Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ay ni wazi kua kwa kiasi kikubwa aliandaa misingi na kufungua njia ya mziki wa bongo kuvuka mipaka, na ataendelea kuheshimika kwa hilo, hata diamond mwenyewe anatambua hilo(refer post ya mondi instagram siku ya kukumbuka kuzaliwa kwa ay)...lakini kwa kiba hapana. Kiba alikua na nafasi nzuri sana ya kutusua kipindi kile, mpaka akapata project na kina r kelly, lakini akabweteka na hakua na njaa ya mafanikio, matokeo yake kila siku anabaki kua kama underground....

mkuu umeangalia lakini ule wimbo wa one8 (hands across the world) kila msanii kashika bendera ya nchi yake akiwemo kiba wa kwanza kuimba go n see it!
 

Attachments

  • 1436886507373.jpg
    1436886507373.jpg
    55 KB · Views: 78
mkuu umeangalia lakini ule wimbo wa one8 (hands across the world) kila msanii kashika bendera ya nchi yake akiwemo kiba wa kwanza kuimba go n see it!

Sikatai unachosema mkuu, ila angalia kilichofuata kwa kiba baada ya ile project, ambayo kwa mtazamo wangu ilikua ni njia ya wazi kwa kiba kutusua kimataifa na kutorudi nyuma tena...hapo ndo nnapoona kua kiba hakua na njaa kivile ya mafanikio, na ni kama alibweteka flani hivi. Angalia diamond alipofkia hatua ya kupiga collabo na davido yuko level gani sahivi. Jamaa alipopata mwanya hakufanya makosa, mpaka sasa kafika alopofika. Hiyo ndo njaa ya mafanikio nnayoisema...
 
Sikatai unachosema mkuu, ila angalia kilichofuata kwa kiba baada ya ile project, ambayo kwa mtazamo wangu ilikua ni njia ya wazi kwa kiba kutusua kimataifa na kutorudi nyuma tena...hapo ndo nnapoona kua kiba hakua na njaa kivile ya mafanikio, na ni kama alibweteka flani hivi. Angalia diamond alipofkia hatua ya kupiga collabo na davido yuko level gani sahivi. Jamaa alipopata mwanya hakufanya makosa, mpaka sasa kafika alopofika. Hiyo ndo njaa ya mafanikio nnayoisema...

sawa mkuu nimekupata ila sio kwamba kiba alibwetaka hapana coz alikuwa na mikataba yao (one8 project n rockstar 4000 present ) ndo mana kuna label yao xo ni mipango tu ambayo kiba hakutaka kuweka wazi kwa nn alifanya hivyo 3 years hiatus from music ila tutafika tu panapotakiwa !
 
sawa mkuu nimekupata ila sio kwamba kiba alibwetaka hapana coz alikuwa na mikataba yao (one8 project n rockstar 4000 present ) ndo mana kuna label yao xo ni mipango tu ambayo kiba hakutaka kuweka wazi kwa nn alifanya hivyo 3 years hiatus from music ila tutafika tu panapotakiwa !

Kiba ni msanii mzuri(ingawa sio mbunifu kivilee), na itakua vyema akifika panapostahili kwa faida ya mziki wa bongo, na east africa kwa ujumla, ingawa bado namuona mzembe kwa kushindwa kukomalia mwanya aliopata kipindi kile. Diamond alipopata tu nafasi ya kupiga collabo na mtu mzima davido safari yake kimataifa ikaanza rasmi, na mpaka sasa anawakilisha vyema...
 
mkuu umeangalia lakini ule wimbo wa one8 (hands across the world) kila msanii kashika bendera ya nchi yake akiwemo kiba wa kwanza kuimba go n see it!

Mkuu hio sio ishu ni kitu kidogo saana.. Ndio maana mtv hawamfahamu kiba mpaka leo, trace ndio kwanza wameanza kumjua na chekecha last month... Watu wanashindwa kutofautisha kuiwakilisha nchi, kukuza sanaa na kufanya project na msanii wa kimataifa...

Huyo Ay unaomzungumzia ndio baba aliotutobolea huko, (na jide japo si kama ay)... ila kwa kibakuli hakuna kitu hapo huwezi zungumzia misic life kwa wimbo 1, ambao si wako, haujakupeleka popote, na ni project tu(airtel) wala sio collaboration kusema hata impe tuzo... Mtaishia kuota...

KAPIGENI KURAAAAAA KWA CHIBU DANGOTE LEO NI SIKU YA MWISHO AMMA NINI.. AFU IJUMAA TUSUBIRI ILE COLLABLE YETU ALIYOSHIRIKISHWA CHIBU
 
Mkuu hio sio ishu ni kitu kidogo saana.. Ndio maana mtv hawamfahamu kiba mpaka leo, trace ndio kwanza wameanza kumjua na chekecha last month... Watu wanashindwa kutofautisha kuiwakilisha nchi, kukuza sanaa na kufanya project na msanii wa kimataifa...

Huyo Ay unaomzungumzia ndio baba aliotutobolea huko, (na jide japo si kama ay)... ila kwa kibakuli hakuna kitu hapo huwezi zungumzia misic life kwa wimbo 1, ambao si wako, haujakupeleka popote, na ni project tu(airtel) wala sio collaboration kusema hata impe tuzo... Mtaishia kuota...

KAPIGENI KURAAAAAA KWA CHIBU DANGOTE LEO NI SIKU YA MWISHO AMMA NINI.. AFU IJUMAA TUSUBIRI ILE COLLABLE YETU ALIYOSHIRIKISHWA CHIBU

mkuu mi nakuaminia kumbe una ushabiki maandazi aliyekwambia kufanya collabo na wanigeria ndo kujulika ni nani hivi shetta dimpozi c wamefanya mbona hawasongi mbele kama domo promo pia inahitajika dai ana promo nyingu sana za mziki !
 
Kiba ni msanii mzuri(ingawa sio mbunifu kivilee), na itakua vyema akifika panapostahili kwa faida ya mziki wa bongo, na east africa kwa ujumla, ingawa bado namuona mzembe kwa kushindwa kukomalia mwanya aliopata kipindi kile. Diamond alipopata tu nafasi ya kupiga collabo na mtu mzima davido safari yake kimataifa ikaanza rasmi, na mpaka sasa anawakilisha vyema...

oyaaa chibu hajaanza tu na davido...

2010 kwa single tu ya nenda kamwambie alikuwa nominated mtv mama kama best new act

2012 alianza kutanua wigo kwa kuperform big brother (sehemu ambayo hadi leo kibakuli hawawezi kumuita coz hata hawamjui - na wanabisha kisa tu ya project ya airtel hahahaha )

Collable yake ya kwanza kimataifa ni mwimbo alioshirikishwa na Iyanya - nakupenda ambapo audio ilifanyika 2013 na kutoka last month

2013 alivyotoa video ya my number one (kabla ya aliyomshirikisha davido) ilikuwa video yake ya kwanza kuchezwa vituo vyote vikubwa vya burudani afrika na kukamata charts tofauti.... NDIO MAANA KWA CHANNEL O AWARDS HAKUWA NOMINATED KUPITIA REMIX, ILIKUWA ALIYOIMBA PEKEE NA TUKABEBA TUZO 3 BILA HUYO DAVIDO

JAPO KWA AFRIMA TULIPATIA REMIX, NA 2 NOMINATIONS MTV REMIX......

kibakuli bado saana, afu wakishindwa hoja utasikia aaaaah king hafanyi mziki kwa mashindano ni kipaji tu hahahahaha au wanakimbilia kwa AY

2013
 
mkuu mi nakuaminia kumbe una ushabiki maandazi aliyekwambia kufanya collabo na wanigeria ndo kujulika ni nani hivi shetta dimpozi c wamefanya mbona hawasongi mbele kama domo promo pia inahitajika dai ana promo nyingu sana za mziki !

Na promota wake mkuu JK ndio anaondoka hivyooooo.
 
mkuu mi nakuaminia kumbe una ushabiki maandazi aliyekwambia kufanya collabo na wanigeria ndo kujulika ni nani hivi shetta dimpozi c wamefanya mbona hawasongi mbele kama domo promo pia inahitajika dai ana promo nyingu sana za mziki !

Mkuu unapozungumzia kimataifa kitu kizuri ni kizuri tu, promo inakusaidia tu kuwateka zaidi mashabiki... Kwa sababu hata hao wanigeria wanaoshirikishwa na wakina shette hawafanyi vizuri kimataifa kama Diamond..... International collable inakuongezea tu wigo wa mashabiki nothing else, ila kama kazi nzuri ni nzuri tu lazima itusue kama my number one origina kupata tuzo 3 channel o, au mdogo mdogo kupata IRAWAMA marekani kuishinda aye wakati wenzetu wana promo zaid
 
Na promota wake mkuu JK ndio anaondoka hivyooooo.

Hilo halina tatizo lolote hapo, JK ni mjanja sana anaconneçtions na watu muhimu haihitaji kuendelea kuwa madarakani kumsaidia mpeperusha bendera...

Mwaka jana alimpa connection diamond kwa manager wa trey songs ambapo mkwaju wataenda kushoot marekani mwezi wa 9.. Ukiachana na hili hata ay mbona alimpa connactiona kwa godafather na davido... na si connection pekee zinazomsaidia chibu ni kuichukulia kazi seriously na kujituma hivo tu..
 
oyaaa chibu hajaanza tu na davido...
Mkuu sijasema mondi alikua hajulikani kabla ya kupiga collabo na davido, nnachosema ni kua major breakthrough ilikua ni baada ya lile collabo...angalia maneno yake kwa ay hapa chini
 
Mkuu unapozungumzia kimataifa kitu kizuri ni kizuri tu, promo inakusaidia tu kuwateka zaidi mashabiki... Kwa sababu hata hao wanigeria wanaoshirikishwa na wakina shette hawafanyi vizuri kimataifa kama Diamond..... International collable inakuongezea tu wigo wa mashabiki nothing else, ila kama kazi nzuri ni nzuri tu lazima itusue kama my number one origina kupata tuzo 3 channel o, au mdogo mdogo kupata IRAWAMA marekani kuishinda aye wakati wenzetu wana promo zaid

we jamaaa una ushabiki maandazi sana kwa hiyo j martins ni msanii mdogo au kcee sasa mi nakwambia hayo mambo ya collabo ndo yanawapoteza wasanii wengi kwenye soko la ndani kama AY dbanj
halafu hivi kama shetta na dimpoz wamefanya collabo na wanigeria kiba anashindwaje???
 
Hilo halina tatizo lolote hapo, JK ni mjanja sana anaconneçtions na watu muhimu haihitaji kuendelea kuwa madarakani kumsaidia mpeperusha bendera...

Mwaka jana alimpa connection diamond kwa manager wa trey songs ambapo mkwaju wataenda kushoot marekani mwezi wa 9.. Ukiachana na hili hata ay mbona alimpa connactiona kwa godafather na davido... na si connection pekee zinazomsaidia chibu ni kuichukulia kazi seriously na kujituma hivo tu..

acha uongo wako wakitoto ww AY katusua mwenyewe labda domo ndo kasaidiwa na raisi c anapenda sifa na kama ikulu hta idrissa wema wanafanya kama geto ila dai akienda duu dunia nzima itajua
 

Attachments

  • 1436893211609.jpg
    1436893211609.jpg
    21.5 KB · Views: 88
nisalimie kina nifah ramadhani inaisha hii mwambie tumemmic saana Diva Beyonce ngoja tusubiri tuzo za mtv cjui tutakimbia wapi???,
Salamu kwa bibie nifah zimefika kabisa worry out.Teh teh MTV wa intaneshno recognized na wa wish all the best you tujiandae kudorishiwa au kunywa juice ya ukwaju.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom