Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Tafuta mwaya tuondokane na huu umasikini waliotukaba nao koo hawa mapupu, hii video huwezi amini ni most awaited video watu wanaingoja kwa hamuuu waanze kufungua nyuzi mia mia, hahaaaaa km nawaona washaandika script zao wanangoja kukosoa tu.

Hahahaha kweli kabisa si umeona hata leo wameamkia humu hahahah, beseni pana, kende na wenzie
 
Ndo kukosa kazi huko unaweza kukuta watu wachache wana I view kila sasa. Je yule mkorea aliye vunja record ya kuwa na viewers billion moja kwahyo ni bora kuliko wasanii wengine.
Tatizo wanafanya kila kitu kwa mashindano huyo domo kwa Davido atasubiri sana si kielimu wala mkwaja wala family level na background yake. Aiendelee kujidaganya. Davido made him famous.

ila hawa jamaa kweli hawajielewi siku ya tuzo walisema diaomond anapendwa kuliko kiba et kisa domo anafollower wengi wakati mziwander kampita richmavoko followers 167k ,57k respectively hizo ni akili kweli ila wale globalpublishers ndo wanasababisha yote hayo #team kiba
 
ila hawa jamaa kweli hawajielewi siku ya tuzo walisema diaomond anapendwa kuliko kiba et kisa domo anafollower wengi wakati mziwander kampita richmavoko followers 167k ,57k respectively hizo ni akili kweli ila wale globalpublishers ndo wanasababisha yote hayo #team kiba

Kuna wakati reasoning yao huwa inanifanya niwajue ni watu wa aina gani, kila kitu kwao ni mashindano hawa watoto, ndio maana niliwapuuza since day one.
 
Uu Uzi utawaua bure na huyo domo wenu jiamini sio kutuletea uswahili wenu hii ni forum wamezoea kwenda kutukana kwenye page ya Davido sasa mnafikiri JF ndo mtaiweza.
Sisi ndo die hard fans kisiki cha mpingo wamekuja wenye mashoka wameshindwa nyie wenye mapanga mtaweza.
Teh teh teh andikeni neno jipya ila Yale Yale hamna jipya.
Useless ba.nc.h of fools

Na wasipoingia humu lazima waumwe kwakweli, hii ni dalili tosha ya how Kiba is the badest, mwanamuziki ambae wanaongoza kumuongelea hata akipiga chafya, mie ila naipenda hii, Kiba sasa autumie huu wakati vizuri maana hata akitabasamu watasema analazimishia dimpoz zionekane,
#chekechavideovibes
 
Kuna wakati reasoning yao huwa inanifanya niwajue ni watu wa aina gani, kila kitu kwao ni mashindano hawa watoto, ndio maana niliwapuuza since day one.

et wameanzisha thread ya viewers davido kashindwa domo hizo ni akili kweli halafu wanasema cc tunachukulia vitu sirious #teamkiba
 
Kuna wakati reasoning yao huwa inanifanya niwajue ni watu wa aina gani, kila kitu kwao ni mashindano hawa watoto, ndio maana niliwapuuza since day one.

yaani nashindwa kuelewa kwann wanashindwa kuwa ignore hawa viumbe
 
ila no no sasa wanakoelekea watamshindanisha na p square kwa hali hiii na taaarab zao ila hapo kwenye viewers kweli wamedhihirisha kweli ni wafuata mkumbo ? #teamkiba
 
et wameanzisha thread ya viewers davido kashindwa domo hizo ni akili kweli halafu wanasema cc tunachukulia vitu sirious #teamkiba

Hahahaaa!!! Hata mna huo muda wa kuwafuatilia na nyie mie akuuu, waongee watakavyojickia it aint geting me, am a Kiba's fan n always ll be
 
yaani nashindwa kuelewa kwann wanashindwa kuwa ignore hawa viumbe

Kuna muda inabidi wadeal nao hivyo maana wanavuka mipaka, washazoea fujo za insta now wamezihamishia humu, utafanyaje ss na ndivyo walivyo(huwezi badili rangi ya ngozi)
 
Ndio maana huu uzi unakimbia mno!

Yaani timDiamond wanashinda humu kuondoa mastress yao dhidi ya timKingKiba....!

Duh... hii ni noma sasa.

Hongera ziwafikie timKingKiba kwa kuvuta attention zote hizo.
 
Kuna muda inabidi wadeal nao hivyo maana wanavuka mipaka, washazoea fujo za insta now wamezihamishia humu, utafanyaje ss na ndivyo walivyo(huwezi badili rangi ya ngozi)

ni wakuwapotezea tu sababu wanafanya kusudi
 
Jamani, hao majirani zetu hamjawazoea tu?
Wanawapa distraction tu.Mnajikuta mnawaongelea wao page zaidi ya mbili.
Yani muwazoee tu Hawabadiliki vioja ndio sifa yao kuu.
 
ila hawa jamaa kweli hawajielewi siku ya tuzo walisema diaomond anapendwa kuliko kiba et kisa domo anafollower wengi wakati mziwander kampita richmavoko followers 167k ,57k respectively hizo ni akili kweli ila wale globalpublishers ndo wanasababisha yote hayo #team kiba

hao wakiingia jf first wanafirikia kuingia katika uzi wa #kingkiba
 
Alli Kiba ni moja kati ya wanamuziki ambao ni adimu sana na haifai kuwapoteza.
Kila nikisikiliza nyimbo zake huwa nanotice kitu chenye akili sana.
Utumiaji wa fasihi unaonesha kwamba hatungi nyimbo kwa kukurupuka tu kurembesha ili mradi watu wacheze tu kufurahia midundo bali hutunga nyimbo kutoka moyoni kabisa kwa akili na kile akiaminicho. Ni mmoja kati ya wasanii unique ambao hawafanyi muziki kimazoea au kusukumwa na aina ya styles ambazo zinafanywa na wengi. .
Kudos King Kiba
 
Back
Top Bottom