Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Muwe mnakuja na I'd zilizoeleka humu loh! Hamjiamini na mkata kiuno wenu teh teh teh

Wewe waache tuwanyooshe na hizo hizo ID zao mpya.
Kwani hujui mziki wetu ulivyo mnene? Hadi wabadili id ndio wajaribu kuucheza.
 
Sawa mamitoo tusukie kitu hicho.
"Kama ni maji ya blue light sema nini unataka...
nikugeuze princes sema nini unataka"
Mamy nitaikuta keshooo

"Unavyobilinga bayoyo hivyo mi ndo nataka taka taka..."
Uwiiiiiii huu wimbo ulivyo mtamu na ile sauti ya King Kiba ndio ananitia wazimu kabisaaa...

Usijali ma, utaikuta tu inshaallah kikubwa uzima.
 
Wewe waache tuwanyooshe na hizo hizo ID zao mpya.
Kwani hujui mziki wetu ulivyo mnene? Hadi wabadili id ndio wajaribu kuucheza.
Ujinga ni mzigo aisee. Mtu wao kapata tuzo baada waende kwenye Uzi wao wanahanhaika huku. Wanaleta utoto wa insta huku. Na bado wata create I'd Mpaka mia.
 
Chibu anatisha sana...

Kaninyooshea wakina mwafulani mpaka nimependa..

Le kimbungaz

Maskin yani mnajitekenya na kucheka wenyewe hahhhahaha!!! Nusu mwaka huu, tuzo tatu tu, mwaka jana mlipata ngapi vile???? Hahaha
 
Ujinga ni mzigo aisee. Mtu wao kapata tuzo baada waende kwenye Uzi wao wanahanhaika huku. Wanaleta utoto wa insta huku. Na bado wata create I'd Mpaka mia.

Tatizo hawajiamini halaf wanatulaum wanasema tunamfananisha kiba na domo. Naamin wao ndio wanaofanya hivyo mana badala ya kusherehekea ushindi wa kunengulia wanaume wenzao viuno, wako busy na kiba na jokate. Shame.
 
Nimeshakuja pwilo. ..wapuuzi kama hawa wanaojidai kujitoa fahamu nawapenda sana.
Mimi natoa yangu ya moyoni halafu yeye anaingilia kati....
Kalilia wembe, ngoja nimkate vizuri.

Inaonekana niko moyoni kwake kila wakati ndio maana kashindwa kujizuia akanitafuta.
nifah kubishana nao hao ni kupoteza energy tu hawaelewi na hawataki kuelewa 1.(collabo) et kiba hawezi kutoa collabo sasa joketi kaweza kutoa na ice prince wa nigeria nyimbo yake ya leoleo au shetta dimpozi kiba anashindwaje 2.(video) et dai anatoa video nzuri kwa nn hajakuwa nomineted au kuchukua tuzo ya video huko mtv 3.kiba hafanyi shoo mara kwa mara : sasa mo music barakah da prince wapate show kiba ashindwe is it come

point:ali saleh kiba hashindani na daimond kimziki kutokana na hizo reason za juu ila team domo co waelewa kabisaaa

hasa suala la kumbeza kiba kwa collabo
 
Last edited by a moderator:
Ni mwendo wa kuwanyoosha tu

Maana hakuna namna nyingine tena hahahaha

NAwaonea huruma.sana aisee mbona kiba anawapelekesha sana, hahahaa mpaka mkakesha mkipiga kura mchezo, kiba aliwanyoosha ktma mpaka mkaamka na kuanza kupiga kura bila kupenda hahaahhaha. Big up king kiba kwa motivation unayowapa mashabiki kupigia kura wasanii wanapokuwa kwenye nominations
 
Tatizo hawajiamini halaf wanatulaum wanasema tunamfananisha kiba na domo. Naamin wao ndio wanaofanya hivyo mana badala ya kusherehekea ushindi wa kunengulia wanaume wenzao viuno, wako busy na kiba na jokate. Shame.

Hatuwezi kufananisha usingizi na kifo hata kidogo ni uchizi

Tupo hapa kama maripota kutoka Mtv na wasaaaaaaaafi baby, kuwafikia mahaters woote

MTANYOOKA TU
 
NAwaonea huruma.sana aisee mbona kiba anawapelekesha sana, hahahaa mpaka mkakesha mkipiga kura mchezo, kiba aliwanyoosha ktma mpaka mkaamka na kuanza kupiga kura bila kupenda hahaahhaha. Big up king kiba kwa motivation unayowapa mashabiki kupigia kura wasanii wanapokuwa kwenye nominations

Umeona kifesi alivyosema leo instagram? Aisee leo ndio nimejua kama domo na timu zake waliumia kiasi gani kutokana na zile tuzo za KTMA.
Anadai mwezi mzima hawana raha kila wakiingia insta ni mwendo wa kukashifiwa na kutiwa aibu tu.
 
mbona bado ... mtanyooka tu.. D ni nyoooko ... wapinzani wake in kama kuku walio ndani ya banda , hata kuku wapige kelele vp hazitasaidia yaani D ana kisu ndo mchinjaji akiamua anytime anachinja yeyote
 
Yani kama hamkuhama wakat kiba alipowapelekesha na tuzo sita, hii tuzo ya kunengulia wanaume wengine viuno baaaado sana. Kajipangeni

Je wajua ile tuzo ya live act Ina thamani gani 😀 izo ktma zenu zipange zote bado haijafika thaman ya ile tuzo #eiddmubarack
 
nifah kubishana nao hao ni kupoteza energy tu hawaelewi na hawataki kuelewa 1.(collabo) et kiba hawezi kutoa collabo sasa joketi kaweza kutoa na ice prince wa nigeria nyimbo yake ya leoleo au shetta dimpozi kiba anashindwaje 2.(video) et dai anatoa video nzuri kwa nn hajakuwa nomineted au kuchukua tuzo ya video huko mtv 3.kiba hafanyi shoo mara kwa mara : sasa mo music barakah da prince wapate show kiba ashindwe is it come

point:ali saleh kiba hashindani na daimond kimziki kutokana na hizo reason za juu ila team domo co waelewa kabisaaa

hasa suala la kumbeza kiba kwa collabo

Mkuu nikusaidie

Jokate alikuwa anafanya kazi chanñel o na Iceprince kipindi kimoja

Shetta kapigiwa pande na diamond

Dimpoz kapigiwa pande na AY

Lakini ukae ukijuwa collaboration sio kila kitu, coz J martins, Kcee, na Iceprince hujawaona wote mtv

Afu unajuwa mo music na barakah da prince wanalipwa kiasi gani kwa show??? ndio ufananisha na kiba???

Mond ni non stop katoka kufanyama wandaaaz tar 24, tuna show kilimanjaro kiingilio minimum 30000 hadi 200000 huo ndio ubabe sasa

Niwakumbushe Kesho nominations za Afrimma zinatoka, kwa hili naweka uteam pembeni i expect kumuona kiba kwenye best East Africa category hata nomination tu itamtoshà

STAY TUNED
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom