Lumbi9
JF-Expert Member
- Oct 12, 2014
- 8,738
- 12,424
Ata ivyo mkuu usishangae.. unazani watakaa waseme ni nzuri ata kama wataionaa?
mimi wala hawanishtui, hata ilipotoka mwana walisema hivi hivi
Ata ivyo mkuu usishangae.. unazani watakaa waseme ni nzuri ata kama wataionaa?
mimi wala hawanishtui, hata ilipotoka mwana walisema hivi hivi
Lazma wakandie tuu.
Ila wataelewa tu
Mi nimeiona full via trace but mmmhhh the boy have to be more brave than than that!
Ongea Kiswahili ueleweke..
Uwiiii yaani kiba forever and for always yaan anaukosha moyooooo wanguu yaan daah
Ivi mkuu unapata notification kwenye browser? Mimi sipati popote yaan
bora wewe umeona
Hawayuuuuuuuuu, nipe habariiii, nini kinajiri humu ndani
CUTE_b +245708088885! Asap
Ao woote team moja wanakosoana
Ivi mkuu unapata notification kwenye browser? Mimi sipati popote yaan
Yaani huku habari ya mujini ni chekecha yaan watu mimacho imewatuka kama fundi cherehan hawaamini.
Kwa kweli kiba kafanya vyema.
Aiseee hata mimi sioni notification, vipi ushaona video mie bado ndio kwanzaaaa nimepata angalau kamuda ka kuchungulia humu
Nimeiona mamy akee ya ukweli kinoma.
Ujue hawa watu ni mbululaz coz walitaka dancer wa kiba sijui wavae sare kama waimba kwaya? Hahahaaaaa
Mamy na mimi ndo nimetoka kazini nimekaa apa nashangaa shangaa kwanza then nichukue usafir.
Video ipo nusu YouTube
jamani mie nakosa cha kuongea maana sijaiona bado, nina mzuka mpaka basi, vp ashaitupia utube?? Yaani nilitamani nitoroke kazini leo, duuuh!!