Sidhani kama kuna aliyeshindwa, dikiteita ana namna yake ya ku deal naye. Unataka awaue kama alivyofanya Idd Amin? Time will come.. Amin alikuwa haamini kuwa kuna siku ataikimbia Uganda!Chadema wamemshindwa jpm wamehamia Kwa pengo kweli mfa maji haishi kutapatapa
Alitukuzwa kama huyu kwa kuogopa kuuawa.
He killed around 500,000 Ugandans!