Alichonifanya huyu dada, sintokaa nisahau

Alichonifanya huyu dada, sintokaa nisahau

Ni mpm Nikusaidie uwezo wako mdogo kisera .Mbona hawa wanakuja getton wenyewe we unamaliza hadi vocha mkuu we kweli umetutia aibu hebu ngoja tukufunde looo
 
Wewe wala usiwe na tabu......mimi nakupa kabisa coordinates......ukiona vipi.....unaibuka......hakuna longolongo hapa.......

dada Preta, I don't think kama na wewe ni mzinguaji kama huyo mdada wa feli. Jamaa 'kachomeshwa mahindi' mpaka yakaungua afu mchuchu hatokei. hahahaaa
 
Huyo binti nahisi alikuona na hukumvutia, then akaamua asepe. Pia tangu picha lianze, ''approach'' yako is not advanced. Lakini pia kwa mtazamo wangu, naona huyo binti pia ni either 'limbukeni' au 'sio mstaarabu'.

Ofcourse naelewa kabisa kwamba when it comes to a FIRST DATE, basi first impression (including venue & your personality) matters a lot. However, suala la mtu kutokuvutiwa na mwenzake laweza mkuta yeyote kati ya me au ke (yaani hao wanaomeet). So mimi nadhani huyo 'binti wa feli' ata kama hakuvutiwa na mleta uzi, angemeet nae tu na kumsikiliza, wakishaachana hapo then ana-quit na kum-cancel, hivi ndo waungwana na wastaarabu hufanya. Na sio kuingia mitini, provided that mtu kasafiri all the way from MBEZI to Kigambonino. Gadem it!!!

Alafu nawewe, next time kuwa makini kuchunguza kwanza unadeal na wasichana/wanawake wa aina gani, acha kukurupuka na mademu 'walu walu' wa kwenye mitandao. Hili hata masai dada kaku-alert vizuri tu.
Notably: sometimes MAPENZI HAYANA FORMULA!

-Kaveli-
 
Last edited by a moderator:
Mbezi -Posta hadi FERRY afu jioni ! pole
Wadada badilikeni jamani, uongo wenu utawamaliza. Kuna mdada tumefahamiana siku 1 baada ya hapo tukawa tunawasiliana, hi leo tukakubaliana kuonana maeneo ya Feri-Kigamboni(alipenda hapo mana anakaa Kibada-kigamboni pia lengo kuu ilikua just kufahamiana). Nikamuambia aamue muda gani ni convinience kwake itakayo faa kuonana, hatimaye ka sugest kua ni saa 12:30 jioni. Ilipofka saa kumi jioni nikanza safari nikitokea Mbezi, nkafka posta, nkapanda Bodaboda mpaka Fery, nikavuka(muda wote nampa update ya safari). Nlipoanza kuvuka aka niupdate kua naye ndio anatoka home, bada ya kuvuka nkanza kumsubiria mpaka saa moja kamili, ikabdi nimpgia akasema amefka geti jeusi(kituoa jirani na feri), ikafka saa mbili dakika 5, nkapgia tena akasema amefka na yupo karbu na standi ya daladala. Nkamwambia nami nipo hapo, akakata simu, bada ya dak 5, akanitext "please wait kidogo" saa mbili na 30 nkapga simu akaniambia hvi "SAMAHANI NISAMEHE NIMESHNDWA KUJA". In short imeniuma sana na wadada kweli mmenikatsha tamaa na nimewachukia sana, nimeteseka sana na daladala muda huu ndio nafka geto! kibaya zaidi ni mara ya pili hili likinitokea! Wadada! wadada! wadada!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom