Alichofanya Yahya Jammeh kijijini kwao

Alichofanya Yahya Jammeh kijijini kwao

jamaa alizaliwa kijiji kinaitwa Kanilai chenye watu 4,000. alipoingia madarakani alifanya yafuatayo.
1.alijenga ikulu ya Rais.

2.akajenga uwanja wa mieleka.

3.akajenga hotel ya kifahari

4. akatengeneza na zoo huko kijijini.
ni kawaida kwa viongozi wa Africa tusishangae yakitokea hapa bongo.
IMG_20170119_180856_201.jpg
 
jamaa alizaliwa kijiji kinaitwa Kanilai chenye watu 4,000. alipoingia madarakani alifanya yafuatayo.
1.alijenga ikulu ya Rais.

2.akajenga uwanja wa mieleka.

3.akajenga hotel ya kifahari

4. akatengeneza na zoo huko kijijini.
ni kawaida kwa viongozi wa
Africa tusishangae yakitokea
hapa bongo.

Mbona hapa bongo haijawahi kutokea
 
Sasa si aende akakae huko ikulu ndogo kijijini kwao
Ni sawa na kajumba Ka Supika kule Tabora Magharibi. Ndugu Gai hakatumii kabisa, pamoja na kuwa wakati kanajengwa fedha iliidhinishwa kwa ajili ya Supika...Yote yana MWISHO. Adam Shafi alishasema hili katika Riwaya yake ya KULi uk. 82....
 
Rais Mteule Mh.Adama Barrow kakataa.
Kasema anapotakiwa aelekee kwa sasa ni ICC.
Amesema Jammeh aondoke sababu atasababisha mvurugano kwa wananchi ila ataruhusiwa kurudi baadae "miaka ijayo"

Ameogopa coup de tat
 
jamaa alizaliwa kijiji kinaitwa Kanilai chenye watu 4,000. alipoingia madarakani alifanya yafuatayo.

1. Alijenga Ikulu ya Rais.

2. Akajenga uwanja wa mieleka.

3. Akajenga hoteli ya kifahari

4. Akatengeneza na zoo huko kijijini.

Ni kawaida kwa viongozi wa Africa tusishangae yakitokea hapa bongo.

Huku kaanza na
1:-Uwanja wa ndege.

2/..........
 
Sasa si aende akakae huko ikulu ndogo kijijini kwao
Akienda tu atakamatwa, hata hivyo ameomba apewe kinga asihukumiwe wala kukamatwa kwa kosa lolote alilotenda akiwa madarakani aruhusiwe akaishi kijijini kwao lakini ECOWAS wamekataaaaa
 
jamaa alizaliwa kijiji kinaitwa Kanilai chenye watu 4,000. alipoingia madarakani alifanya yafuatayo.

1. Alijenga Ikulu ya Rais.

2. Akajenga uwanja wa mieleka.

3. Akajenga hoteli ya kifahari

4. Akatengeneza na zoo huko kijijini.

Ni kawaida kwa viongozi wa Africa tusishangae yakitokea hapa bongo.

Sawa Mkuu. Lakini hiyo avata yako kila nikiona ninafikiria una maana gani. sio unadhalilisha kina mama wetu Mkuu? Kama huta jali badirisha mawazo why look like that.
 
jamaa alizaliwa kijiji kinaitwa Kanilai chenye watu 4,000. alipoingia madarakani alifanya yafuatayo.

1. Alijenga Ikulu ya Rais.

2. Akajenga uwanja wa mieleka.

3. Akajenga hoteli ya kifahari

4. Akatengeneza na zoo huko kijijini.

Ni kawaida kwa viongozi wa Africa tusishangae yakitokea hapa bongo.
Agiza pepsi big naja kulipa
 
Back
Top Bottom