Alichokisema Pengo Mahubiri ya Christmas

Alichokisema Pengo Mahubiri ya Christmas

hv uyu pengo ana nafasi gan kwenye balaza la maaskofu? au yeye ndio mkuu wa ma askofu tanzania? huwa sijajua bado nafas yake ila naona ni askofu mwenye nguvu kuliko ma askofu wote, sasa yeye ndio askofu mkuu? kwa anayejua nafas yake anijuze plz
 
Acha udwanzi, sio lazima kila mtu ampinge kisa tuu kakobe kasema yake na huyu naye ulitegemea aseme kama unavyotaka wewe iwe.
 
Nikikumbuka mwaka 2012 June siku alivotuita Maaskofu na Mapadri kule Avion Resort Bagamoyo kufika tunaambiwa tumeitwa kikao cha kupanga mikakati kuzuia Waislamu wasihesabiwe kwenye sensa kubabake.

Tangu siku hiyo nikamdharau sana.
Mapadri wanne kesho yake tukabwaga manyanga. Tukaachana kabisa na habari za Upadri.
Utakuwa ulizamia upadri kama mamluki, YESU huwa anawatoa virusi kwa njia hii, wakala wa shetani wewe..
 
Nikikumbuka mwaka 2012 June siku alivotuita Maaskofu na Mapadri kule Avion Resort Bagamoyo kufika tunaambiwa tumeitwa kikao cha kupanga mikakati kuzuia Waislamu wasihesabiwe kwenye sensa kubabake.

Tangu siku hiyo nikamdharau sana.
Mapadri wanne kesho yake tukabwaga manyanga. Tukaachana kabisa na habari za Upadri.
Ulisomea wapi Upadri?

Mwaka upi mpaka mwaka upi?
 
Nilisomea Amsterdam Netherlands.
Mwaka upi hadi mwaka upi Non of your business.
[Kutosema kuwa ulisoma kuanzia mwaka upi mpaka mwaka upi unadhihirisha UONGO ulio nao.

Kuleta uongo unaoshindwa kushawishi umma wa waelewa unathibitisha UNGUMBARU ulio nao.



Wabillah Tawfiq,
 
Wakristo hawana sauti ktk madhabau ila mitandaoni wana sauti kuu... ina shangaza sana... [HASHTAG]#Shetani[/HASHTAG] amewazidi nguvu wakristo wa leo, wa karne hii... wana shindwa kupigania mabadiliko kama kweli wanaisi na kuyaitaji, ila bahati mbaya wamekuwa wa kulalama bila faida...

Askofu Pengo mwacheni aendelee kwakuwa mmeshindwa kuchukua hatua zidi yake...
 
[Kutosema kuwa ulisoma kuanzia mwaka upi mpaka mwaka upi unadhihirisha UONGO ulio nao.

Kuleta uongo unaoshindwa kushawishi umma wa waelewa unathibitisha UNGUMBARU ulio nao.



Wabillah Tawfiq,


Sawa
 
Elsewhere, Polycarp Cardinal Pengo urged Tanzanians to support President John Magufuli’s efforts to bring development in the country by working hard.

He said in his Christmas Eve sermon at St Marcus Church in Kurasini Parish, Dar es Salaam, that Tanzanians should work hard without complaining.

“The time has come for Tanzanians to work hard, day and night, to support President Magufuli’s efforts,” he said

My take: Kuna tatizo na huyu somewhere. Haoni la kyrekebisha kwa hiyo aliyemtetea

Sent from my HM NOTE 1LTEW using JamiiForums mobile app
Tena tatizo ni kubwa sana hapa
 
hakuna muislam anayejishugulisha na wagalatia maana sisi tunataka muongoke muache kufuru basi
Ni sawa, ni kama vile ambavyo hakuna Wakristo wanaojishughulisha na waabudu Majini.

Umeyasikia aliyoyazungumza Imaam Nur Warsame wa Canada?
 
wapendwa acheni kubishana juu ya hizi dini zetu( uislam & ukristo) leteni mada za maendeleo ya nchi yetu Mungu hapendi kabisa haya malumbano na yeye hana ubaguzi anatupenda sisi sote
 
Back
Top Bottom