Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ki ukweli sisi team "king kiba" ndani kabisa ya mioyo yetu tunampenda Dangote na kazi yake nzuri kabisa aifanyayo ila ndio vile tena kuishi bila Unafki hatuwezi!!
Na Jokate ameonyesha hasa tulivyo!!

Tutanyooka tu mwaka huu!!

Mnafiki ni wewe unayejifanya kondoo huku ukiwa chui, na wewe si msemaji wa mashabiki wa kiba. Hatuna unafiki kama wewe, na tunampa pongezi domo kwa kupata tuzo ya kukatia wanaume wenzie viuno jukwaaani hahahahahahaha hakuna cha video bora, wala nyimbo bora hahahahhaha. Full kukata mauno. King kiba for life
 
Mnafiki ni wewe unayejifanya kondoo huku ukiwa chui, na wewe si msemaji wa mashabiki wa kiba. Hatuna unafiki kama wewe, na tunampa pongezi domo kwa kupata tuzo ya kukatia wanaume wenzie viuno jukwaaani hahahahahahaha hakuna cha video bora, wala nyimbo bora hahahahhaha. Full kukata mauno. King kiba for life

Woyoooooooooo.
mstahereshaji boraaaaa. Mnenguaji bora ni mr icon.
Ila mwanamuziki bora ni DAVIDO
 
hahaa haya naona umekuja kuleta fujo hayo mambo yameshaisha tayari lets focus tomorrow

SASA TUKIZUNGUMZIA TOMMOROW TUNAMUONA CHIBU TU

umemsikia davido kwenye video aliyopost diamond??
NEW FUCKING DAVIDO & DIAMOND WILL BE DROPPING NEXT MONTH!!!!!

Bye bigidi amshapopo kwa fasi ya airport nidijeibiwa simu

oyooooooooooooooooooo
 
nifah come this way as soon as possible

Nimeshakuja pwilo. ..wapuuzi kama hawa wanaojidai kujitoa fahamu nawapenda sana.
Mimi natoa yangu ya moyoni halafu yeye anaingilia kati....
Kalilia wembe, ngoja nimkate vizuri.

Inaonekana niko moyoni kwake kila wakati ndio maana kashindwa kujizuia akanitafuta.
 
Last edited by a moderator:
miss youuuuu

Malimao yamekupa nguvu kidogo umerudi

LE MAFURIKOZZZZZ hahaha wakina jekate wanalia huko instagram...

Mi nishanyoooka tokea 2010 nikasema huyu hafaiiiii

leo unafiki wako ndo unaonekana kabisa. kizuri ni kwamba tumekuzoea humu.endelea kunyooshwa tu
 
Back
Top Bottom