Tuzo zimeisha mzee. AMKA. Davido ni best male
Tuzo haziishagi kwetu kuna zingne za international tunagombania cjui ni state huko mpigieni davido tuu we ain't cre.. zimeisha kwenu za mlima na kwa mpango ule wa video ya cheketua kupigwa kapuni trace mtv hahah hata next year mbona mtaisoma number. No international mtabaki local adi mtubu kwa chibu
Asante mamy...nilisimamia shoo adi wakakimbia wote wakaniacha mwenyewe kwenye uzi wao wa kutulambisha ndimu.
Alafu unaonaje mamy nilivyowapa mapigo ya kisaikolojia taraatibu bila matusi yaani no to ban.
Nikawayumbisha wakaanza oooh sijui nini wakaanza kuleta personal issue ili niumie lakini wapiiii fimbo zipo pale pale...
Akaja mwingine oooh si unaona wenzako hawakusaport sijui nini bla blaaa hahahaaaa nikashangaa sana maana nipo mmoja nimewatoa jasho ivyo vipi tungekuwa wote....
Nikawaambia tulieni ili ni jeshi la mtu mmoja sio nyie mkichambwa mnaitana through pm sijui mnakuja wote kwa pamoja sasa mimi siiti mtu mimi ndio kiranja wa zamu leo nipo nalinda tembo hahahaaaaa
Next month collabo mpya davido × diamond be ready
Kutoka chini ya uvungu wa moyo wangu nimekukubali cute b wetu.
Hapo kwa personal attack nilishangaa sana almanusra niingilie ila nikasubiri majibu yako ambayo yaliusuuza moyo wangu hadi nikatulia tu.
Nashukuru sasa umeshawajua mbinu yao ya kuingiza personal issues kama wakiona wanashindwa,na kizuri zaidi umekua gwiji sasa maana no matusi hadi wanakaa wenyewe.
Huo ndio mpango mzima, mambo ya ban kwetu yawe historia sasa.
Hahahaaaaa, kiranja wa zamu umelinda tembo kwa ustadi wa hali ya juu hadi majangili yote yamenywea.
see it Diva Beyonce baadae dada mi naenda insta cwez bishana na wajinga wasiojielewa team domo
Diva Beyonce mumie nina ubuyu wa moto ngoja nikakutumie pm.
Tuzo haziishagi kwetu kuna zingne za international tunagombania cjui ni state huko mpigieni davido tuu we ain't cre.. zimeisha kwenu za mlima na kwa mpango ule wa video ya cheketua kupigwa kapuni trace mtv hahah hata next year mbona mtaisoma number. No international mtabaki local adi mtubu kwa chibu
Nimesoma between the lines,
Nimesikitishwa sana.Sijawahi kuguswa na post zenu,leo umenisononesha! Uminisikitisha sana.Ivi kweli ndio mawazo yako?
Unamwombea mwenzio asiendelee, unamwombea mwenzio abaki chini tu?
Unasema tutaisoma number? Kwani hivi ni vita? Sio wewe uliekua unasema unanatamani wanamziki wote wapande juu?
Kweli unasema mpaka tutubu kwa Chibu?
1.Je Chibu ni nani? Ni Mungu au baba wa mafanikio yote?
2.Una maanisha kung'ara na kupanda ni haki yake pekee??
3.Anatawala Fikra za kila mtu??
Napenda mziki wa domo ila he is not my favourite.Namwomba Mungu akuone na kauli yako, yeye pekee anapaswa kutubiwa
Kama Mungu aishivyo na anayasikia maombi ya waja wake, Inshallah atawakumbuka na wanyonge.!
Amin.
pwilo huyo Nuhu na Shishi achana nao ni machizi usiwaamini kihivyo maana si ajabu ukawa ndio wimbo wao mpya wanatafuta kick tu.
Habari njema ni kwamba mimi na mdogo wangu Abou Saydou tupo na King wetu Kiba kuna habari njema zinakuja subirini tukimaliza nitazileta zote hapa kwa marefu na mapana.
Bila kusahau King wetu anatujua wote huku (Kiba fans) na anatukubali saaaana.
Nimefurahije leo? Ndio maana tuko busy meeen....
Asili iko damuni hivi hyo timu humshauri nini tale mwenyewe ndo kubwa....... .Khaaaa! Kweli mjaa asili haachi asili (uswahili).Ngoja niende insta mie nikajisomee micomments nicheke.
Sasa hapo si ujumbe wako kwa mashabiki wote kuanzia kina Wema walivomtosa Ktma,tuzo za watu. Hahaaaa ujumbe muache wivu jamani yeye kashinda. Ana vituko vya kijinga sana sana. Kuna wa kuonea wivu sasa Davido asemeje kabarikiwa kila kitu na hana huo ujinga.Mamamamamaaaaa yaani namfikiria huyu domo sielew.
Ujue mimi nilijua jokate kafanya hivyo after tuzo kumbe ni mudaa...
Huyu domo ni mjinga sana ndo wale wanaume ambao ukidate nao mkiachana kama ana picha zako anaanza kuzisambaza.
Nilijua kukosa elimu sio kushindwa kuishi na watu ila kwa hili jokate na wengine wajifunze