Alichonifanya huyu dada, sintokaa nisahau

Alichonifanya huyu dada, sintokaa nisahau

Hahaaa, mmh ngoja nimfichie siri yake,siwez kusema kama ni member ama laa Idimi
Usikate tamaa. Dating ndo zilivyo. Kama huyo kakuzingua mara mbili, tupa kule songa mbele. Swali la uchokozi: Huyo mlengwa ni mwana JF?
 
Last edited by a moderator:
Sasa Preta Nasiye Tuonane Lini?

Wewe wala usiwe na tabu......mimi nakupa kabisa coordinates......ukiona vipi.....unaibuka......hakuna longolongo hapa.......
 
Last edited by a moderator:
Hustahili kuwachukia wanawake wote kwa kosa la mwanamke mmoja. Pole sana usijisumbue naye tena huyu au atakugandisha tena.

Wadada badilikeni jamani, uongo wenu utawamaliza. Kuna mdada tumefahamiana siku 1 baada ya hapo tukawa tunawasiliana, hi leo tukakubaliana kuonana maeneo ya Feri-Kigamboni(alipenda hapo mana anakaa Kibada-kigamboni pia lengo kuu ilikua just kufahamiana). Nikamuambia aamue muda gani ni convinience kwake itakayo faa kuonana, hatimaye ka sugest kua ni saa 12:30 jioni. Ilipofka saa kumi jioni nikanza safari nikitokea Mbezi, nkafka posta, nkapanda Bodaboda mpaka Fery, nikavuka(muda wote nampa update ya safari). Nlipoanza kuvuka aka niupdate kua naye ndio anatoka home, bada ya kuvuka nkanza kumsubiria mpaka saa moja kamili, ikabdi nimpgia akasema amefka geti jeusi(kituoa jirani na feri), ikafka saa mbili dakika 5, nkapgia tena akasema amefka na yupo karbu na standi ya daladala. Nkamwambia nami nipo hapo, akakata simu, bada ya dak 5, akanitext "please wait kidogo" saa mbili na 30 nkapga simu akaniambia hvi "SAMAHANI NISAMEHE NIMESHNDWA KUJA". In short imeniuma sana na wadada kweli mmenikatsha tamaa na nimewachukia sana, nimeteseka sana na daladala muda huu ndio nafka geto! kibaya zaidi ni mara ya pili hili likinitokea! Wadada! wadada! wadada!
 
mademu wenyewe ndo hao wa kukutana nao FB unaweza kukuta ni bibi yako
 
Wadada badilikeni jamani, uongo wenu utawamaliza. Kuna mdada tumefahamiana siku 1 baada ya hapo tukawa tunawasiliana, hi leo tukakubaliana kuonana maeneo ya Feri-Kigamboni(alipenda hapo mana anakaa Kibada-kigamboni pia lengo kuu ilikua just kufahamiana). Nikamuambia aamue muda gani ni convinience kwake itakayo faa kuonana, hatimaye ka sugest kua ni saa 12:30 jioni. Ilipofka saa kumi jioni nikanza safari nikitokea Mbezi, nkafka posta, nkapanda Bodaboda mpaka Fery, nikavuka(muda wote nampa update ya safari). Nlipoanza kuvuka aka niupdate kua naye ndio anatoka home, bada ya kuvuka nkanza kumsubiria mpaka saa moja kamili, ikabdi nimpgia akasema amefka geti jeusi(kituoa jirani na feri), ikafka saa mbili dakika 5, nkapgia tena akasema amefka na yupo karbu na standi ya daladala. Nkamwambia nami nipo hapo, akakata simu, bada ya dak 5, akanitext "please wait kidogo" saa mbili na 30 nkapga simu akaniambia hvi "SAMAHANI NISAMEHE NIMESHNDWA KUJA". In short imeniuma sana na wadada kweli mmenikatsha tamaa na nimewachukia sana, nimeteseka sana na daladala muda huu ndio nafka geto! kibaya zaidi ni mara ya pili hili likinitokea! Wadada! wadada! wadada!
Huyo wakati unampigia na kumueleza ulipo alikuwa anakuchora tu then akakimbia kwa sababu anazozijua yeye,hilo ndo jibu rahisi na la uhakika
 
Ni mawazo yako hayo, inaoneka hujasoma mada, anyway embu niambie wewe ulifahamiana vp na huyo ulinaye?
mademu wenyewe ndo hao wa kukutana nao FB unaweza kukuta ni bibi yako
 
Tatizo la kupenda mahausi geli!
Unapeana naye miada kumbe kaachiwa funguo za nyumba anasubiria boss aje toka Yombo Vituka then apate muda wa kutoka.
Sio kuja kwako, anakwenda zake dukani kuhemea viungo na kibiriti huku kakuacha dume zima soremba.
 
Shukrani kwa ushauri mzuri BAK
Hustahili kuwachukia wanawake wote kwa kosa la mwanamke mmoja. Pole sana usijisumbue naye tena huyu au atakugandisha tena.
 
Last edited by a moderator:
Pole sana: Ila kuna Uzi wa Le mutuz katoa ufafanuzi jinsi Ya kuwapata ma babyz pitia kama vipi unaweza pata mawili matatu
 
Kijana mshukuru mungu amekuepusha na ukimwi.

Vingine unavyovikosa ni mpango WA mungu.

Mungu anatupa tunavyoviitaji sio tunavyovitaka!
 
Wewe wala usiwe na tabu......mimi nakupa kabisa coordinates......ukiona vipi.....unaibuka......hakuna longolongo hapa.......

Hizo Ndo Ahadi Zakizungu Mkihaidiana Inakuwa Kweli Ntakupm Basii
 
Mieleka yoooote hiyo!

Siku ukija kupewa papuchi................

Mashahidi wa Jehova wanaogelea

Aibu naona mimi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom