Nikikumbuka mwaka 2012 June siku alivotuita Maaskofu na Mapadri kule Avion Resort Bagamoyo kufika tunaambiwa tumeitwa kikao cha kupanga mikakati kuzuia Waislamu wasihesabiwe kwenye sensa kubabake.
Tangu siku hiyo nikamdharau sana.
Mapadri wanne kesho yake tukabwaga manyanga. Tukaachana kabisa na habari za Upadri.
Ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu nzuri. Rejea bandiko lako hili, ulivyojinadi kuhusu wewe mwenyewe na ulichokiandika hapo juu!
Nasali direct kwa Mungu aliyehai bila kupitia mtu katikwa hiyo unamuabudu pengo?
Unafikiri papa ni mbowe ??Kanisa la dar es salaam linakimbiwa na waumini kwasababu ya huyu na bado huyo papa hajastuka tu huko Vatican alipo! Hebu mtastaafisheni huyu babu mtuletee yule wa biharamulo mwenye uraia tata!
tupo tunamsikiliza, pole mwayaUyo mnywa bia kuna watu wakumsikiliza kweli?
nilivyosoma ulichocomment napata picha, ungekuwa na ushahidi wa ulichoandika ungekiwa hapa, pole, kwa upole tuu naomba uheshimu kiongozi wangu wa Imani.hili mbona linajulikana, wana chuki sana na uislam
hivi wee una miaka mingapi, khaaa, hapo ulipo tuu kufikiria kwako kwa majanga, tuachie pengo wetu.at the age of 73, thinking and behaving like a senile! startles me.
Hata uandishi wako haufanani na upadriNikikumbuka mwaka 2012 June siku alivotuita Maaskofu na Mapadri kule Avion Resort Bagamoyo kufika tunaambiwa tumeitwa kikao cha kupanga mikakati kuzuia Waislamu wasihesabiwe kwenye sensa kubabake.
Tangu siku hiyo nikamdharau sana.
Mapadri wanne kesho yake tukabwaga manyanga. Tukaachana kabisa na habari za Upadri.
nilivyosoma ulichocomment napata picha, ungekuwa na ushahidi wa ulichoandika ungekiwa hapa, pole, kwa upole tuu naomba uheshimu kiongozi wangu wa Imani.
Kanisa la dar es salaam linakimbiwa na waumini kwasababu ya huyu na bado huyo papa hajastuka tu huko Vatican alipo! Hebu mtastaafisheni huyu babu mtuletee yule wa biharamulo mwenye uraia tata!







♂️
♂️
♂️
♂️Kwa io Pengo ambaye ni binadamu kakufanya uache u padre?Nikikumbuka mwaka 2012 June siku alivotuita Maaskofu na Mapadri kule Avion Resort Bagamoyo kufika tunaambiwa tumeitwa kikao cha kupanga mikakati kuzuia Waislamu wasihesabiwe kwenye sensa kubabake.
Tangu siku hiyo nikamdharau sana.
Mapadri wanne kesho yake tukabwaga manyanga. Tukaachana kabisa na habari za Upadri.
chadema bhna mnatukana hadi viongozi wenu wa dini alafu mnajiita chama cha demokrasia, how kiwe chama cha demokrasia wakati mnataka wote wawe na mawazo sawa?
senile imbecileat the age of 73, thinking and behaving like a senile! startles me.