Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 61,517
- 125,796
Nita ku pm tafadhali.
Poa mate
Nita ku pm tafadhali.
Mkuu tabia kama hizi zinakera sana na nnakereka zaidi kuona watu wanazipigia upatu
Tuliza mtori,nyama ziko chini! Mdada anakupima temper/uvumilivu na Uanaume wako,mpigie simu uongee kiuanaume sio kulia lia...umewekwa kwenye mizani!!! adios
kwan hujaelewa nn hapo wewe pimbi!.... demu yawezekana kakuona na hajakukubali, yawezekana unaswagz za kishamba...(change urself). ur not hb jins alivokuona....tafadhar acha kutongoza demu kwa kujifanya kukosea namba au kuptia mitandao ya kijamii.....tafuta na mtongoze in real situation acha ufala wako.
Lol!! hayo mazingira sio ya kuonana kwenye first date!!!!!!! labda kama walikua wanaenda kushoot tamthilia
tulikutana kwenye ndegeNi mawazo yako hayo, inaoneka hujasoma mada, anyway embu niambie wewe ulifahamiana vp na huyo ulinaye?
Mara ya pili leo?
Harakati za dakta love pimbi katika ubora wake!
Sent from my WhiteBerry using JamiiForums
Wadada badilikeni jamani, uongo wenu utawamaliza. Kuna mdada tumefahamiana siku 1 baada ya hapo tukawa tunawasiliana, hi leo tukakubaliana kuonana maeneo ya Feri-Kigamboni(alipenda hapo mana anakaa Kibada-kigamboni pia lengo kuu ilikua just kufahamiana). Nikamuambia aamue muda gani ni convinience kwake itakayo faa kuonana, hatimaye ka sugest kua ni saa 12:30 jioni. Ilipofka saa kumi jioni nikanza safari nikitokea Mbezi, nkafka posta, nkapanda Bodaboda mpaka Fery, nikavuka(muda wote nampa update ya safari). Nlipoanza kuvuka aka niupdate kua naye ndio anatoka home, bada ya kuvuka nkanza kumsubiria mpaka saa moja kamili, ikabdi nimpgia akasema amefka geti jeusi(kituoa jirani na feri), ikafka saa mbili dakika 5, nkapgia tena akasema amefka na yupo karbu na standi ya daladala. Nkamwambia nami nipo hapo, akakata simu, bada ya dak 5, akanitext "please wait kidogo" saa mbili na 30 nkapga simu akaniambia hvi "SAMAHANI NISAMEHE NIMESHNDWA KUJA". In short imeniuma sana na wadada kweli mmenikatsha tamaa na nimewachukia sana, nimeteseka sana na daladala muda huu ndio nafka geto! kibaya zaidi ni mara ya pili hili likinitokea! Wadada! wadada! wadada!
ni,esema hao watu ndo hopeless sio wewe
looooh kweli umevurugwa na umenielewa vibaya
nikasema in jokes nunua mkate ule ulale,,,,nikimaanisha ulale doing this kuandika uzi wont help that much
kama umechukia kunya tikiti
Utarogwaaaaaaa!!!😉