Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,292
Uwiiiiiii mamito niletee huo ubuyu basiDiva Beyonce mumie nina ubuyu wa moto ngoja nikakutumie pm.
Last edited by a moderator:
Uwiiiiiii mamito niletee huo ubuyu basiDiva Beyonce mumie nina ubuyu wa moto ngoja nikakutumie pm.
Uwiiiiiii mamito niletee huo ubuyu basi
Hawa wanaume suruali wanaopenda kuzalilisha wanawake sijui wanajionaga wamefika sana, kwanini hyo video hawakutoa siku zote iwe Leo. Do go bado ana hasira za KTMA na hivi joketi ndo kazoeana na kiba basi ikawa shida.Haya sasa bikira wa kisukuma naye kajibu kuhusu ile video ya Jojo akiselebuka kitorondo.
Kumbe wazee wa kukurupuka wamecopy kutoka kwa boss wao domo? Maana domo kakurupuka hadi aibu.
Hii screen shot niliinyaka alivyoipost...thou baadae kidogo kaedit kumshauri domo.
Hawa wanaume suruali wanaopenda kuzalilisha wanawake sijui wanajionaga wamefika sana, kwanini hyo video hawakutoa siku zote iwe Leo. Do go bado ana hasira za KTMA na hivi joketi ndo kazoeana na kiba basi ikawa shida.
Hata huyo bikra wa kisukuma ni mpuuzi sana. Joketi ndo ajifunze na yeye.
habari #kingkiba fans
sawa abou, kuna mpya huko maana nilipotea kidogo
Ss mimi na ww nani boya? Ushawahi kuniona kwenye huo Uzi? Kamalizie kwanza sekondari mkuu...
mtu mwenyewe wa kuja JF mboyoyo miiingi. Siko kwenye hizo mambo zenu sema unachojisikia. I'm out
Hahaha eti team Kiba hamsomeki kama Mgombea wa Ukawa...watu wana maneno aisee!!
Msinishambulie sipo team yeyote ile. Be blessed
Unajua ww jamaa hujielewi sana
Kwani kiba alishiriki kwenye tuzo za mtv ?
Mpaka useme dai katufanya kitu kibaya
Tangu lini wanukao mikojo waka date watu wanaoeleweka bana....sasa wewe menyewe bado kujiswafisha hujui ...eti wataka jentomani? hahahah
Eti na wewe wadhani una hadhi ya kuwa na dangote....kiruuuuuuuuuuuuuuuuuuu
pwilo huyo Nuhu na Shishi achana nao ni machizi usiwaamini kihivyo maana si ajabu ukawa ndio wimbo wao mpya wanatafuta kick tu.
Habari njema ni kwamba mimi na mdogo wangu Abou Saydou tupo na King wetu Kiba kuna habari njema zinakuja subirini tukimaliza nitazileta zote hapa kwa marefu na mapana.
Bila kusahau King wetu anatujua wote huku (Kiba fans) na anatukubali saaaana.
Nimefurahije leo? Ndio maana tuko busy meeen....
Ki ukweli sisi team "king kiba" ndani kabisa ya mioyo yetu tunampenda Dangote na kazi yake nzuri kabisa aifanyayo ila ndio vile tena kuishi bila Unafki hatuwezi!!
Na Jokate ameonyesha hasa tulivyo!!
Tutanyooka tu mwaka huu!!