Phoenix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 10,592
- 15,484
na baaado!!!!
Usitake league na mtoto wa kike, utavishwa shanga bure.
Jifanye mswahili ukutane na mswahilist ++.
na baaado!!!!
Hivi hujaona jana alivyomuambia mwanaume mwenzie humu "Miss youuuuuuuu"!Usitake league na mtoto wa kike, utavishwa shanga bure.
Jifanye mswahili ukutane na mswahilist ++.
Huo muda ninao sasa? Si bora nikaangalie video ya Chekecha ya King Kiba.....
Ndio maana nikakuambia acha kutuchafulia uzi kama mtu akitaka kuangalia ataitafuta huko YouTube.
Hiyo tv huo muda wa kuangalia naupatia wapi? Anakwepeka vizuri tu maana sio pumzi huyo.Haha ndo wale mnachek alaf mnakausha sio mbaya utakutana nayo tu hata kwenye Tv. Hakwepeki huyu kjana ila da unamoyo yani Rais anatoa vdeo huna ata kiraruraru aka kimbelembele cha kenda kuiwah kuiona we noma.
Hiyo tv huo muda wa kuangalia naupatia wapi? Anakwepeka vizuri tu maana sio pumzi huyo.
Mimi noma kwelikweli, tena nina msimamo ajabu siyumbishwi mie...
#NimeamuaKubakiNjiaKuu
#KingKibaAtosha
Tuzo yenyewe ya kituo cha television inaringishiwa hiyo....We mwache tu, jitu puuzi puuzi tu
Sasa ivi status itabadilika kutoka lidingi mpaka lishangingi.
Mtoto wa kiume unajichetua kama shangingi la ujiji Kigoma.
Kudorishia na kuleta mashauzi yasio na kichwa wala mkia.
Haya tuzo wamepata, pongezi tumetoa, wameponda, Sasa anataka nini cha zaidi?
Nasemaje team sihamii!
Kwa msaada wa shanga, misky na wanja aendelee kuniquote taarab na ushuzi.
Mxiiu!
Mi hata sijaliangalia hlo li video. Na unatuchafulia Uzi nashangaa zinaachwa bila kutolewa.Inatosha basi khaaaa! Utalitembeza huku hilo livideo hadi basi.
Umeshaiweka mara moja tu inatosha, acha kutuchafulia uzi.
Hahahaaaaa huo usemi unanikumbusha mwl wangu wa primary alikua anaupenda sana.
Hahahaaaaa kumbe tupo wengi eeh? Mwenzangu mimi hata sina muda wa kuliangalia sio leo wala kesho.Mi hata sijaliangalia hlo li video. Na unatuchafulia Uzi nashangaa zinaachwa bila kutolewa.
Hahahaaaaa huo usemi unanikumbusha mwl wangu wa primary alikua anaupenda sana.
Yani mi hata nimepta ka siuoni vile hahaaaaa acha wa post wakichoka wataachwa. You know ka role model wao ndo standard seven aisee. Na akili zao zinafanana utoto mwingi mwingi. Hata wanashindwa kutumia akili ya kuzaliwa.Hahahaaaaa kumbe tupo wengi eeh? Mwenzangu mimi hata sina muda wa kuliangalia sio leo wala kesho.
Lol...mimi sio mbishi ila nina msimamo mkali katika kile ninachokiamini.Inaelekea ubish umeanza mda sana. Haha
Yani mi hata nimepta ka siuoni vile hahaaaaa acha wa post wakichoka wataachwa. You know ka role model wao ndo standard seven aisee. Na akili zao zinafanana utoto mwingi mwingi. Hata wanashindwa kutumia akili ya kuzaliwa.
nifah vp kuhusu ulichokisema jana mpenz
Lol...mimi sio mbishi ila nina msimamo mkali katika kile ninachokiamini.
Kama huo ndio ubishi wenyewe basi.
Hahahaaaaa kumbe tupo wengi eeh? Mwenzangu mimi hata sina muda wa kuliangalia sio leo wala kesho.
Mi hata sijaliangalia hlo li video. Na unatuchafulia Uzi nashangaa zinaachwa bila kutolewa.
Tuzo yenyewe ya kituo cha television inaringishiwa hiyo....
Ni sawa na Rich Mavoko apate tuzo kutoka ITV halafu aringe
Hahahaaaa
Hata hivyo tuwape muda tu wapunguze stress maana tuzo 7 ndani ya mwezi mmoja alizopata King zimewapa watu stress sana.
Keep wasting ua time am not going to watch it even if you quote me a billions or even a trillion time, am not eeeeeeeh yani ua disturbing ua inner heart to someone who doesn't care and arguing with a fool is a wastage of my time keep wasting ua energy.View attachment 269723Watch "Donald & Diamond Platnumz - Wangu - Official Music Video" on YouTube - https://youtu.be/6raASOZgcN4
Acha kupiga mayowe wewe, halafu mbona unalazimisha sana tuangalie?Huo ndio ubish sasa ila em jaribu kuchek thn utoe maoni yko tunahitaj sana maoni yenu team K u knw haha" fanya kama umekosea vle tu yn itx vry nice song for u ladies"
en thn am out mana ntazidi kuchafua tu huku...