Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Umeona kifesi alivyosema leo instagram? Aisee leo ndio nimejua kama domo na timu zake waliumia kiasi gani kutokana na zile tuzo za KTMA.
Anadai mwezi mzima hawana raha kila wakiingia insta ni mwendo wa kukashifiwa na kutiwa aibu tu.
Kifesi lazma aumie mana ulaji kwa boss unapungua hahaaaa na bado hata wakitafta pa kupumulia hasira ndo wana haribu zaidi watulize mishono huko. Tuzo za Killi ziliwauma kumoyo na bado na roho zao za ushetani kujiona wao wana mkataba na Mungu.
 
Kutokujiamini ni ugonjwa mubaya sana eeeeeh pamoja na tuzo LA kukatana viuno ka kina shilole hamjiamini. Kuja ku post huku mambo ya chai jaba won't change anything in our mind mnapoteza tu nguvu, sie tushahamua aisee kwa kiba ndo tumetia nanga. Mnatia huruma katafteni wana saikolojia. Miandiko tu inaonyesha hamna amani na hamujiamini.
You need to get a life. #KibaKeepHurtingThem
 
Fumbo mfumbulie mjinga 😀😀😀😀 caption this by le meneja babu tale

Babu tale alishaona domo anawakimbiza hata nyie wachache mliompigia kura na bado mkapigwa dole. Hahahahahhahaha safi domo safi piga madole wote, mana hakuna namna
 
Kumbe babu tale aliumia sana na tuzo za watu na ktma hahahahaha safiiiiiii. Jana ndio tumejua, kumbe wanazithamini vile halafu kujitia ujuaji hahahah. Safi babu tale bora we umesema kweli kuliko wenzio wanaojiita international huku wakitolea macho tuzo local
 
Babu tale alishaona domo anawakimbiza hata nyie wachache mliompigia kura na bado mkapigwa dole. Hahahahahhahaha safi domo safi piga madole wote, mana hakuna namna

Mkuu acha ubishi..dole was to all haters...sasa kama nawewe ni haters linakuhusu
 
Babu tale alishaona domo anawakimbiza hata nyie wachache mliompigia kura na bado mkapigwa dole. Hahahahahhahaha safi domo safi piga madole wote, mana hakuna namna

Me ktma nilimaindi et bwana tembo ndo mtumbizaji bora tz :what: kwa show Gan n alipiga wapi
 
Me ktma nilimaindi et bwana tembo ndo mtumbizaji bora tz :what: kwa show Gan n alipiga wapi

Ulitaka ashinde bwana nyani? Tulia wewe najua zile sindano [Tuzo] ziliingia barabara ndio maana leo watu wamekiri hadharani.
 
Kutokujiamini ni ugonjwa mubaya sana eeeeeh pamoja na tuzo LA kukatana viuno ka kina shilole hamjiamini. Kuja ku post huku mambo ya chai jaba won't change anything in our mind mnapoteza tu nguvu, sie tushahamua aisee kwa kiba ndo tumetia nanga. Mnatia huruma katafteni wana saikolojia. Miandiko tu inaonyesha hamna amani na hamujiamini.
You need to get a life. #KibaKeepHurtingThem

ndo tatizo lao kutokujiamini hawaoni raha mpaka waje huku kuleta fujo. wanaboa sana hawa . #kingkiba
 
Wewe waache tuwanyooshe na hizo hizo ID zao mpya.
Kwani hujui mziki wetu ulivyo mnene? Hadi wabadili id ndio wajaribu kuucheza.
Teh Teh...habari yako nifah? Hivi mtani wangu atoto umemuona wapi namtafuta mwezi sasa hata simu yake haipokelewi au katekwa?
"Unavyobilinga bayoyo hivyo mi ndo nataka taka taka..."
Uwiiiiiii huu wimbo ulivyo mtamu na ile sauti ya King Kiba ndio ananitia wazimu kabisaaa...

Usijali ma, utaikuta tu inshaallah kikubwa uzima.
 
Last edited by a moderator:
Tuzo diamond kapata sawa lakini aache umamuma.....kulikuwa kuna haja gani yakuweka video ya jokate na kupiga picha akionesha dole la kati.
 
Back
Top Bottom