Mmmh una deal na watu wa namna gani???
mbona hopeless
facebook???maana umasema hamjuani
nunua mkate kwa mangi upike chai unywe ulale.pole
Ilo nalo n neno
Mmmh una deal na watu wa namna gani???
mbona hopeless
facebook???maana umasema hamjuani
nunua mkate kwa mangi upike chai unywe ulale.pole
Sio tikiti mwambie anye boga kabisa.kabla ujapanga kukutana na mtu chunguza ni wa aina gani wengine sio kabisa
ila usinye tikiti nimejoke tu
Rahisi sana kusema hivyo kama hujapenda kisawasawa utaomba kwa kila namna unayoijua. Mapenzi yakikolea hayana ujanja. Ni rahisi kujibu kwa kutumia keyboard kwani huwajibiki. Usiombe kupenda asiyekupenda.
hata wenye magari wanapigwa chini na kukataliwa pia.
ukiwa na nyota ya kunguru unafikiri utafugwa na nani? nivema akale mkate kama mdau alivyoshauri.
Gari ya nini wakati walikubaliana kuonana maeneo ya feri-Kigamboni?
Pale ni kupiga mbizi tuu.
Hapana kwani, hakuniomc wala kuzungumzia swala la nauli Dongola
Huo muda unaoupoteza kwa kukimbiza na mabinti utakuja kuujutia......wanawake warembo walikuwapo, wapo na wataendelea kiwepo na utawaacha.....kwa mtiririko wa mada yako inaonyesha kuwa wewe bado kijana mdogo na huna kitu kinachokuweka bize ndio maana hata unapata muda wa kukimbizana na mabinti.....fanya kazi ujenge maisha yako.......
VUNJA MIFUPA ANGALI BADO MENO YAPO...
Au alikushtukia ulikuwa unataka papuch kwani mwelekeo wko unavyoonyesha