AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,049
wakija huku naona ndo wanafarijika sana. kingkiba ndo our best.
#kingkiba
Habari zenu #kingkibafans
Jirani zetu kwao hawapendi kukaa kutwa kuzurura huku alafu wanatokwa povu balaaaa
cute b umempeleka wapi?Habari zenu #kingkibafans
Jirani zetu kwao hawapendi kukaa kutwa kuzurura huku alafu wanatokwa povu balaaaa
Si unajua mapenzi yakizidi unashindwa namna hata ya kuyaonyesha waweza jikuta unaharibu, wanampenda sn king ujue, hv unaanzaje kumchukia king?!!! Lazima uwe na matatizo
vipi weekend mkuu
mazoea yanawatesa sana
Aiiiiii #chekechavideovibes , mambo si ndio hayo chacha wapi Ms.Lincoln?