Waitu...nili lala saa kumi alfajiri.... Teh TehMtu anakujia juu kisa umetoa pongezi, ungekaa kimya ingekua ten mambo mengine.Sasa wataanza kumtaka Kiba atoe Pongezi. Ruttashobolwa ivi ulilala kweli waitu?
Mjumbe hauwawi
yaan Nina raha mpaka nashindwa kukoment humu,yaan Ni sheeeeeedahaaaaaa AMA vepeeeeeee
achani ujinga wakutujazia pages hapa mnakuwa washaambaaa kiasi hicho nendeni kwenye thread yake kule na mtuondoleee ujinga wenu hapa in king house
cute b nishakumis tayari vipi umeenda kupumzika kidogo, maana jana ilikuwa zaidi ya kupanick...
Khaaakhaaa
Mungu amekupnda kapewa hakuna kuandama tena
kwani kwenye tuzo kiba alikuwepo sasa nichukie kivipi mi nawapenda wasanii wote mbona wa afrika kwani lazima kumpenda domoHahah mkuu tukale malimao buanaaa huyu chibu ni shida apa twn, hhhhhhhhhhhh mazafwanta team king tukalinde tembo hhhh
Yani hapo bado sana yeye ndo atanyooka mbona naona mapovu yanawatoka na threads ndefu huku pointless tupu kumbe tuzo za KTMA zinawanyima raha eeeh. Time ni mwalimu mzuri sana.
Teh teh ni akili za ki division five zisizo kubali kupongezwa eti kisa ushabiki teh teh yani hapo ni midume mzima na baadhi ya k kutokujielewa. Sometimes kuficha upumbavu kwa siku moja moja .Akina zari hahahaaaaaa watambireeee....
Walivyokuwa wanajipendekeza vote for daimond kuweni wazalendo ina maana kwenye ushindi hamna uzalendooooo.....? Urereeeeeee ata ivyo ni katuzo cha kukata mauno hivyo wanajua kabisa hastahili pongezi.
Yani hapo bado sana yeye ndo atanyooka mbona naona mapovu yanawatoka na threads ndefu huku pointless tupu kumbe tuzo za KTMA zinawanyima raha eeeh. Time ni mwalimu mzuri sana.
Wewe nawe tutolee hashuo lako hapa kujidai unajua kwa kuja kwa mlango mwingine. Awe na stress hasiwe nazo hazikuhusu. Ana haki ya kufanya alisikialo nyie na wasengerema wengine mukome kumshambulia mwenzenu. Who is chai jaba by the way. Comments zenu ndo mnaziona za akili mngekua basi hata great thinkers.Get a life haters.Kumbe lugha ndio tatizo kwako ukibadilishiwa kidogo unakuwa miguu juu maana unacho kitolea mbovu juu ya tuzo alio pata mondi hujui kama ni category sawa na hiyo alio pata huyo mtetea tembo na nyati japo KTMA ipo kimaandaz sana, unajua unapo kuwa una jibu kila hoja humu some time unasahau nn unafanya mpaka unajikosoa mwenyewe na sijui kwann upo wewe tu au ndo kukosa kaz za kufanya na kuwa na stress za u jobless. Stop prising matters in over night situation ingia bafuni jimwagie maji labda unaweza kuwa na ufikilivu chanya juu ya yanayo kuzunguka.
Mbulularaz hawa hawana jipya ati hawa eti wamekuja kuringishia tuzo ya kukata viuno ka snura na shilole. Teh teh kiba will always be in our hearts.dada Diva Beyonce achana nao hao unajua hiyo video ni ya lini toka mdogomdogo inatoka au hebu uliza huyo akwambie ni ya lini???
leo ndo nimeamini domo anatabia za kike haki ya mungu mwanaume kujibizana na mafumbo kama taarabuMbulularaz hawa hawana jipya ati hawa eti wamekuja kuringishia tuzo ya kukata viuno ka snura na shilole. Teh teh kiba will always be in our hearts.
Mbulularaz hawa hawana jipya ati hawa eti wamekuja kuringishia tuzo ya kukata viuno ka snura na shilole. Teh teh kiba will always be in our hearts.
Teh teh ni akili za ki division five zisizo kubali kupongezwa eti kisa ushabiki teh teh yani hapo ni midume mzima na baadhi ya k kutokujielewa. Sometimes kuficha upumbavu kwa siku moja moja .
Tuzo za Jana angekosa Yemi ningesikitika sana aisee.
Poor mentality tu waliyo nayo na kujielewa. Wao wamezoea negativity Mpaka basi na uadui ka vitani. Hahaaaa number kwenye timu kabisa ya waswahili Swahili hvo aisee with poor reason and argument. Over my dead body aisee.Hahahaaaaa acha tuu mtaa wa pili ukilogwa tuu ukawasifu huna bahati.
Wanahisi unaomba namba kwenye timu yao...