danhosnoop
JF-Expert Member
- Oct 21, 2014
- 2,721
- 10,528
ahaaa sina raha aisee wametuulia thread yetu ! king yupo mbugani analinda tembo huko
Hahahahahahaaa, hii kali sanaaaa...
ahaaa sina raha aisee wametuulia thread yetu ! king yupo mbugani analinda tembo huko
Jaribu kutumia tapatalk utaipenda jf zaidi..
Hatimaye balozi akiri kua hamuwezi mondi...
ni kama app inayo saidia kuingia kwenye forums tofauti tofauti...ukienda kwenye google play utaikuta ni nzuri sana kuingilia Jf nimeipenda sana ni nzuri sana! inaitwa " tapatalk "Ndo nini hiyo?
Nisikia tu
ni kama app inayo saidia kuingia kwenye forums tofauti tofauti...ukienda kwenye google play utaikuta ni nzuri sana kuingilia Jf nimeipenda sana ni nzuri sana! inaitwa " tapatalk "
Hatimaye balozi akiri kua hamuwezi mondi...
Vigazeti uchwara vya kufungia maandazi ni suitable kwa mazuzu kama wewe na mabeki tatu kitaa.
Hatimaye balozi akiri kua hamuwezi mondi...
Daah m kwetu kjjn huku hata umeme bado hujafka... Hv cheketua bado inachezwa trace tv eeeh hv ishaingia ktk top ten mana daah naipenda sana heheh
what about this one???
Sijaona diamond akitajwa hapo. Hilo balaa la kiba labda kwa mtu kama best naso...
sawa na hii je ni kweli??
😀😀 jamaa na mdomo wake huo huo kashakua mtu maarufu ndani na nje ya nchi, na anawakilisha vyema taifa letu na east africa kwa ujumla. Ni wazi kua huo mdomo ulikua ni tatizo kabla hajakamata pesa na kupata mafanikio aliyopata, lakini kwa sasa mafanikio yake na pesa yanafunika kila kitu ukiwamo huo mdomo....
Hahaaaaaa teh teh tehsawa na hii je ni kweli??
Wadau wote wa Ally Kiba fan's natoa offer kwa mtu wenu niwe Director wake ambaye siitaji anilipe, nikiwa na maana hii hapa;
Sijapata kushangaa video 'cheketua' ina quality nzuri lkn haina viwango kwa anachoimba na kuonekana nadhani jamaa aliyemwambia afanye vile ni fan's wa mond that so y kamdanganya ili kuzidi kumshusha kwa viwango.
Poleni sana fan's kiba.
haaa na AY kwani sio mtz mbona amejuana na hao kina godfaza kabla ya huyo mr misifa sema jamaa ni misifa ila AY na kiba wameitambulisha tz kabla yake huko nyuma mpaka kiroboto katutangaza vizuri tu