Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,367
- 100,408
jamaa alizaliwa kijiji kinaitwa Kanilai chenye watu 4,000. alipoingia madarakani alifanya yafuatayo.
1.alijenga ikulu ya Rais.
2.akajenga uwanja wa mieleka.
3.akajenga hotel ya kifahari
4. akatengeneza na zoo huko kijijini.
ni kawaida kwa viongozi wa Africa tusishangae yakitokea hapa bongo.