tusifanye? leo watu washakusanyika hapa kutoka maeneo mbali mbali na washakodi magari na wengine wapo njiani kuelekea huko na wengine washafika donge tena wengi sana,ndio mnakuja kutwambia tusifanye,sisi tufanye nini wakati huu tena,basi angalau mngetwambia asubuhi mapema tukawatangazia watu kuwa hakuna mhadhara,(wakati huo walokutana ilikuwa ni saa saba mchana) mnatwambia wakati huu? hatuna jinsi kama mumeshadhamiria vibaya basi fanyeni,sisi hatuna la kufanya kwa wakati huu.