Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,495
- 35,288
Niambie mkuu...kizuri lakini
hii video imenivutia kwa vitu vingi sana. kwanza lile dance, pili kingkiba yupo simple sana kwenye mavazi amependeza sana. tatu wale mabinti ni noma
Niambie mkuu...kizuri lakini
Kafanyajeeeeeeeeee?
hii video imenivutia kwa vitu vingi sana. kwanza lile dance, pili kingkiba yupo simple sana kwenye mavazi amependeza sana. tatu wale mabinti ni noma
The difference between genius and stupidity is: genius has its limits- Albert Einstein.
Hahahaaaa sio kila jukwaa tuu ni kila nyuzii hahahahqaaa
Kweli kabisa mkuu. Ujue kiba ata kwenye maisha yake ya kawaida anavaaga simple tuu na anatokelezea.
Wale mabint ni wepesi sana na wapo kiafrika zaidi.
Kwa kweli video ipo poa si umeona haters wameshatulia?
Kweli kabisa mkuu. Ujue kiba ata kwenye maisha yake ya kawaida anavaaga simple tuu na anatokelezea.
Wale mabint ni wepesi sana na wapo kiafrika zaidi.
Kwa kweli video ipo poa si umeona haters wameshatulia?
Mkuu tumefanyajee? Mbona mimi saivi nina adabu?
Yaan umetaja wanaume wote ke mimi mwenyew aya bhana.
we cut b ww hujipendi sana nimekukuta hukooo na wenzako mnajibizana na team domo wale ni mburulaz waacheni peterchoka unanitaka Shardcole
unaambiwaje kiba hta kumkuta kapiga picha kwenye gari lake ni nadra saanaa hapendi show off
Hapana mkuu mimi sijajibizana na team ndomo leo mkuu wangu.
Ila sio mbaya mwizi ni mwizi tuu ata asipoiba atasingiziwa
Pole sn huyu cute b ni kisiki cha mpingo muache usijekufa siku sio zako
Asante kwa kunipa maisha Dada
Akuuu kwa mdogo wangu lazima nikuzibie, usijenibemendea mdogo, mdogo mwenyewe ndio huyo tu wa pekee, abou mdogo wangu usidanganyike!