Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

miss youuuuu

Malimao yamekupa nguvu kidogo umerudi

LE MAFURIKOZZZZZ hahaha wakina jekate wanalia huko instagram...

Mi nishanyoooka tokea 2010 nikasema huyu hafaiiiii

Gosh! Una maana gani kumuambia mwanaume mwenzio hivyo?
Makubwa haya!
 
Mkuu nikusaidie

Jokate alikuwa anafanya kazi chanñel o na Iceprince kipindi kimoja

Shetta kapigiwa pande na diamond

Dimpoz kapigiwa pande na AY

Lakini ukae ukijuwa collaboration sio kila kitu, coz J martins, Kcee, na Iceprince hujawaona wote mtv

Afu unajuwa mo music na barakah da prince wanalipwa kiasi gani kwa show??? ndio ufananisha na kiba???

Mond ni non stop katoka kufanyama wandaaaz tar 24, tuna show kilimanjaro kiingilio minimum 30000 hadi 200000 huo ndio ubabe sasa

Niwakumbushe Kesho nominations za Afrimma zinatoka, kwa hili naweka uteam pembeni i expect kumuona kiba kwenye best East Africa category hata nomination tu itamtoshà

STAY TUNED

Ali kiba afrimma awards kwa nyimbo gani ile Kati ya izi kidela, mwana, kimasomaso, au chekecha :what:
 
Diamond ndo mtumbizaji bora Africa source star tv, ITV n TBC km huamini basi amini sasa 😄😄😄😄😄😄😄
 
Ali kiba afrimma awards kwa nyimbo gani ile Kati ya izi kidela, mwana, kimasomaso, au chekecha :what:

Kama umemuona anavyotia huruma mkuu usingeongea maneno hayo... sio vizuri kabisa eti nifah
 
Last edited by a moderator:
SHULE BILA ADA

Newton's Third Law
Newton's Third Law
Identifying Action and Reaction
Force Pairs

A force is a push or a pull that acts upon an
object as a results of its interaction with
another object. Forces result from
interactions! As discussed in Lesson 2 , some
forces result from contact interactions
(normal, frictional, tensional, and applied
forces are examples of contact forces) and
other forces are the result of action-at-a-
distance interactions (gravitational,
electrical, and magnetic forces). According
to Newton, whenever objects A and B
interact with each other, they exert forces
upon each other. When you sit in your chair,
your body exerts a downward force on the
chair and the chair exerts an upward force
on your body. There are two forces resulting
from this interaction - a force on the chair
and a force on your body. These two forces
are called action and reaction forces and are
the subject of Newton's third law of motion.
Formally stated, Newton's third law is:

For every action, there is an
equal and opposite reaction.

The statement means that
in every interaction, there
is a pair of forces acting
on the two interacting
objects. The size of the
forces on the first object
equals the size of the
force on the second object. The direction of
the force on the first object is opposite to
the direction of the force on the second
object. Forces always come in pairs - equal
and opposite action-reaction force pairs.
 
ImageUploadedByJamiiForums1437332888.362794.jpg
 
Kama umemuona anavyotia huruma mkuu usingeongea maneno hayo... sio vizuri kabisa eti nifah

Oohhhh kiba watu wanakuita local lakin bado wanakutaja kwa kila kitu, nilitegemea mtasherehekea ushindi wa kukata mauno jukwaani bila kuogopa kivuli cha kiba, lakin kutwa kucha mko humu.
 
Last edited by a moderator:
Ali kiba afrimma awards kwa nyimbo gani ile Kati ya izi kidela, mwana, kimasomaso, au chekecha :what:

Mtataja zote, jamaa katulia nyie mnaweweseka, whos the boss. Hahahahaah kibaaaaaa peleka peleka, hakuna na video bora wala nyimbo. Jamaa ni watalaam wa kukata mauno afrika nzima
 
Mtataja zote, jamaa katulia nyie mnaweweseka, whos the boss. Hahahahaah kibaaaaaa peleka peleka, hakuna na video bora wala nyimbo. Jamaa ni watalaam wa kukata mauno afrika nzima

Najua Una cho pitia now daka izo 👇👇👇
 

Attachments

  • 1437333823518.jpg
    1437333823518.jpg
    22.2 KB · Views: 77
Mkuu nikusaidie

Jokate alikuwa anafanya kazi chanñel o na Iceprince kipindi kimoja

Shetta kapigiwa pande na diamond

Dimpoz kapigiwa pande na AY

Lakini ukae ukijuwa collaboration sio kila kitu, coz J martins, Kcee, na Iceprince hujawaona wote mtv

Afu unajuwa mo music na barakah da prince wanalipwa kiasi gani kwa show??? ndio ufananisha na kiba???

Mond ni non stop katoka kufanyama wandaaaz tar 24, tuna show kilimanjaro kiingilio minimum 30000 hadi 200000 huo ndio ubabe sasa

Niwakumbushe Kesho nominations za Afrimma zinatoka, kwa hili naweka uteam pembeni i expect kumuona kiba kwenye best East Africa category hata nomination tu itamtoshà

STAY TUNED

Kiba kiba kiba yess wote watabow whether negatively or positively. Ndiyo hawa wasioweza jadili kitu bila kubow kwa mfalme. Kuanzia boss wao mpaka wafuasi bado wana hasira na ktma hahahahshahhahaaaaahahahaaa
 
Hatuwezi kufananisha usingizi na kifo hata kidogo ni uchizi

Tupo hapa kama maripota kutoka Mtv na wasaaaaaaaafi baby, kuwafikia mahaters woote

MTANYOOKA TU

Unapingana na maneno yako mnawezaje kushinda kwenye uzi wa mfu??? Hahahaaha. Nimefurah boss wenu alivyowashukur kwa kuwapiga dole kati hahaahahahaahhah
 
Je wajua ile tuzo ya live act Ina thamani gani 😀 izo ktma zenu zipange zote bado haijafika thaman ya ile tuzo #eiddmubarack
Ktma ingekuwa haina thaman msingetoka mishipa mpaka siku ya jana mlipopata kibali cha kuwa wakata viuno rasmi afrika. Vipi maumivu mana boss wenu aliwashukuru kwa kuwapiga dole kati dah!! Hahahahahaha ndio maana mnashinda humu, jaman si hatutaki mambo hayo
 
Ktma ingekuwa haina thaman msingetoka mishipa mpaka siku ya jana mlipopata kibali cha kuwa wakata viuno rasmi afrika. Vipi maumivu mana boss wenu aliwashukuru kwa kuwapiga dole kati dah!! Hahahahahaha ndio maana mnashinda humu, jaman si hatutaki mambo hayo

Lile dole lilikuwa for u haters kumbe ulikuwa ujui 😀😀😀😀😀
 
Najua Una cho pitia now daka izo 👇👇👇

Hahahahaha jaman hiyo michezo ya kushukuru kwa kupeana madole kati si hatuna, malizieni huko tandale. Kiba ni mstaarab huwa hashukuru fans wake kwa kuwapiga madole. Nafkir hizo ndimu ujipepeee baada ya....
 
Hahahahaha jaman hiyo michezo ya kushukuru kwa kupeana madole kati si hatuna, malizieni huko tandale. Kiba ni mstaarab huwa hashukuru fans wake kwa kuwapiga madole. Nafkir hizo ndimu ujipepeee baada ya....

Only international artist ndo tuna onyeshaga madole km davido n diamond
 
Back
Top Bottom