Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,211
- 99,963
Hahaahahaupadre wako ni wa Pengo au ulikuwa unatafuta mlango tu wa kutokea
Hahaahahaupadre wako ni wa Pengo au ulikuwa unatafuta mlango tu wa kutokea
mmsikilize yule unayemchagulia cha kusema, chakula na cha Kunywa na kisha cha kutendaUyo mnywa bia kuna watu wakumsikiliza kweli?
In 2 years he will reach the mandatory retirement age of Catholic Bishops of 75 years!Elsewhere, Polycarp Cardinal Pengo urged Tanzanians to support President John Magufuli’s efforts to bring development in the country by working hard.
He said in his Christmas Eve sermon at St Marcus Church in Kurasini Parish, Dar es Salaam, that Tanzanians should work hard without complaining.
“The time has come for Tanzanians to work hard, day and night, to support President Magufuli’s efforts,” he said
My take: Kuna tatizo na huyu somewhere. Haoni la kyrekebisha kwa hiyo aliyemtetea
Sent from my HM NOTE 1LTEW using JamiiForums mobile app
mpumbavu.kanisa haliwezi kuwa na mtu mpumbavu km ww.Nikikumbuka mwaka 2012 June siku alivotuita Maaskofu na Mapadri kule Avion Resort Bagamoyo kufika tunaambiwa tumeitwa kikao cha kupanga mikakati kuzuia Waislamu wasihesabiwe kwenye sensa kubabake.
Tangu siku hiyo nikamdharau sana.
Mapadri wanne kesho yake tukabwaga manyanga. Tukaachana kabisa na habari za Upadri.
.Nikikumbuka mwaka 2012 June siku alivotuita Maaskofu na Mapadri kule Avion Resort Bagamoyo kufika tunaambiwa tumeitwa kikao cha kupanga mikakati kuzuia Waislamu wasihesabiwe kwenye sensa kubabake.
Tangu siku hiyo nikamdharau sana.
Mapadri wanne kesho yake tukabwaga manyanga. Tukaachana kabisa na habari za Upadri.
Pengo ni Loud speaker ya MagogoniTatizo kubwa sana lipo
Acha uongo yy anawajibika kwa mapadri wake wa dar tu.. Hana uwezo was kumuita askofu yeyote was jimbo lingine nakumpa maelekezoNikikumbuka mwaka 2012 June siku alivotuita Maaskofu na Mapadri kule Avion Resort Bagamoyo kufika tunaambiwa tumeitwa kikao cha kupanga mikakati kuzuia Waislamu wasihesabiwe kwenye sensa kubabake.
Tangu siku hiyo nikamdharau sana.
Mapadri wanne kesho yake tukabwaga manyanga. Tukaachana kabisa na habari za Upadri.
chadema bhna mnatukana hadi viongozi wenu wa dini alafu mnajiita chama cha demokrasia, how kiwe chama cha demokrasia wakati mnataka wote wawe na mawazo sawa?
Nilishaacha kwenda kanisani sababu ni yeye
Elsewhere, Polycarp Cardinal Pengo urged Tanzanians to support President John Magufuli’s efforts to bring development in the country by working hard.
He said in his Christmas Eve sermon at St Marcus Church in Kurasini Parish, Dar es Salaam, that Tanzanians should work hard without complaining.
“The time has come for Tanzanians to work hard, day and night, to support President Magufuli’s efforts,” he said
My take: Kuna tatizo na huyu somewhere. Haoni la kyrekebisha kwa hiyo aliyemtetea
Sent from my HM NOTE 1LTEW using JamiiForums mobile app