Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

kuna mtu hampendagi ali kiba ila juhudi anazoifanya hapa kuitafuta hii chupa mpya inanishangaza...kazama mpaka webiste ya necta kulisaka chupa la mfalme...............mzungu angeweka record ya kusearch leo search ya chekecha ali kiba ingekuwa above 1 million kwa masaa haya machache
 
You tube bado bana watu wameshapagawa hahahhahah unajua ukifungua you tube unaweza kuja mwimbo wa cheketua ila ni wajanja tu wa mitandaon wamejiunganishia videos au madansa fulan wameamua kucheza kwa kutumia huo wimbo
 
kuna mtu hampendagi ali kiba ila juhudi anazoifanya hapa kuitafuta hii chupa mpya inanishangaza...kazama mpaka webiste ya necta kulisaka chupa la mfalme...............mzungu angeweka record ya kusearch leo search ya chekecha ali kiba ingekuwa above 1 million kwa masaa haya machache

Hahahaaaaa!! Mie si nilisema hii video inasubiriwa kuliko uchaguzi mkuu, Kiba aiweke mapema watu wasijezimia aisee
 
kuna mtu hampendagi ali kiba ila juhudi anazoifanya hapa kuitafuta hii chupa mpya inanishangaza...kazama mpaka webiste ya necta kulisaka chupa la mfalme...............mzungu angeweka record ya kusearch leo search ya chekecha ali kiba ingekuwa above 1 million kwa masaa haya machache

Jaman jaman watuwekee yani nimetoroka kazini ili tu niwahi exclusive hahhahahahha kiba utatuuua wenzio
 
Chekecha cheketuaa oyoooooo ngoma kali kinomaa
 

Attachments

  • 1435587430902.jpg
    1435587430902.jpg
    27.7 KB · Views: 85
kuna mtu hampendagi ali kiba ila juhudi anazoifanya hapa kuitafuta hii chupa mpya inanishangaza...kazama mpaka webiste ya necta kulisaka chupa la mfalme...............mzungu angeweka record ya kusearch leo search ya chekecha ali kiba ingekuwa above 1 million kwa masaa haya machache

kill it hadi nacte #arrogant kiba in coke studio season 3
 
Do you think hata iweje wangeisifia?? Wajikute tu, Kiba hana jema kwao mtoto wa watu
atoto achana nao hao ni wafuata mkumbu walinichekesha walivyoisifia "bumbum " et ni nyimbo nzuri we unaona ni akili hizo
 
Last edited by a moderator:
Hiyo video watu wengi hawajaiona hapa wanafuata mkumbo tu, wakiiona tutashuhudia nyuzi zisizo na idadi

mkuu hao watu ukitaka kujua ni mburulaz jana ommydimpoz alipost tangazo la video la kiba wakamtukana ila leo richmavoko katuma vote for domo kimyaa note:teamdomo ndio wanaoongoza kwa matusi insta #arrogant kiba does not need collabo to be known in niger
 
Kama mapenz gorafa yamejaa kariakoo
 

Attachments

  • 1435589738714.jpg
    1435589738714.jpg
    21.1 KB · Views: 84
Back
Top Bottom