Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Kiba katuangusha,afanye kazi zake bila presha ya mashabiki au kwa nia ya kushindana,kama hii video haikutengenezwa bongo then kaenda nje kwa ajili ya hii video?
Kiba anatuangusha

Umeiona video ?
Au umeona ile iliyorekodiwa na tochi na mtu fulani then akaiweka YouTube ?
 
Woyoooooooooooooo
Mambo zenu jamani....
Eti kwani kuna nini mbona kila mahali chekecha cheketuaaa naisikiaa.
Kuna nini kwan?
KIba kimbiza wa kukurupuka haooooooo
 
Uwiiii yaani kiba forever and for always yaan anaukosha moyooooo wanguu yaan daah
 
Me nahisi tatizo watu walikuwa wameshajipangia maudhui ya video itakavyokuwa, na hili linatokana na video kuchelewa kutoka, tofauti na msanii anapotoa video kwanza then audio hapo huwez kujibumbia maudhui.... Alichofanya Ali kiba n kujaribu kushoot video km za wasauzi ambazo waga zinafanyiwa uswaz na vituko vinakuwa vingi, mfano zile video za UHURU..
 
Msijisumbue wanafiki jamani.
Yaani mimi nina mahaba kabisa na kiba yaani ata angeimba kwayaa yaan kwa kiba msijisumbueee.
Video imetuliaa.
Ivyoo yaan
 

Attachments

  • 1435578067702.jpg
    1435578067702.jpg
    21.2 KB · Views: 144
okey kuna mtu amenitag insta kwenye ac ya kiba, kwakweli kwa kuangalia tu ile clip video ni mbovu mnoo compared tu nusunusu au nobody but me.. Diku nyingine mnavyolalamika mjitahidi kutafuta nafasi kumchana ukweli, watu waliomzunguka inaonekana ni bogus plus anafanya vitu kimasikini show zenyewe kavu hapati za kutosha, bado analipwa pesa kidogo afu anapoteza pesa kufanya vituko vole???

Nimeongea haya sababu najuwa kiba anauwezo wa kutoa kitu bora kama wenzake joh, shetta, mavoko na si kwa utoto anaofanya bora video coz kuchezwa trace haitoshi, coz mwana ilichezwa mara moja kwa wiki ova mpaka unajiuliza walilazimishwa kupokea?? kumbe ni quality

Embu rudia ulichoandika alafu punguza mihemko mkuu!
 
Back
Top Bottom