Alichokisema Lissu juu ya kesi ya Wema

Alichokisema Lissu juu ya kesi ya Wema

Lissu ndio nani? wewe binafsi unajua nini kuhusu sheria !!!au kila uongo anaousema unaamini? Criminal procedure act , Tanzania police and auxiliary service act, pamoja na police general order umesoma vifungu vyote vinavyohusu upekuzi au unamwamini tuu huyo jamaa na mauongo yake?
You sound like a loser...pole.
 
I wish I could be jaji mkuu....
 
Ha ha ha ungejua anyway,leta hoja sio upuuzi wako hapa facebook inahusika nini.nani kamkebehi kwako wewe huyo si ndio Mungu wako endelea kumsifu..kuongea kesi ambayo bado IPO mahakamani ni sawa?uliza mwansheria yeyote swali hili akujibu then uje hapa..tena usimtaje mod wa watu na kinywa chako kichafu hivyo..sijui umekula maharagwe ya wapi wewe!
Unajidhihirisha kuwa wewe ni mweupe kichwani unasema humkebehi halafu unasema "wewe huyo si mungu wako" usiende shule kukariri na ukamaliza ukatoka kifua mbele kuwa upo vizuri ona unavyojiabisha hapa.
Halafu sijasema "Mod" ni "Melo" mmiliki wa hii forum mana unasema "mind your own business" ilihali upo kwenye forum isiyo yako afu unataka uitwe nawe una akili timamu?
 
Mwanasheria nguri, na kwa miiko ya uwakili, kama ilivyo kwa fani na taaluma zingine (daktari, banker. Mhasibu, nk) hitoi siri za mteja wako wala kinachoendelea kabla ya kufikia tamati.

Kama Mkurugenzi wa Idara ya Sheria ya Chama, mwacheni avute ruzuku kwa ulaini. Yawezekana pia analipwa "advance" kushughulikia hizo kesi.
 
Unajidhihirisha kuwa wewe ni mweupe kichwani unasema humkebehi halafu unasema "wewe huyo si mungu wako" usiende shule kukariri na ukamaliza ukatoka kifua mbele kuwa upo vizuri ona unavyojiabisha hapa.
Halafu sijasema "Mod" ni "Melo" mmiliki wa hii forum mana unasema "mind your own business" ilihali upo kwenye forum isiyo yako afu unataka uitwe nawe una akili timamu?
Huna jipya kajiridhishe na nilichokwambia ukaulize sawa kijana.I rest my case for now...by the way ni siku mpya imeanza.mi sio bundi wala popo.
 
Huna jipya kajiridhishe na nilichokwambia ukaulize sawa kijana.I rest my case for now...by the way ni siku mpya imeanza.mi sio bundi wala popo.
Siku zote mpumbavu na msema uongo anapoumbuka lazima akimbie.
Ukiniita kijana haininyimi fursa ya mimi kuwa na waliokuleta duniani,ila nawahurumia wazazi wako wamezaa betri lisilo na chaji
 
Hii imekaaje kwa mbowe kama ni kweli mbona yeye alisachia sa 5 usiku na Tundu lissu akiwepo hakujua kuusu hii sheria
 
Ameandika wakili msomi Tundu lissu

Sio msokoto wa bangi. Hati ya mashtaka dhidi yake inasema Wema amekutwa na gramu 1.08 za bangi. Gramu, sio kilogramu. Polisi waliokamata 'madawa hayo ya kulevya' walifanya sachi saa tatu usiku.

Sheria inayohusu sachi inasema sachi inatakiwa kufanyika kati ya saa moja asubuhi na saa 12 jioni ili, obviously, kupunguza uwezekano wa polisi kupandikiza ushahidi.

Tunamsubiri Paul Makonda mahakamani aje atoe ushahidi wa namna alivyojua Wema anatumia madawa ya kulevya mpaka akamtaja hadharani. Asipokuja basi kesi hakuna.
Lisu kaza mwendo baba najua unapambani na pepo wa kijani
 
Back
Top Bottom