Aaaaaahhhh akiyananiiii kiba anauaaaaaaaa.
Yaan mwanaume akiniimbia huu wimbo ata kama hana ela nitajikuta namwachia free p.
Th Name niimbie sasa
Penzi alinipa mama nami leo nakupatia tena sitaki lawama penzi kiapo hakuna-
Mi ntakupenda sana mpaka wivu utakimbia nami ntalia na wewe mimi kwako nyanga nyanga nyanga-
Nini unataka mi nina miujiza nini unataka-
Ama ni maji ya bluelight sema nini unataka-
Nikugeuze Princess sema nini unataka
Unavyo biringa bayondo hivyo mi ndo nataka taka sana natakaa
Nini unataka mi nina miujiza nini unataka-
Nikugeuze Princess sema nini unataka
Siamini yaani siamini yamenipanda kichwani mahaba ya kuota sinitimi yamenikoleza mwilini
Siamini ooh siamini yamenipanda kichwani mahaba ya kuota sinitimi yamenikoleza mwilini
Aya chekecha
Chekecha (x11)
Aya chekesha cheketua cheke chekecha cheketua -cheke chekesha cheketua cheke chekesha cheketua cheke
Yeah uuh cheke chekecha -aah heyiiii-